Tanzania sio Mwanza pekee Rais Magufuli!

Tanzania sio Mwanza pekee Rais Magufuli!

Jamaa sidhani kama watu wake wa karibu wanamshaurigi kitu akawaelewa . Yupo yupo tu.
 
Wewe sio Msukuma. Msukuma hawezi kutoa lawama kwa kuangalia sentensi moja tu. Tafuta kabila lako huko huko chadema.
kwa hiyo untaka usema Wasukuma hawawezi kufikir kama mtoa mada,ina maana unatka kusema Wasukuma wote wanafurahia yanayotokea nchini?....Lumumba mna matatizo mazito
 
Wewe ni wa misungwi kijiji gan mkuu

Je ungepata furaha gan endapo sisi wasukuma wenzio tungebomolewa nyumba zetu maana sisi wengine tuna nyumba maeneo hayo
Hakumaanisha kwamba zivunjwe kama maeneo mengine bali lugha yake ya kejeli na yeye ubaguzi ndani yake kuwa wasibomolewe maana ni wapiga kura wake! Of course hata watu wa Mwanza wangebomolewa Nyumba zao bila Fidia Tanzania yote ingelaani.

The fact ni kwamba kwanini maeneo mengine anabomoa bila huruma wala kujali hali ngumu ya watu?
 
Hiyo mbona kawaida kwa viongozi wa nchi za shithole
 
Wasukuma ndio kila kitu nchi hii,

Zamu yetu mlitutesa sana malofa nyie
Ancestors wangu walitokea Bariadi na nilishawahi kwenda zamani kidogo!..Tulipitia wilaya ya Maswa kama lilivyo jina lako Maswa 1 sasa hivi nasikia lami imeishia maswa wilayani mwaka ujao wa fedha inaenda hadi bariadi lami!..Kuna ndugu zangu maswa hapo huwa nakuja when emergency calls!.. Tusipandikize chuki tukaonekana wasukuma ni watu wa visasi, viroja n.k
 
Nisingepata furaha lakini nachotaka kusema ni kwamba kama anavyotujali nyumbani basi awajari na wengine ili kuondoa double standard
Kwahiyo wewe kinachokuuma ni kitu gan? Tuliza bol mkuu

miaka ya nyuma wasukuma waliteseka sana kwa kuonewa na uongoz uliokuwagepo hukuliona hilo? Hujui kuwa wafugaj wa kisukuma walikuwa wakifukuzwa kwenye nchi yao kama wakimbizi?
 
hakika majuto ni mjukuu.. zilee kiki zote za mwaka 2016 mwanzoni where is it now... me ambae nipo Lindi inamaana sikumpigia kura
 
Nimeshakwambia wasukuma hatuna shobo na herufi ( R ) kama unaona ndio ya maana saana go on with yah belief!..Ila hata raisi anajua WDGF bout its usage!..
Kwenda huko!! Mfyuuu!!
 
Nimeshakwambia wasukuma hatuna shobo na herufi ( R ) kama unaona ndio ya maana saana go on with yah belief!..Ila hata raisi anajua WDGF bout its usage!..
Kwenda huko!! Mfyuuu!!
 
Back
Top Bottom