Tanzania's Foreign Policy

Tanzania's Foreign Policy

Kwa jinsi nilivo isoma fasta, naungana na gamba la nyoka kuwa bosi hajagusia the most africa as far as tanzania we are concerned pressing issues, [/COLOR]ameongelea yale tuu ambayo "wakubwa" wanataka na wanapenda kuyasikia,nahisi ile ka ile tuu angetaja Zimbambwe,weee jamaa waangeenda short call fasta, all in all kwa yale aliyosema amejitahidi,hotuba nzuri infact!


Hotuba nzuri huwa inaangaliwa kwa vigezo gani?

Ama ni kusema yale wakubwa wanayotaka kama unavyokiri?
 
Sidhani kama tuna national interest kupeleka wanajeshi wetu huko DARFUR bila ya kuwepo kwa mandate ya kueleweka

especially baada ya tukio hili.Nisingefurahi kuona body bags za wanajeshi wetu wanarudishwa kama maiti kwa sababu tuu ya kutokwepo kwa clear strategy kuwa tutakaa huko for how long


Nilitaka kuendleza hili katika ile hread ya kuchambua seech ya JK kule UN lakini nimeona bora nielezee wasi wasi wangu hapa.

hebu tazama:


wdarfur101.jpg



Rebels drive peacekeepers out of Darfur base


By Mike Pflanz in Nairobi
Last Updated: 1:56am BST 01/10/2007


Rebels drive peacekeepers out of Darfur base
African Union peacekeepers evacuate their camp in Haskanita

The African-led peacekeeping force in Sudan's war-torn region of Darfur has suffered a heavy blow after gunmen raided one of its camps, killing at least 10 soldiers.

A "large and organised" group attacked the base in Haskanita, in Southern Darfur province, shortly after sunset on Saturday.

Seven troops were wounded and about 50 are still missing after the attack, which was the largest since the African Union troops arrived in Darfur in 2004.

"This is the heaviest loss of life and the biggest attack on the African Union mission," said an AU spokesman, Noureddine Mezni.
advertisement
click here

"Our troops fought a defensive battle to protect the camp, but 30 vehicles eventually stormed it. The camp is completely destroyed."

By late Sunday, the remaining AU peacekeepers had been moved out of the base. Sudanese government soldiers and militias, who later forced the rebels out of the area, could be seen plundering goods from the burnt-out camp as an AU armoured vehicle lay smouldering nearby.

One of the dozen or so rebel groups operating in Darfur is thought to have been responsible for the latest attack.

"I am profoundly shocked and appalled by this outrageous and deliberate attack against neutral peacekeepers, which I vehemently condemn," said Rodolphe Adada, the joint AU-UN special representative for Darfur.

The attack came just weeks before crucial peace talks to be hosted by Libya. Fighting between rebels and Sudanese government forces has intensified as each side tries to improve its position ahead of the negotiations.



Tanzania to send 1000 peacekeepers to Darfur


September 20, 2007 (DAR ES SALAAM, Tanzania) - Tanzania will send 1,000 troops to Darfur as part of the African Union and U.N. peacekeeping force, President Jakaya Kikwete said.
(JPEG)
An African Union soldier patrols outside Kebkabiyah, a government-controlled town in northern Darfur, Sudan September 5, 2006. (Reuters)

President Kikwete told the US Secretary of State Condoleezza Rice during a meeting in New York Tuesday that Tanzania would like to help find a lasting solution to the political impasse in the western Sudan region where more than 200,000 people have died in three years of conflict.

However, he said the country would only dispatch the force once the AU and UN completed the necessary logistics to facilitate the move. Initial arrangement was for the joint force to be operational by the first week of next month.

The U.N. Security Council approved plans on July 31 for a 26,000-strong peacekeeping force for the vast, war-battered region in western Sudan.

The deployment of the joint African Union-U.N. peacekeeping force faces delays, however, due to a lack of aviation, transport and logistics units, U.N. Secretary-General Ban Ki-moon has said.

More than 200,000 people have died and 2.5 million have been uprooted since ethnic African rebels took up arms against the Arab-dominated Sudanese government in 2003, accusing it of decades of neglect. Sudan's government is accused of retaliating by unleashing a militia of Arab nomads known as the janjaweed -a charge it denies.

Rodolphe Adada, chief of the joint mission to Darfur, said this month that nations have already committed more than the 26,000 required troops for the force.

Sudan agreed to the force only after a lengthy delay and under international pressure. Sudan had argued in part that outside intervention would inflame sentiments in the largely Muslim country.http://www.sudantribune.com/spip.php?article23854
 
Leo nitamalizia uchambuzi wangu wa hii hotuba ya muungwana kwa kumjibu vipande kwa vipande
 
Game kwa kweli mimi hili la kupeleka wanajeshi Darfur NALISUPPORT 100% Tanzania can never be credible in the eyes of the international community if we just shy away from fulfilling what we ought to. Yes Drafur kunafuka moshi, sasa unategemea nani aende? mzungu au mwaraabu? Darfur wanaokufa kule ni kaka na dada zetu sio Muiraq au mbosinia. I think its high time Africa tuamke tutimize wajibu wetu, kusubiri mpaka Ulaya na Marekani keleta askari wake kutusaidia..its incresingly becoming impossible. UN ikitoa logistics basi sisi tutoe askari.

Uganda iko Somalia, RSA iko Burundi na Congo, Rwanda Darfur, Nigeria Darfur...TZ we should help continental peace. Labda ungesema Lebanon...huko hata tusingeenda wangeenda wazungu.

Bwana kweli hali ya usalama Darfur ni mbaya mno, lakini hicho siyo kigezo cha kukimbia kabisa. We should try our best.
 
Game ndio hivyo tena kama Masanja alivyokuelezahata mimi nasupport to send troops maana leo wao kesho sisi
 
kupeleka si tatizo, hata mie nnaunga mkono, cha msingi tuwe na clear plan hilo ndilo analolizungumzia gametheory
 
So longer us tumeona kifo ni nje nje, watakaopelekwa familia zao ziwe assured in case mpendwa wao atarudi maiti support iwe clearly written from the beginning. Ni kweli we can not shy away lakini tuwe na strategic nzuri za kuwasaidia hao 1,000 peacekeepers
 
Lakini ni nani anayewasupport hao Darfur rebels? isije tukawa tunaingizwa mkenge...kwani kwa mujibu wa Wahandisi wa habari serikali ya Sudan inawafadhili Janjaweed, swali nani anayewafadhili Darfur rebels?
 
Kwenye hili swala Tanzania ina tatizo moja kubwa sana nalo ni mama Migiro kuwa pale kwenye usukani kwa hiyo kuna mambo ambayo hayawezi kuwekwa kinagaubaga, vile vile ni katika maswala kama hayo ndio wakati mwingine tunafumba macho.

All in all nategemea watalipwa vizuri na askari 1000 sio wengi wa kutisha bali ndio tunapata employment vile vile. Kwa hiyo swala kubwa ni kuona hii mission inafanikiwa na kuona hakuna askari atakayepoteza maisha.
 
Sasa sisi kama Taifa tutaogopa hadi lini? Sii Tanzania tuneanda tu peke yetu- sii wengine pia wapo- are we exceptional as humans or Africans? Ikitokea bahati mbaya maafa kwa askari wetu.. ni ushujaa.. kama askari wengine wa nchi zingine!
Game theory mandate ya sasa ni UN na AU na ni robust- with more resourses and equipment!
Tuungane na wenzetu kishujaa...sacrifice kwa wengine ni mchango wetu kama wanadamu!
Naunga mkono 100% Tz contribution ktk AU\UN Darfur force!
 
TANZANIA'S FOREIGN POLICY = Father christmass foreign policy


This question on the surface appears ridiculous. However, anyone who has followed Tanzania's foreign policy since 1960s will tell you that the question is worth asking. I for one genuinely think we do not have a distinctly Tanzanian foreign policy niche.
Our foreign policy since 1960's is at best ‘follow the crowd' type, and at worst, ‘no foreign policy' stance at all. I used the two phrases, that is, ‘follow the crowd' and ‘no foreign policy' to mean a foreign policy that has no coherent and distinctive doctrinal orientation and niche. The distinctive markers of such a foreign policy are, first, government officials are reactionary rather than proactive, second, official stated foreign policy goals are usually vague and foreign minister frequently flip flopper's , and third, the executive rather than well trained professionals becomes the implementer of the policy.

Mkuu GM,

Heshima mbele, uchambuzi wako ni safi ila basically umeshindwa kui-acknowledge fact muhimu ya kwamba siasa za dunia nzima sasa hivi zinakuwa formulated na uchumi. Leo Tanzania tunaipita nchi moja tu kama sikosei kwa umasikini, nayo nafikiri ni Burundi tu, sasa foreign policy yetu ita matter kwa nani? Tena kwa misingi ipi ya kimataifa? Ni nani atakayetusikiliza? What different can we make kwenye hii dunia na policy zetu za nje?

Juzi umeona au kusikia kuwa ziara nzima ya rais wetu UN, ilikuwa inalalia kwenye kutangaza utalii, meaning kwamba mambo ya kimataifa hatuyawezi kabisaa maana hakuna wa kutusikiliza, huku Afrika ni foreign policies za nchi kama Nigeria, Egypt, na South Afrika, ndio zinapewa angalau heshima japo kidogo na dunia, otherwise it does not matter kama tunazo policy au hatuna no body cares mkuu.

Kwanza tumshukuru sana Mwalimu, kwamba angalau alituweka kwenye ramani ya dunia kisiasa, ndio maana mpaka sasa tumeweza kutoa viongozi hodari wa kimataifa, mkuu wangu ngoja niseme neno moja ni kwamba very soon ofisi za mabalozi yetu yote huko nje yatageuka kuwa ofisi za biashara 75%, na siasa itakuwa 25%, kama hayajawa tayari sasa hivi, basi tumechelewa sana hiyo ndio political reality ya dunia isiyoepukika sasa hivi, maana balozi nyingi za dunia sasa hivi zilishabdilika siku nyingi na kuwa ofisi za uchumi tu!

Sio kosa la Migiro, wala marais waliotangulia, ni kwamba Bongo we do not have anything worthy kuweza kusikilizwa na dunia tena, kwa hiyo it does not matter kama tuna foreign policy au hatuna, no body cares huko duniani! Na the fact kwamba tunapewa nafasi za ukubwa wa dunia ni kwa sababu mataifa makubwa yanajaribu kuwakwepa the powers huku Afrika kama Nigeria na SA, ili kupitisha agenda zao kwa urahisi!

Sasa duniani siasa ni uchumi, njoo hizi balozi za nje hapa bongo, utakuwa nusu ya maofisa wao ni wawakilishi wa uchumi tu, na sio siasa tena, ukweli ni kwamba bongo tumechelewa sana kulielewa hilo, mabalozi ya Kenya na Uganda huko nje ni uchumi tu mkuu, hakuna siasa tena!
 
Wazairi wa mambo ya nje leo amewataka mabalozi wa nchi za Ulaya kukaa kimya na sio kutoa statement kuhusu ufisadi wa BOT in public kwani mkataba wa Geneva unawabana.

Pia amewataka mabalozi husika wawe wanaiuliza serikali kwani watapata majibu mazuri zaidi.

Pia ameeleza kuwa tuhuma za wizi BOT zinafanyiwa kazi na TAKUKURU,hivyo wasubiri hadi uchunguzi huo ukamilike ndipo waweze kusema.

Alikuwa akiongea na wahariri pamoja na mabalozi husika pale Karimjee hall leo.

Nauchukia ufisadi ila ,............we have long way to go......

Naomba kuingia kwenye forum yenu,nipokeeni tafadhali,.
 
Haki sawa
karibu sana hapa forums
Mimi ndo Gamba la nyoka original ukisikia mwingine huyo feki
Karibu umwage nyuki za hoja !!
 
Wazairi wa mambo ya nje leo amewataka mabalozi wa nchi za Ulaya kukaa kimya na sio kutoa statement kuhusu ufisadi wa BOT in public kwani mkataba wa Geneva unawabana.

Pia amewataka mabalozi husika wawe wanaiuliza serikali kwani watapata majibu mazuri zaidi.

Pia ameeleza kuwa tuhuma za wizi BOT zinafanyiwa kazi na TAKUKURU,hivyo wasubiri hadi uchunguzi huo ukamilike ndipo waweze kusema.

Alikuwa akiongea na wahariri pamoja na mabalozi husika pale Karimjee hall leo.

Nauchukia ufisadi ila ,............we have long way to go......

Naomba kuingia kwenye forum yenu,nipokeeni tafadhali,.

KARIBU SANA hapa kwenye nyumba ya ukweli...
karibu sana HAKI SAWA
 
Kwani huku huwa mnabaguana kwa vyama au? je?huku ni lazima uwe mwanachama wa chama cha siasa?


Hakuna chama wala ubaguzi hapa ni Utanzania tu we mwaga vitu.
Karibu sana.
 
Mabalozi wametakiwa wasome ibara ya 24 yaq viena convection,anaendela kusema kuwa rushwa ni vita na wao wataweza kushinda,

Ukishangaa ya Musa utamwona firauni na wakati unashangaa firauni utakutana na Tanzania,mafisadi,walarushwa n.k.
 
Karibu Haki Sawa...!! hapa hoja hujibiwa kwa hoja! I like your entrance though! Kramer wa Seinfield could not have done it better!!
 
Back
Top Bottom