mpinga shetani
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 3,236
- 954
Tanzania hakuna intelligence, majasusi wala shushushuu. Kuna wahuni ambao kazi zao ni kufuatilia nani anaipinga CCM au serikali ambayo inawapa ulaji. Wengi utawakuta kwa wahindi wakipewa hela.
Katika soma soma zangu nimeona jinsi ujasusi wa kiteknolojia na kiuchumi ilivyoisaidia china kufika hapo ilipo. Lakini Nimekuwa najiuliza je serikali yetu ya Tanzani inao majasusi wa aina hii?
Ninahisi bado serikali yetu ime concentrate kwenye ujasusi wa kufatilia maisha ya watu , wizi, ujambazi , na wale wa kuakikisha serikali iliyopo madarakani haipati vikwazo kutoka kwa wananchi wake, etc.
Ingekuwaje kama Serikali ya Tanzani ingepata taarifa mapema za kijasusi ikafanya kila liwezekanalo kile kiwanda cha kukata dahabu kisijengwe Uganda na badala yake kijengwe Tanzania.
Je Kuna majasui wa kichumi wanafuatilia au kujua bajeti za kenya na uganda zitafanya mabadiliko gani yatakoyotahiri upande Tanzania . Ujasusi wa aina hii ni muhimu ili kujipanga na kuwa katika advantage.
nadhani Vision na Mission ya TISS au UWT inatakiwa iwe ya style hii. Kuwachezea faulo kenya na Uganda kwa manufaa ya watanzania sioni kama ni kosa.
Je Tanzania tunao majasusi wa kichumi au kiteknolojia? Je si sawa moja ya wajibu wa mabalozi wetu nje ya nchi kuwa majasusi wetu wa kiuchum?
Nawasilisha
Tafadhali naomba kueleweshwa kwa maneno machache maana ya UJASUSI au tafsiri yake kwa kiingereza niigoogle kuongeza ufahamu wangu, TZ ya zamani maneno kama MAJASUSI na MAFISADI ilikuwa misamiati ila siku zinavyozidi kwenda naona ni kama vyeo flani au wajihi wa mtu..... Thanks.
Tafadhali naomba kueleweshwa kwa maneno machache maana ya UJASUSI au tafsiri yake kwa kiingereza niigoogle kuongeza ufahamu wangu, TZ ya zamani maneno kama MAJASUSI na MAFISADI ilikuwa misamiati ila siku zinavyozidi kwenda naona ni kama vyeo flani au wajihi wa mtu..... Thanks.
Majasusi wapo ila kazi zao ni kuonesha vitambulisho vyao wakiwa bar, Beer ikichelewa 'unanijua mimi'??
Katika soma soma zangu nimeona jinsi ujasusi wa kiteknolojia na kiuchumi ilivyoisaidia china kufika hapo ilipo. Lakini Nimekuwa najiuliza je serikali yetu ya Tanzani inao majasusi wa aina hii?
Ninahisi bado serikali yetu ime concentrate kwenye ujasusi wa kufatilia maisha ya watu , wizi, ujambazi , na wale wa kuakikisha serikali iliyopo madarakani haipati vikwazo kutoka kwa wananchi wake, etc.
Ingekuwaje kama Serikali ya Tanzani ingepata taarifa mapema za kijasusi ikafanya kila liwezekanalo kile kiwanda cha kukata dahabu kisijengwe Uganda na badala yake kijengwe Tanzania.
Je Kuna majasui wa kichumi wanafuatilia au kujua bajeti za kenya na uganda zitafanya mabadiliko gani yatakoyotahiri upande Tanzania . Ujasusi wa aina hii ni muhimu ili kujipanga na kuwa katika advantage.
nadhani Vision na Mission ya TISS au UWT inatakiwa iwe ya style hii. Kuwachezea faulo kenya na Uganda kwa manufaa ya watanzania sioni kama ni kosa.
Je Tanzania tunao majasusi wa kichumi au kiteknolojia? Je si sawa moja ya wajibu wa mabalozi wetu nje ya nchi kuwa majasusi wetu wa kiuchum?
Nawasilisha
naomba unisaidie majina ya vitabu vyenye story za kijasusi,maana napenda sana kufuatilia mambo hayo,kuna ambacho nilikisoma kidogo kwa mshkaji lakini sikumbuki jina lake
please assist!
tatizo la Tanzania ni Siasa, hiki kitengo kinafanya kazi kwa nguvu ya kisiasa, kinajitahidi sana kukusanya information ambazo ziko creative na zenye maana, lakini maamuzi yanakuja kuwa ya kisiasa zaidi, Huu ni usalama wa Taifa, siwezi kukukubalia kuwa wale wezi Wa EPA walichota fedha pale BOT kuwa hawa jamaa wa UWT walikuwa hawajuhi, walikuwa well informed lakini fedha zilikuwa zinaenda CCM so what?, hii mikataba yote mibovu ilikuwa uinajulikana lakini hipo kisiasa zaidi
Nakubalina na wewe kiasi lakini hoja yangu nimetumia neno UJASUSI kuhoji sera zetu na mwelekeo wetu.Sidhani kama tanzania tunahitaji ujasusi ili tupige hatua kutoka hapa tulipoi tangu uhuru......naamini ujasusi ni hatua ya juu kabisa na matatizo yetu watanzania ni ya kipekee kabisa na hayahitaji ujasusi.......tukizingatia yafuatayo tutaondoka kwanza hapa tulipo na ndipo baadaye nasi tutakuwa na uwezo na nafasi ya kufanya ujasusi...................
hoja ni kwamba je kuna kitengo cha mashushusu au minformer au jin lolote lile wa Uchumi, teknolojia. Hii idara yetu inavyo vitengo hivi.Kwan tanzania ina majasusi???... As far as i can think tuna mashushu tuu!....
Teh Teh teh kwenye katiba mpya ni vitu gani unataka viwekwe ambavyo vitatua matatizo? Maana upya tu wa katiba tu sio issue . Kama mada hapa wanajadili katiba. ebu njoo tunadilishane ideas.https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...tiba-mpya-katiba-mpya-je-inatakiwa-iweje.htmlShell walipoingia NIGERIA walijipenyeza kila idara ya serekali wan watu amabao wanawapa information za nini kinaendelea kwenye serekali hadi Raisi/Govenor anawazanini, wanapata taarifa ( According to CABLES from Wikileakes)
Nadhani sisi hatuhitaji kuwa namna hii!
Tuanze na KATIBA MPYA KWANZA