Tanzania tuna walimu wa kufundisha Kifaransa, Kiarabu na Kichina? Walisomea wapi haya masomo?

Nimeona taasusi mpya zilizotolewa na wizara ya elimu Tanzania. Naomba tusaidieni mawazo kama zinatekelezeka na zina tija kwa watoto wetu

1. Tuambieni waalimu wa lugha ya kiarabu, Kifaransa na Kichina tunao? Chuo gani cha ualimu kinafundisha haya masomo kwa ngazi ya degree? Nauliza degree kwa sababu mwalimu wa kidato cha tano lazima awe na degree.

2. Ni nani kati yetu amewahi kushirikishwa kutoa maoni kuhusu mabadiliko haya?

3. Je, wanaosoma dini watakwenda kusoma nini chuoni? Wataenda vyuo gani hapa nchni?

4. Dunia inakimbilia kwenye TEHAMA, kwanini mfumo huu umejikita zaidi nje ya TEHAMA?

5. Ni nchi gani Duniani ina Tahsusi za aina hii tulipokwenda kujifunza au tunarudia aliyoifanyia hii nchi Mungai wakati anapanga kuua elimu yetu huku elimu ya Kenya ikiwa inapanda?

6. Waalimu wa kufundisha dini tuliwaandaa katika vyuo gani?

Kwamba hizi tahasusi zimeridhiwa au zimeletwa kwa ajili ya maoni? Nchi ya viwanda, biashara na kilimo kweli itatoboa kwa mfumo wa elimu ambao hauungani kati ya primary, secondary na chuo?
Well, una hoja nzuri sana Mkuu. Ingawa kwa maendeleo ya sayansi na teknolojia yaliyopo sasa kama vile Matumizi ya Walimu wa chache waliopo ikimuishwa na Matumizi ya IoT and Artificial Inteligence tunaweza kufundisha masomo hayo vizuri kabisa Mkuu. Shida itakuwa ni haya maumeme yetu yanayo katika kila dakika na hayajafika kila Kijiji.
 
Nimeona taasusi mpya zilizotolewa na wizara ya elimu Tanzania. Naomba tusaidieni mawazo kama zinatekelezeka na zina tija kwa watoto wetu

1. Tuambieni waalimu wa lugha ya kiarabu, Kifaransa na Kichina tunao? Chuo gani cha ualimu kinafundisha haya masomo kwa ngazi ya degree? Nauliza degree kwa sababu mwalimu wa kidato cha tano lazima awe na degree.

2. Ni nani kati yetu amewahi kushirikishwa kutoa maoni kuhusu mabadiliko haya?

3. Je, wanaosoma dini watakwenda kusoma nini chuoni? Wataenda vyuo gani hapa nchni?

4. Dunia inakimbilia kwenye TEHAMA, kwanini mfumo huu umejikita zaidi nje ya TEHAMA?

5. Ni nchi gani Duniani ina Tahsusi za aina hii tulipokwenda kujifunza au tunarudia aliyoifanyia hii nchi Mungai wakati anapanga kuua elimu yetu huku elimu ya Kenya ikiwa inapanda?

6. Waalimu wa kufundisha dini tuliwaandaa katika vyuo gani?

Kwamba hizi tahasusi zimeridhiwa au zimeletwa kwa ajili ya maoni? Nchi ya viwanda, biashara na kilimo kweli itatoboa kwa mfumo wa elimu ambao hauungani kati ya primary, secondary na chuo?
Ndiyo maana Jeshi lilionya kuhusu hawa Watu wasio na Asili ya Tanzania. Huyu Mungai kwakweli hapaswi kuigwa kwa walichotufanyia kielimu kama Taifa kwa manufaa ya mataifa jirani.
 
Walimu wapo kuna course zipo udsm school of education ambapo chinese ni teaching subject, course za french zipo udom ila sijui kama ipo kwenye college yao ya education
Hizo computer science walimu wapo mashuleni ila tu hawafindishi hilo somo sababu ya miundombinu hairuhusu.
 
Hao walimu wakufundisha hizo shule wapo ?
Wanakosekana vipi na vyuo vipo. Wapo watu wako china kule wanafundisha hizo lugha. Wapo UK wapo South Africa. Na ni watanzania..
Nimetoa mfano posta pale wapo walimu wengi tu wa lugha wana degree kabisa.
 
Katika shule na vyuo vya watu waliopambazuka, lugha za kigeni zinasomwa kama minor. Yaani iwe ni interest yako tu kujifunza. Lakini huwezi kuwakuta wanacheza na ile elimu msingi inayoandaa nguvu kazi yenye ushindani
Hizi tahasusi za dini zilitakiwa ziachwe kwa madhehebu ya Dini yenyewe. Sioni tahasusi inayohusu dini za asili za waafrika au dini za kihindi . Je hawa wamebaguliwa? Mambo ya dini yasihusishwe na mitahala ("syllabus ") ya Wizara ya Elimu. Wahitimu wa dini watapata ajira wapi?Serikali haina dini!.
Hizo tahasusi za lugha ni kitu kizuri kwanza Tanzania imechelewa sana. Afrika ya kusini ilianza kufundisha Kichina kama miaka 20 iliyopita. Wachina ndio wawekezaji wakubwa nchini, wakiongea tuwaelewe wanasema nini? Wachina walijifunza kiswahili miaka mingi iliyopita , sasa wanakuja kuwekeza hadi vijijini.
 
Kufundishwa vyuo vikuu shio shida. Haya masomo huwa yanakuwepo vyuo vikuu ili wale wenye kupenda waweze kusoma. Shida ni kuzifanya kuwa major courses. Yaani unaandaa hawa watu wamtumikie nani?

Nikupe mifano michache, ukiwa unatoka Mwenge kwenda Posta mita chache kabla ya kukaribia mataa ya Morroco kuna njia inaingia kushoto kabla ya jengo refu lililopakana na mataa yenyewe, pale vimewekwa vibao kadhaa vya kichina vikielekeza jambo fulani kwa lugha ya kichina. Sasa unajiuliza hivi vibao vilikusudia kumwelekeza nani? Vinaelekeza nini? Kwa nini asiweke kwa lugha mbili? Maswali ni mengi na hayakauki kichwani. Kwa hiyo usiyejua kichina imekula kwako. Vivyo hivyo hata kwenye hayo majengo ya msaada hapo chuo kikuu, ukifika pale school of confucius unaweza kudhani umeingia China, ni mwendo wa maandishi ya kichina tu kwenye kuta za majengo. Sasa unajiuliza wasomi waliotishwa na maandishi ya kichina chuo kikuu watatoka na ubongo wa kuweza kuwakabili wachina kwelikweli? Na pengine itakuja na misaada ya kufundisha tamaduni na lugha za kiarabu na kifaransa na majengo ya ufadhili yatajengwa tena kwenye vyuo vyetu hivi vikuu! Kwa mtindo huu tunaingiza uduni na ukoloni wenyewe kwenye vichwa vya watoto wetu.

Hatari kabisa.
Walimu wapo kuna course zipo udsm school of education ambapo chinese ni teaching subject, course za french zipo udom ila sijui kama ipo kwenye college yao ya education
Hizo computer science walimu wapo mashuleni ila tu hawafindishi hilo somo sababu ya miundombinu hairuhusu.
 
Kufundishwa vyuo vikuu shio shida. Haya masomo huwa yanakuwepo vyuo vikuu ili wale wenye kupenda waweze kusoma. Shida ni kuzifanya kuwa major courses. Yaani unaandaa hawa watu wamtumikie nani?

Nikupe mifano michache, ukiwa unatoka Mwenge kwenda Posta mita chache kabla ya kukaribia mataa ya Morroco kuna njia inaingia kushoto kabla ya jengo refu lililopakana na mataa yenyewe, pale vimewekwa vibao kadhaa vya kichina vikielekeza jambo fulani kwa lugha ya kichina. Sasa unajiuliza hivi vibao vilikusudia kumwelekeza nani? Vinaelekeza nini? Kwa nini asiweke kwa lugha mbili? Maswali ni mengi na hayakauki kichwani. Kwa hiyo usiyejua kichina imekula kwako. Vivyo hivyo hata kwenye hayo majengo ya msaada hapo chuo kikuu, ukifika pale school of confucius unaweza kudhani umeingia China, ni mwendo wa maandishi ya kichina tu kwenye kuta za majengo. Sasa unajiuliza wasomi waliotishwa na maandishi ya kichina chuo kikuu watatoka na ubongo wa kuweza kuwakabili wachina kwelikweli? Na pengine itakuja na misaada ya kufundisha tamaduni na lugha za kiarabu na kifaransa na majengo ya ufadhili yatajengwa tena kwenye vyuo vyetu hivi vikuu! Kwa mtindo huu tunaingiza uduni na ukoloni wenyewe kwenye vichwa vya watoto wetu.

Hatari kabisa.
Kama nlivyosema wameamua kushusha chini ili knowledge waanze kuipata huku chini mkuu unavyosema kufundishwa chuoni sio issue kwani haya masomo mengine ya English n.k si wanafundishwa chuoni walimu then wanakuja kufundisha sekondari
 
Hayo makombi ni kupotezea tu isionekane dini imeingizwa, na ile dini ya pili imeingizwa kupoteza maboya tu. Ni abrakadabra tu imefanyika hapa wala hakuna tija. Mambo ya dini yana wenyewe wakafundishane huko. Nani anataka ajira ya kufundisha dini? Unaanzaje kuomba ajira msikitini/kanisani? Hii nchi si ya kidini katika mfumo wake wa serikali. Huko ni kumong'onyoa misingi imara iliyowekwa tangu kuasisiwa kwa taifa hili. Wakaona italalamikiwa sana wakachomeka divinity ili kubalansi mambo wakati ukweli ni kuingiza islamic knowledge huku ikishadidiwa na kiarabu kabisa ili dini hiyo itamalaki kwa mawanda katika taifa na mwisho wa siku itawale nyanja zote na iwe ndio mfumo wa taifa. Hakuna mwenye shida na abrakadabra na mambo ya dini nyakati hizi huko ni kuridhisha kundi fulani la wahafidhina wa dini ya kipuuzi ili tu waone wako kwenye hatamu nchini. Comb zingejikita kwenye masomo yenye tija, dini kila raia ana yake atafundishwa huko anakoabudu
 
Nimeona taasusi mpya zilizotolewa na wizara ya elimu Tanzania. Naomba tusaidieni mawazo kama zinatekelezeka na zina tija kwa watoto wetu

1. Tuambieni waalimu wa lugha ya kiarabu, Kifaransa na Kichina tunao? Chuo gani cha ualimu kinafundisha haya masomo kwa ngazi ya degree? Nauliza degree kwa sababu mwalimu wa kidato cha tano lazima awe na degree.

2. Ni nani kati yetu amewahi kushirikishwa kutoa maoni kuhusu mabadiliko haya?

3. Je, wanaosoma dini watakwenda kusoma nini chuoni? Wataenda vyuo gani hapa nchni?

4. Dunia inakimbilia kwenye TEHAMA, kwanini mfumo huu umejikita zaidi nje ya TEHAMA?

5. Ni nchi gani Duniani ina Tahsusi za aina hii tulipokwenda kujifunza au tunarudia aliyoifanyia hii nchi Mungai wakati anapanga kuua elimu yetu huku elimu ya Kenya ikiwa inapanda?

6. Waalimu wa kufundisha dini tuliwaandaa katika vyuo gani?

Kwamba hizi tahasusi zimeridhiwa au zimeletwa kwa ajili ya maoni? Nchi ya viwanda, biashara na kilimo kweli itatoboa kwa mfumo wa elimu ambao hauungani kati ya primary, secondary na chuo?
Mama anaupiga mwingi! Nchi yaajabu hii
 
Nimegundua Watanzania wengi ni wagumu wa kutafuta Maarifa. Kwa maswali ulouliza inaonekana unaishi nyuma ya muda. Kifupi tu, Masomo yote hayo yanatoa walimu, na baadhi ya shule zina walimu, na baadhi ya walimu wa masomo hayo, hawana kazi.
 
Back
Top Bottom