Tanzania yetu ina majasusi wa aina gani?

Status
Not open for further replies.
Hapa chini kuna mifano ya wenzetu wanavyofanya na kutumia ujasusi na ushusuahu wa uchumiak wa manufaa ya nchi yao. Mchango wa mabalozi wa US kuteteta kampuni zao unaonekana kwenye cable za wiki leaks.


  • je mabalozi wetu nje wa nchi wansaidia hata kutafutia soko la kuuza asali

We should make great changes kwakweli!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom