Tanzania sio Mwanza pekee Rais Magufuli!

Tanzania sio Mwanza pekee Rais Magufuli!

kawaida ya wanaume wa kisukuma huwa wabishi kushaurika !lile jitu gumu sana kushaurika !likafie mabwepande huko
Duh had unamuombea kifo kabisa aisee

Hayo maeneo ya airport kuna nyumba yetu tuliachiwa na mama yetu lakin tumeweka wapangaji hivyo nimefurah sana aisee

Asante rais magufur
 
unajisumbua bure..
magufuli yupo sahihi.
na amelirudia hili jambo kwa Mara ya pili.
nilishasema kama wewe sio msukuma na unamfagilia magufuli.
JUA UNAJIPENDEKEZA.
 
We lofa mie ni msukuma tena wa misungwi!!.. Halafu sijaangalia sentensi moja tu hebu nambie tamko gani mheshimiwa alilitoa watu wa jangwani dsm walipovunjiwa nyumba, watu wa ubungo alitoa tamko?, je watu wa kimara alisema nini?.. iweje inapokuja Mwanza anasimama!..
Na mie nimesimamia ishu hii ya kuijali sana Mwanza sikatai Nyumba ni Nyumbani lakini hakukuhitajika nguvu inayotumika hadi tunaona!.
Matokeo yake nikisimama na kujiita msukuma naonekana mkanda/katili/mbinafsi wakati hatupo hivyo!..
Wasukuma tupo almost Tanzania yote na tunajulikana wapole wajali maendeleo ya sehemu tulizopo lasivo tungekua tumeujenga sana ukanda huo kuliko mikoa tuliyopo!.
Wewe ni wa misungwi kijiji gan mkuu

Je ungepata furaha gan endapo sisi wasukuma wenzio tungebomolewa nyumba zetu maana sisi wengine tuna nyumba maeneo hayo
 
kuna watu Wa Lumumba.
BADO HAWATAKI KUAMKA.
wamelala usingizi mzito kweli kweli.
hapa ukikumbuka ulivyoamka saa 9 usiku kuwahi foleni ili umpigie kura bwana yule.
alafu Leo anatamka maneno hayo.na ukiangalia wewe si msukuma.lazma roho iume
 
We lofa mie ni msukuma tena wa misungwi!!.. Halafu sijaangalia sentensi moja tu hebu nambie tamko gani mheshimiwa alilitoa watu wa jangwani dsm walipovunjiwa nyumba, watu wa ubungo alitoa tamko?, je watu wa kimara alisema nini?.. iweje inapokuja Mwanza anasimama!..
Na mie nimesimamia ishu hii ya kuijali sana Mwanza sikatai Nyumba ni Nyumbani lakini hakukuhitajika nguvu inayotumika hadi tunaona!.
Matokeo yake nikisimama na kujiita msukuma naonekana mkanda/katili/mbinafsi wakati hatupo hivyo!..
Wasukuma tupo almost Tanzania yote na tunajulikana wapole wajali maendeleo ya sehemu tulizopo lasivo tungekua tumeujenga sana ukanda huo kuliko mikoa tuliyopo!.
Wasukuma waungwana sana,wanyeykevu wana busara....huyu mkuu wa nchi labda familia yake ilihamia tu usukumani maana hana sifa yoyote ya kuwa msukuma..
 
Wewe sio Msukuma. Msukuma hawezi kutoa lawama kwa kuangalia sentensi moja tu. Tafuta kabila lako huko huko chadema.
Hapa ndipo ccm ilipotufikisha...kuanza kutafutana kwa kabila zetu!!
 
Back
Top Bottom