Kijakazi
JF-Expert Member
- Jun 26, 2007
- 6,409
- 8,911
kwangu mimi raisi huyu yuko underrated na hapewi sifa zake anazostaili ingawaje ndiye raisi mwenye mchango mkubwa sana kwa tanzania ya leo, kwanza uchumi wa kati ulianzia kwake.
fikiria kampuni kubwa leo hii tanzania kama nmb, crdb, tanzania breweries, tanzania cigarretes hata tra zote ni kwa sababu ya B.Mkapa, bila ya hizo Kampuni tanzania leo hii ingekuwa masikini zaidi, yes alifanya makosa hasa kwenye migodi lkn pia ninaamini hakukusudia kwani amefanya mema mengi sana nchi hii, nimemkumbuka tu RIP!
fikiria kampuni kubwa leo hii tanzania kama nmb, crdb, tanzania breweries, tanzania cigarretes hata tra zote ni kwa sababu ya B.Mkapa, bila ya hizo Kampuni tanzania leo hii ingekuwa masikini zaidi, yes alifanya makosa hasa kwenye migodi lkn pia ninaamini hakukusudia kwani amefanya mema mengi sana nchi hii, nimemkumbuka tu RIP!