ram
Platinum Member
- Oct 5, 2007
- 9,346
- 8,565
RIP Baba Askofu Dr. Samson Mushemba! Vita ulivipiga, mwendo umeumaliza
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
R.I.P Baba Askofu.
ShukraniHuyo wasifu haujakamilika. Na ni KKKT sio KKT
Karibu KiongoziShukrani
Na asante kwa kunisahihisha ni KKKT
Kasema aliwahi kutuhumiwa, hajasema 'alikua akifanya biashara ya ngada', Yesu mwenyewe leo atatuhumiwa kusema yeye ni mfalme wa Wayahudi, ni kosa?Sibonike umeset precedent mbayo juu yako, wewe ni mpuuzu na hata kama unatumia fake ID tunaweza kukusoma wewe ni mtu wa namna gani. BABA ASKOFU DR. SAMSON B. MUSHEMBA amesimama katika njia ya Mungu maisha yake yote. Mungu ampe pumziko la amani, amina.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ana mke na watoto mwanae mmoja ni mke wa jamaa mmoja alikua ikuru kipindi cha JK na mtoto mwingine anaishi marekani amejenga shule inaitwa Mshemba Trinity pale bukobaKama KKT mbona kwenye wasifu wake hana watoto wala mke?
Ana mke na watoto mwanae mmoja ni mke wa jamaa mmoja alikua ikuru kipindi cha JK na mtoto mwingine anaishi marekani amejenga shule inaitwa Mshemba Trinity pale bukobaKama KKT mbona kwenye wasifu wake hana watoto wala mke?
RIP Baba Askofu Dr. Samson Mushemba! Vita ulivipiga, mwendo umeumaliza
Sent using Jamii Forums mobile app
Swali zuri sana ukizingatia kuwa majibu yake yapo hapo juu. Nadhani tatizo ni kwamba baada ya kusoma maneno WASIFU WAKE, network ikakatika kabisa na hivyo maneno yaliyofuata hayakuweza kupatikana.
Shukrani mkuu.Ana mke na watoto mwanae mmoja ni mke wa jamaa mmoja alikua ikuru kipindi cha JK na mtoto mwingine anaishi marekani amejenga shule inaitwa Mshemba Trinity pale bukoba
Wengi tu mbona wanatumia mwamvuli wa dini?Kuna wapuuzi wanakataa. Lisemwalo lipo...
Alikamatwa Ujerumani. Ilitumika busara ya uongozi wa juu nchini kufunika aibu.
Sitoi taarifa ovyo ovyo tu.Jiridhishe na taarifa zako kabla ya kuzitoa!
Hivi ni Ikuru au Ikulu?Ana mke na watoto mwanae mmoja ni mke wa jamaa mmoja alikua ikuru kipindi cha JK na mtoto mwingine anaishi marekani amejenga shule inaitwa Mshemba Trinity pale bukoba