PostGE2025 Tanzania tuwazuie Diaspora uraia pacha rasmi

PostGE2025 Tanzania tuwazuie Diaspora uraia pacha rasmi

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

ndoto2020

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2017
Posts
1,463
Reaction score
1,284
Nimeona kwenye club house watu wengi wanaochochea watu kuandamana na kuichoma Tanzania ni Watanzania wanaoishi nje tena wengi wakiongea vingereza vyao vya kuokota okota na kutafuta via accent vya kuibia

NAISHAURI SERIKALI IFUTE KABISA ULE MPANGO WA URAIA PACHA, PILI HATA HADHI MAALUM IACHANE NAYO Hawa wajinga ikitokea wamerudi Tz kwa njia halali au haramu maana wengine wanaingilia boda kienyeji wakamatwe wafanyieni utafiti kwenye cm zao kama mhusika wa huu uhalifu huyo asirudi aneneeshe samaki kama hausiki aachiwe

Lakini ifike mahali wajue Tanzania sio choo cha mavi ni nchi imara
 
Nimeona kwenye club house watu wengi wanaochochea watu kuandamana na kuichoma Tanzania ni Watanzania wanaoishi nje tena wengi wakiongea vingereza vyao vya kuokota okota na kutafuta via accent vya kuibia

NAISHAURI SERIKALI IFUTE KABISA ULE MPANGO WA URAIA PACHA, PILI HATA HADHI MAALUM IACHANE NAYO Hawa wajinga ikitokea wamerudi Tz kwa njia halali au haramu maana wengine wanaingilia boda kienyeji wakamatwe wafanyieni utafiti kwenye cm zao kama mhusika wa huu uhalifu huyo asirudi aneneeshe samaki kama hausiki aachiwe

Lakini ifike mahali wajue Tanzania sio choo cha mavi ni nchi imara
Hamna mtanzania aatashirikiana na ww. Uraia pacha ni mzuri kukiwa na sheria dhabiti

Kuna nchi afrika zinafaidika sana, unahitaji sheria tu za ku regulate. Basi
 
Nimeona kwenye club house watu wengi wanaochochea watu kuandamana na kuichoma Tanzania ni Watanzania wanaoishi nje tena wengi wakiongea vingereza vyao vya kuokota okota na kutafuta via accent vya kuibia

NAISHAURI SERIKALI IFUTE KABISA ULE MPANGO WA URAIA PACHA, PILI HATA HADHI MAALUM IACHANE NAYO Hawa wajinga ikitokea wamerudi Tz kwa njia halali au haramu maana wengine wanaingilia boda kienyeji wakamatwe wafanyieni utafiti kwenye cm zao kama mhusika wa huu uhalifu huyo asirudi aneneeshe samaki kama hausiki aachiwe

Lakini ifike mahali wajue Tanzania sio choo cha mavi ni nchi imara
Hasira kiasi hicho inaweza kuhatarisha maisha yako!
 
Hasira kiasi hicho inaweza kuhatarisha maisha yako!
Kweli nahisi hata na hivyo toka tarehe 29 nimeshaathirika kiakili nina hasira sana na mtu anayechochea vurugu au kufanya vurugu nahisi huko mbele ya safari naweza kufungwa kwa kujichukulia sheria mkononi yaani nikimuona mtu anahamasisha fujo nakupiga chuma tu maana wangejionea hali ilivyokuwa tarehe 30 na 31 tulizoea kuona kwenye TV tu
 
Nimeona kwenye club house watu wengi wanaochochea watu kuandamana na kuichoma Tanzania ni Watanzania wanaoishi nje tena wengi wakiongea vingereza vyao vya kuokota okota na kutafuta via accent vya kuibia

NAISHAURI SERIKALI IFUTE KABISA ULE MPANGO WA URAIA PACHA, PILI HATA HADHI MAALUM IACHANE NAYO Hawa wajinga ikitokea wamerudi Tz kwa njia halali au haramu maana wengine wanaingilia boda kienyeji wakamatwe wafanyieni utafiti kwenye cm zao kama mhusika wa huu uhalifu huyo asirudi aneneeshe samaki kama hausiki aachiwe

Lakini ifike mahali wajue Tanzania sio choo cha mavi ni nchi imara
Watu mkibanwa uharo nendeni chooni sio mje huku jf.
 
Nimeona kwenye club house watu wengi wanaochochea watu kuandamana na kuichoma Tanzania ni Watanzania wanaoishi nje tena wengi wakiongea vingereza vyao vya kuokota okota na kutafuta via accent vya kuibia

NAISHAURI SERIKALI IFUTE KABISA ULE MPANGO WA URAIA PACHA, PILI HATA HADHI MAALUM IACHANE NAYO Hawa wajinga ikitokea wamerudi Tz kwa njia halali au haramu maana wengine wanaingilia boda kienyeji wakamatwe wafanyieni utafiti kwenye cm zao kama mhusika wa huu uhalifu huyo asirudi aneneeshe samaki kama hausiki aachiwe

Lakini ifike mahali wajue Tanzania sio choo cha mavi ni nchi imara
Mpango wa uraia pacha uko wapi?
 
Back
Top Bottom