OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,200
- 103,735
Poleni sana wafiwa. Mungu awatie nguvu.
RIP Meneja Ngusa.
Alifariki Jumatano na akazikwa Jumamosi 25, Aprili 2020 huko Tabora.
Yaani nyie watu kila jambo ni siasa tu. Chadema mnafeli sana.Atazikwa na watu wangapi?
Wish him a good trial.
Kumbukumbu haifiMbona huyu mtu kaisha zikwa kwao simiyu na watu walishaanua matanga? Au ni kumbukumbu ya marehemu
It is never too late to begin. Start now
Report ya post-morterm imehukumu kuwa ni nini kimechukua uhai wa marehemu?
Coronavirus haichagui, sasaivi tunapumuliana virus tuu hapa mjiniPunda endeleeni kuchsps kazi mlipe kodi binadamu kule walipiwe mahitaji yao
umesema nini? au mimi ndiye ambaye macho yangu hayaoni vizuri?Mbona huyu mtu kaisha zikwa kwao simiyu na watu walishaanua matanga? Au ni kumbukumbu ya marehemu
It is never too late to begin. Start now