KERO Tanzania ya sasa barabara ni mbovu hadi wananchi tunaogopa kusafiri

KERO Tanzania ya sasa barabara ni mbovu hadi wananchi tunaogopa kusafiri

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Danielmwasi

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2021
Posts
2,329
Reaction score
4,198
Yani hii Tanzania sio kabisa ukiambiwa miaka mitano nyuma tulikuwa tunateleza tu hutaamini barabara ni mbovu sana.

Watu wamegoma kusafiri bila emergency payment maana wanajua hali ikibadilika, safari ya siku 3 itakuwa ya week.

This is shameful, hatuna highway hata moja nzima, ni potholes Na kuna mikoa uwezi kwenda in 2025.

Maji shida, umeme shida in 2025, really? 2025 dunia ya ai

This is 2025 tuna ishi hivi,

Wabunge kimya, kama wote akili zimewatoka .
 
yani hii tanzania sio kabisa. ukiambiwa miaka mitano nyuma tulikuwa tuna teleza tu huta amini. barabara ni mbovu sana.

watu wamegoma kusafiri bila emergency payment maana wanajua hali iki badilika , safari ya siku 3 itakuwa ya week.

this is shameful hatuna high hata moja nzima, ni potholes Na kuna mikoa uwezi kwenda in 2025.

maji shida, umeme shida in 2025, really??? 2025 dunia ya ai

this is 2025 tuna ishi hivi,

wabunge kimya, kama wote akili zimewatoka .
Tunanunua ndege kwanza
 
Tanroad ina miaka ina ukata Tanroad inaenda kua kama TTCL huyo ni wakala wa barabara hana ukata unategemea nini? Tanroad watamkumbuka Magufuli sana
 
Kuanzia BABATI KUPITIA KATESH HADI SINGIDA ,hali ni mbaya kupita kiasi
 
Kipindi cha kampeni uchwara kinakaribia.

Na yale maspidi yao kama ngiri lolote liwakute kwenye hayo makorongo wasiyoyatengeneza.
 
Ni hatari na hii inaongeza ajali, taharuki, mivutano na hata ugomvi kati ya madereva huko barabarani, unakuta breki za hapa na hapa mara umekwepa shimo kulia mara unarudi kushoto...
 
Na mbaya zaidi chura hana muda n watanganyika. YY akistafu anaenda zake zenji.
Kazi ni kipimo cha utu
 
Back
Top Bottom