majasusi wa hapo bongo ni political asset kazi zao kubwa na ya msingi ni kufuatilia na kulinda masirahi ya CCM ndani ya taifa, kuna mdogo wangu ni mwanafunzi wa chuo kikuu kimoja cha umma hapa tz aliwawa kunitaarifu kuwa amaitwa na watu wa usalama wa taifa wa kamuhoji juu ya mwenendowake hasa harakati zake za kisiasa ndani yua chuo.Katika soma soma zangu nimeona jinsi ujasusi wa kiteknolojia na kiuchumi ilivyoisaidia china kufika hapo ilipo. Lakini Nimekuwa najiuliza je serikali yetu ya Tanzani inao majasusi wa aina hii?
Ninahisi bado serikali yetu ime concentrate kwenye ujasusi wa kufatilia maisha ya watu , wizi, ujambazi , na wale wa kuakikisha serikali iliyopo madarakani haipati vikwazo kutoka kwa wananchi wake, etc.
Ingekuwaje kama Serikali ya Tanzani ingepata taarifa mapema za kijasusi ikafanya kila liwezekanalo kile kiwanda cha kukata dahabu kisijengwe Uganda na badala yake kijengwe Tanzania.
Je Kuna majasui wa kichumi wanafuatilia au kujua bajeti za kenya na uganda zitafanya mabadiliko gani yatakoyotahiri upande Tanzania . Ujasusi wa aina hii ni muhimu ili kujipanga na kuwa katika advantage.
nadhani Vision na Mission ya TISS au UWT inatakiwa iwe ya style hii. Kuwachezea faulo kenya na Uganda kwa manufaa ya watanzania sioni kama ni kosa.
Je Tanzania tunao majasusi wa kichumi au kiteknolojia? Je si sawa moja ya wajibu wa mabalozi wetu nje ya nchi kuwa majasusi wetu wa kiuchum?
Nawasilisha
majasusi wa hapo bongo ni political asset kazi zao kubwa na ya msingi ni kufuatilia na kulinda masirahi ya CCM ndani ya taifa, kuna mdogo wangu ni mwanafunzi wa chuo kikuu kimoja cha umma hapa tz aliwawa kunitaarifu kuwa amaitwa na watu wa usalama wa taifa wa kamuhoji juu ya mwenendowake hasa harakati zake za kisiasa ndani yua chuo.
majasusi wa hapo bongo ni political asset kazi zao kubwa na ya msingi ni kufuatilia na kulinda masirahi ya CCM ndani ya taifa, kuna mdogo wangu ni mwanafunzi wa chuo kikuu kimoja cha umma hapa tz aliwawa kunitaarifu kuwa amaitwa na watu wa usalama wa taifa wa kamuhoji juu ya mwenendowake hasa harakati zake za kisiasa ndani yua chuo.
mashushushu wa TZ ndo kama hivyo ulivyosema hii system inatakiwa kufumuliwa au irekebishwe wapo wamejazana tuHivi mashushushu wa TZ kazi yao nini?..ukikaa hivi unasikIa mara fulani ni shushushu..mara taxi dreva fulani ni mtu wa system... mara mwanafunzi fulani naye yuko kwenye system....
kaaazi kweli kweli...
Je gaidi??maana ya gaidi lilikuwa neno ndani ya jasusi!kwani hata kwenye nyimbo za kumkashifu amini tulimuimba jasusi mkubwa!carlos alikuwa jasusi wala siyo gaidi gaidi nineno lilobadilishwa after sept,11Tafadhali naomba kueleweshwa kwa maneno machache maana ya UJASUSI au tafsiri yake kwa kiingereza niigoogle kuongeza ufahamu wangu, TZ ya zamani maneno kama MAJASUSI na MAFISADI ilikuwa misamiati ila siku zinavyozidi kwenda naona ni kama vyeo flani au wajihi wa mtu..... Thanks.
Kiwanda tunacho pale Iringa Tancut Almasi. Tunahitaji pesa kidogo tukikarabati mambo yawe mswano
mie sijaisoma hii thread naomba uielekeze kwanguMajasusi wa Tanzania wapo kwa minajili ya kunusana na kufuatiliana ilhali sisi wote ni watanzania. Tena kikubwa wapo kwa ajili ya kulinda WATAWALA na si kuilinda nchi kama katiba inavyosema. Nina maana kuwa hawaangalii wala kujishughulisha na mere people kama wapo salama kiuchumi, kiafya, kiustawi na kimaadili lakini wapo kwa ajili ya kuripoti kwa waliowaweka ktk post hizo ndo maana tunawaona wengi wamepewa zawadi za madaraka ilhali hawapaswi kuwa viongozi. wanapaswa kuwa viongozi wa viongozi wetu lakini wanaongozwa hawana jipya kwetu.
Wanafukuzana na vijitu vidogo wakiacha keki ya Taifa ikiliwa na mijitu mikubwa.
Nilishawahi kuandika kuhusu hili miezi kadhaa hapo nyuma kwamba tukitaka kufanikiwa kiuchumi, kiutamaduni na hata kuwa taifa lenye nguvu duniani tunapaswa kuhakikisha taasisi zetu za kijasusi zinapata right people na si wajomba wajomba. Wanalipwa pesa nyingi sana mpaka zinaundwa kampuni za kuchota pesa za nchi kwa jina la taasisi zetu za kijasusi lakini wao wako kimya wala hawajishughulishi kulinda utu na hazina nchi. Hivi ile sheria ya baraza la usalama la TAIFA mmeisoma? mnajua waliomo ndani yake? na je ni mahitaji yetu kwa sasa? Najua kuna watu unapowaamia USALAMA WA NCHI wao wanajua definition moja tu kuwalinda viongozi hata wakivunja katiba wasiguswe kwa kuwa vyeo vyao ni taasisi nyeti na haipaswi kuwashughulisha wakienda nje ya mstari.
Naapa kama hatutakuwa na taasisi imara ya kijasusi tutaishia kulindana lindana kusiko na TIJA
Hapo ndipo mimi husema kwamba haya yote yanatokana na sisi wenyewe kushikiwa akili zetu na kutegemea maamuzi ya wengine! kisha tunaitika ndiyo mzee na zidumu fikra.... aaaargh! Hivi kutoka uhuru mpaka mwaka 1984 kuna mtu alishajiuliza ni kwa kiasi gani uchumi wetu uliporomoka wakati waganda na wakenya wakipanda? je walitujasusia vipi? Je kwanini kenya walitishia kupambana na tanzania kisha wakaacha ilikuwa kwa sababu gani?Je gaidi??maana ya gaidi lilikuwa neno ndani ya jasusi!kwani hata kwenye nyimbo za kumkashifu amini tulimuimba jasusi mkubwa!carlos alikuwa jasusi wala siyo gaidi gaidi nineno lilobadilishwa after sept,11
Maamuzi mengi ya nchi hii yamekaa kisiasa zaidi sio kitaalam ndio maana kama sikosei Rais Mkapa aliwahi kushauriwa kuhusu utapeli ta TICS lakini akakaidi,Tics walikua Ghana wakatimuliwa kwaajili wa utendaji wao finyu na Ubathirifu usio na kikomo..Red Pepper jasusi wa TISS ni mtu wa kawaida sana na anaishi maisha ya kawaida. anakuwa hatari tu kama usalama wake uko hatarini. Ndio maana hata mimi nikwambia ni jasusi huwezi kuamini. Ila wanafanya kazi kubwa sana. We ungekuwa uko jikoni na ukaona what information is being collected ungeshangaa.
The problem ya hii nchi ni kutokuthamini wasomi na analysis zao (hata wale walio TISS). Na hili ni nje ya uwezo wa TISS. Wenye nadharia za sayansi ya siasa wanasema kunahitajika Political will (utashi wa kisiasa) na hili sio jukumu la jasusi bali la wanasiasa.
Hapa kuna kikundi cha kihuni kinachajaribu kulinda maslahi ya CCM!!
TISS ni nn kirefu chake na ofisi zao ziko wapi?Taasisi yetu TISS kazi yake ni kushughurikia watu wanaojitoa bila woga kuikosoa serikali ya CCM,kuwabeba na kulinda Mafisadi,kutengeneza majungu,kutoa roho za watu ambao wangeiumbua serikali na CCM kama vile Kolimba,Gibbons Mwaikambo,Kombe,Balali,Sokoine,Mwaikusa etc,etc yaani hii taasisi haiko kwa maslahi ya umma ni genge la wahuni,wauaji na wezi kama Mungiki
WASHINGTON - The king of Saudi Arabia wanted the United States to outfit his personal jet with the same high-tech devices as Air Force One. The president of Turkey wanted the Obama administration to let a Turkish astronaut sit in on a NASA space flight. And in Bangladesh, the prime minister pressed the State Department to re-establish landing rights at Kennedy International Airport in New York.
Each of these government leaders had one thing in common: they were trying to decide whether to buy billions of dollars' worth of commercial jets from Boeing or its European competitor, Airbus. And United States diplomats were acting like marketing agents, offering deals to heads of state and airline executives whose decisions could be influenced by price, performance and, as with all finicky customers with plenty to spend, perks.
This is the high-stakes, international bazaar for large commercial jets, where tens of billions of dollars are on the line, along with hundreds of thousands of high-paying jobs. At its heart, it is a wrestling match fought daily by executives at two giant companies, Boeing and Airbus, in which each controls about half of the global market for such planes.
To a greater degree than previously known, diplomats are a big part of the sales force, according to hundreds of cables released by WikiLeaks, which describe politicking and cajoling at the highest levels.
It is not surprising that the United States helps American companies doing business abroad, given that each sale is worth thousands of jobs and that their foreign competitors do the same. But like the other WikiLeaks cables, these offer a remarkably detailed look at what had previously been only glimpsed - in this case, the sales war between American diplomats and their European counterparts.
Habari kamili http://www.nytimes.com/2011/01/03/business/03wikileaks-boeing.html?_r=1&scp=1&sq=Diplomats%20Help%20Push%20Sales%20of%20Jetliners%20on%20the%20Global%20Market%20Source:%20New%20York%20Times%202%20January%202011&st=cse
In December 2007, Gulf Air, the government-owned airline of Bahrain, the small but wealthy island country in the Persian Gulf, announced that it intended to buy a new fleet of Airbus planes. Boeing officials alerted the State Department, which then intervened up to the highest levels of the government, urging them to buy American. The crown prince and king of Bahrain, preparing for the first visit by a sitting United States president, agreed to reverse the decision, ordering Gulf Air to reopen negotiations with Boeing, which ended up winning the deal, which was signed while then President Bush was visiting Bahrain. soma zaidi . WikiLeaks Archive ? A Selection From the Cache of Diplomatic Dispatches - Interactive Feature - NYTimes.com
Boeing executives, at times, are pressed by foreign government officials and airline executives to hire "agents" or other intermediaries to help deliver a sale. Typically, these agents ask for some kind of a commission to make introductions to officials running the competition. Boeing faced such a request in Tanzania in 2007, as it was bidding on a relatively small contract to modernize the Air Tanzania fleet. It was already concerned, as the bidding began, that AirBus had an inside track. Boeing officials refused to hire the agent and reported the request to the State Department. Air Tanzania was shut down by aviation safety authorities about a year after this exchange........ soma zaidi WikiLeaks Archive ? A Selection From the Cache of Diplomatic Dispatches - Interactive Feature - NYTimes.com