Ndugu zangu hapa Tanzania kuna ubaguzi wa rangi unaoendeshwa na hawa ndugu zetu wahindi.
Kwa wasomaji kuna vijarida vya matangazo vinavyotolewa bure kwenye sehemu za kazi jamaa zetu hawa kwa makusudi kabisa wanapo post matangazo yakuomba kazi hujitambulisha kama mtanzania mwenye asili ya kiasia hii maanake nini kwa maana sijawahi kuona mtu akijitangaza kuwa mtanzania kutoka mbeya au bukoba anaomba kazi ,hii inakera na huu ni ubaguzi wa rangi,pia utakuta tangazo la kazi linadai mtu ajue gujarati,hivi kweli Gujarati ni lugha inayotumika kwa kazi hapa Tanzania.
Na cha kuhuzunisha zaidi ni pale unapoenda hospitali ya Agakhan Hospital na Shabani Robert secondary school kwenye form zao kuna sehemu ya RACE unatakiwe uijaze ,huu nao ni ubaguzi .
kinachoshangaza ni kuwa haya mambo yanafanyika ilihali vyombo vya dola vipo na havifanyi lolote je Wizara ya Afya ina maana haijui na pia vipi Wizara ya Elimu?
Huu ni ubaguzi wa hali ya juu,kwa Mswahili akisema tu anataka upendeleo kwa watu weusi inakuwa nongwa lakini wahindi wao wanapojitofautisha hakuna kelele,Watanzania tuamuke,
Kwa wasomaji kuna vijarida vya matangazo vinavyotolewa bure kwenye sehemu za kazi jamaa zetu hawa kwa makusudi kabisa wanapo post matangazo yakuomba kazi hujitambulisha kama mtanzania mwenye asili ya kiasia hii maanake nini kwa maana sijawahi kuona mtu akijitangaza kuwa mtanzania kutoka mbeya au bukoba anaomba kazi ,hii inakera na huu ni ubaguzi wa rangi,pia utakuta tangazo la kazi linadai mtu ajue gujarati,hivi kweli Gujarati ni lugha inayotumika kwa kazi hapa Tanzania.
Na cha kuhuzunisha zaidi ni pale unapoenda hospitali ya Agakhan Hospital na Shabani Robert secondary school kwenye form zao kuna sehemu ya RACE unatakiwe uijaze ,huu nao ni ubaguzi .
kinachoshangaza ni kuwa haya mambo yanafanyika ilihali vyombo vya dola vipo na havifanyi lolote je Wizara ya Afya ina maana haijui na pia vipi Wizara ya Elimu?
Huu ni ubaguzi wa hali ya juu,kwa Mswahili akisema tu anataka upendeleo kwa watu weusi inakuwa nongwa lakini wahindi wao wanapojitofautisha hakuna kelele,Watanzania tuamuke,