TANZIA: Askofu Samson Mushemba afariki dunia

TANZIA: Askofu Samson Mushemba afariki dunia

Aliwahi kuwa na tuhuma za biashara ya nganda.

Sibonike umeset precedent mbayo juu yako, wewe ni mpuuzu na hata kama unatumia fake ID tunaweza kukusoma wewe ni mtu wa namna gani.

BABA ASKOFU DR. SAMSON B. MUSHEMBA amesimama katika njia ya Mungu maisha yake yote. Mungu ampe pumziko la amani, amina.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Sibonike umeset precedent mbayo juu yako, wewe ni mpuuzu na hata kama unatumia fake ID tunaweza kukusoma wewe ni mtu wa namna gani. BABA ASKOFU DR. SAMSON B. MUSHEMBA amesimama katika njia ya Mungu maisha yake yote. Mungu ampe pumziko la amani, amina.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Vijana wa juzi nyie. Usiukimbie ukweli.
Na kizuri nimesema ilikuwa ni tuhuma. Read between the lines!

We always make saints out f the dead.
 
Sad News. RIP Baba Askofu Mstaafu. Umepiga Vita Vizuri vya Imani. Mwendo umemaliza Imani Umeilinda.

Bwana Yesu Kristo uliyemtumikia akupokee Mikononi kwake. Usisahau kumwambia Corona imetutenga, kutuua na kututia hofu.

Eti kutokutembeleana na kukaa pamoja sasa imekuwa ni Vitendo vya Upendo. Mwambie Pasaka hii hakuna Kusanyiko ni Hofu na Vilio.
 
Sidhani, Hawavai hivo pia kofia yake isingekosekana kichwani.
Kubwa zaidi angalia mapambo ya kanisa kwa nyuma! Bila sababu ya msingi RC hawaweki mapambo ya hivo bila Codes za kilutrijia.

(Sijasema hapo yupo kanisani)
Huyo ni mfuasi wa martin luther wa ujerumani
 
Ooh LORD may please strength 's us who remained in this universe after our beloved Bishop move back to your glory.....we are in the same way thus our differences is only time....RIP
 
Imeandikwa ni Askofu mstaafu wa ELCT au KKKT
Sidhani, Hawavai hivo pia kofia yake isingekosekana kichwani.
Kubwa zaidi angalia mapambo ya kanisa kwa nyuma! Bila sababu ya msingi RC hawaweki mapambo ya hivo bila Codes za kilutrijia.

(Sijasema hapo yupo kanisani)
 
Sidhani, Hawavai hivo pia kofia yake isingekosekana kichwani.
Kubwa zaidi angalia mapambo ya kanisa kwa nyuma! Bila sababu ya msingi RC hawaweki mapambo ya hivo bila Codes za kilutrijia.

(Sijasema hapo yupo kanisani)
Mlutheri
 
Back
Top Bottom