TANZIA: Askofu Samson Mushemba afariki dunia

TANZIA: Askofu Samson Mushemba afariki dunia

Kanisa la KKKT limepata msiba kwa kuondokewa na kiongozi wake mkuu mstaafu.

Pole kwa jumuia nzima ya wana kkkt.

Bwana ametoa , Bwana ametwaa jina la Bwana lihimidiwe.
 
Stroke asante kwa taarifa ila kama una taarifa zaidi zilete...amefia wapi, alikuwa anaumwa au ajali n.k

"corona ipo tuchukue tahadhari"
 
Kanisa la KKKT limepata msiba kwa kuondokewa na kiongozi wake mkuu mstaafu.

Pole kwa jumuia nzima ya wana kkkt.

Bwana ametoa , Bwana ametwaa jina la Bwana lihimidiwe.

Ndio unaamka usingizini mkuu?
Mbona taarifa zake zipo tokea juzi, huku au huyo unayemsemea ni mwingine amefariki leo jumapili?


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom