TANZANIA'S FOREIGN POLICY = Father christmass foreign policy
This question on the surface appears ridiculous. However, anyone who has followed Tanzania's foreign policy since 1960s will tell you that the question is worth asking. I for one genuinely think we do not have a distinctly Tanzanian foreign policy niche.
Our foreign policy since 1960's is at best ‘follow the crowd' type, and at worst, ‘no foreign policy' stance at all. I used the two phrases, that is, ‘follow the crowd' and ‘no foreign policy' to mean a foreign policy that has no coherent and distinctive doctrinal orientation and niche. The distinctive markers of such a foreign policy are, first, government officials are reactionary rather than proactive, second, official stated foreign policy goals are usually vague and foreign minister frequently flip flopper's , and third, the executive rather than well trained professionals becomes the implementer of the policy.
Mkuu GM,
Heshima mbele, uchambuzi wako ni safi ila basically umeshindwa kui-acknowledge fact muhimu ya kwamba siasa za dunia nzima sasa hivi zinakuwa formulated na uchumi. Leo Tanzania tunaipita nchi moja tu kama sikosei kwa umasikini, nayo nafikiri ni Burundi tu, sasa foreign policy yetu ita matter kwa nani? Tena kwa misingi ipi ya kimataifa? Ni nani atakayetusikiliza? What different can we make kwenye hii dunia na policy zetu za nje?
Juzi umeona au kusikia kuwa ziara nzima ya rais wetu UN, ilikuwa inalalia kwenye kutangaza utalii, meaning kwamba mambo ya kimataifa hatuyawezi kabisaa maana hakuna wa kutusikiliza, huku Afrika ni foreign policies za nchi kama Nigeria, Egypt, na South Afrika, ndio zinapewa angalau heshima japo kidogo na dunia, otherwise it does not matter kama tunazo policy au hatuna no body cares mkuu.
Kwanza tumshukuru sana Mwalimu, kwamba angalau alituweka kwenye ramani ya dunia kisiasa, ndio maana mpaka sasa tumeweza kutoa viongozi hodari wa kimataifa, mkuu wangu ngoja niseme neno moja ni kwamba very soon ofisi za mabalozi yetu yote huko nje yatageuka kuwa ofisi za biashara 75%, na siasa itakuwa 25%, kama hayajawa tayari sasa hivi, basi tumechelewa sana hiyo ndio political reality ya dunia isiyoepukika sasa hivi, maana balozi nyingi za dunia sasa hivi zilishabdilika siku nyingi na kuwa ofisi za uchumi tu!
Sio kosa la Migiro, wala marais waliotangulia, ni kwamba Bongo we do not have anything worthy kuweza kusikilizwa na dunia tena, kwa hiyo it does not matter kama tuna foreign policy au hatuna, no body cares huko duniani! Na the fact kwamba tunapewa nafasi za ukubwa wa dunia ni kwa sababu mataifa makubwa yanajaribu kuwakwepa the powers huku Afrika kama Nigeria na SA, ili kupitisha agenda zao kwa urahisi!
Sasa duniani siasa ni uchumi, njoo hizi balozi za nje hapa bongo, utakuwa nusu ya maofisa wao ni wawakilishi wa uchumi tu, na sio siasa tena, ukweli ni kwamba bongo tumechelewa sana kulielewa hilo, mabalozi ya Kenya na Uganda huko nje ni uchumi tu mkuu, hakuna siasa tena!