Tanzania sio Burkina Faso

Tanzania sio Burkina Faso

Msishabikie vurugu wambieni watawala kwanini hawatujali wananchi kama Nyerere na Mwinyi walivyo tutawala
 
UKAWA wengi wamekuwa wakilinganisha mambo ya kisiasa ya Burkina Faso na Tanzania.Niwasaidie tu

1.Burkina faso KUNA UKABILA NA UDINI wakati Tanzania hakuna.

2.Rais aliyeondoka madarakani hakuingia kidemokrasia aliua mwenzie tena rafiki yake mkubwa (THOMAS sankara) kwa mapinduzi ya Kijeshi .Tanzania Rais alichaguliwa kwa kura kidemokrasia.

3.Burkina FASO jeshi halina nidhamu na ni moja ya majeshi yasiyo na nidhamu Afrika likishika nafasi ya pili Africa kwa ukosefu wa nidhamu baada ya yale ya Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo yakifuatiwa na majeshi ya nchi zinazoongea kifaransa Afrika na yale ya nchi za Kaskazini mwa Afrika kule kulikotokea Arab SPRINGS.Tanzania ni jeshi lenye nidhamu ya hali ya juu mno Afrika na highly organized.

4.Majeshi ya BURKINA FASO hayana nguvu za kudhibiti waandamanaji au waasi maruhuni. Tanzania POLISI TU wanatosha hamna haja ya kuita jeshi kushughulikia waandamanaji maruhuni.Uwezo wa polisi na jeshi pia hupimwa kwa uwezo wake wa kudhibiti organized crimes kupitia CIVIL STRIFES zinazoweza fanywa na raia wahuni waliojipanga kuharibu utengamano katika nchi kwa sababu zozote.

5.Raia wengi wa Burkina FASO NI WAHUNI WASIOPENDA kutii sheria.Ni kama wafuasi wa CHADEMA.Tanzania ni tofauti raia wengi ni watii wa sheria bila shuruti.

Kifupi BURKINA FASO na TANZANIA ni nchi tofauti,zenye majina tofauti,watu tofauti na siasa tofauti.Kulinganisha nchi hizi mbili si sahihi.

Red.....kaka mara tu umeshasahau yaliyotokea Ntwara,,,Hukumbuki kuwa Jeshi la Tanzania liliingilia Kati mgogoro wa Gesi Ntwara baada ya Polisi kushindwa,Jeshi lenye nidhamu halitumiwi kisiasa,Jeshi lenye nidhamu linalinda raia wake,Kila siku tunasikia JWTz linawapa kipigo raia kosa lao kubwa kuvaa sare za jeshi ambazo dunia nzima eza Jeshi zinavaliwa na raia wa kawaida isipokuwa Tanzania....,Sare ya Jeshi inakuwa ya mwanajeshi pale inapovaliwa kambini,,,Uraiani ni nguo ya kawaida,,,ni sawa sawa na kusema kila anaievaa nguo nyeupe Daktari,,,🙂

Yale yaliotokea Mtwara kuhusu mgogoro wa Gesi ulikuwa mwanzo tu........kama raia wataamua hata jeshi haliwezi kufanua kuzuia....
 
Acha kupotosha,leo umeikana singo yenu ya kuwa CDM ni chama cha wakristo au CUF kuwa nichama cha waislamu. Dawa yenu ipo jikoni wash*nzi nyie
 
Ukisoma historia kwanini nchi nyingi za kiafrika zilianza kupigania uhuru baada ya vita vya pili vya dunia,utajua kuwa hata sasa TZ tupo jirani kupata uhuru,tumejifunza kuwa kumbe inawezekana.CCM kaeni chonjo
 
Umaskini, ukosefu wa ajira, maradhi na demokrasia mbovu (chaguzi zilizojaa rushwa) pasi na haki na usawa, Burkina Faso ni sawa kabisa na Tanzania. Tofauti pekee Kati ya nchi hizi mbili ni wananchi wake. Wabukirna Faso wanajitambua na haki zao, wakati Watanzania wengi hawazitambui. Mfano mdogo, angalia tofauti ya mikoa iliyoelimika (e.g. Kilomanjaro) na ile iliyonyuma kielimu (e.g. Lindi). Zipo tofauti kubwa za maendeleo! Wanaoshindwa kutambua haki zao ni sawa na ng'ombe! Wanaendelea kumchagua mbunge asiyefanya lolote mpaka anafariki dunia! Mtoa mada inaonesha anafaidika na mfumo uliopo madarakani, si miongoni mwa mafukara wengi. Kumbuka kwamba watu 30 wamefariki dunia kutokana na maandamano ya kudai demokrasia ya kweli Burkina Faso. Rais alitaka kuendelea kuongoza mbali na hali mbaya ya wananchi. Ziara ya hivi karibuni ya katibu mkuu wa CCM inasawiri ukweli huu!
 
.Majeshi ya BURKINA FASO hayana nguvu za kudhibiti waandamanaji au waasi maruhuni. Tanzania POLISI TU wanatosha hamna haja ya kuita jeshi kushughulikia waandamanaji maruhuni.Uwezo wa polisi na jeshi pia hupimwa kwa uwezo wake wa kudhibiti organized crimes kupitia CIVIL STRIFES zinazoweza fanywa na raia wahuni waliojipanga kuharibu utengamano katika nchi kwa sababu zozote.

Hivi kule mtwara si ilibidi jeshi lichukuwe nchi kwa mwaka na zaidi au ushasahau?

 
UKAWA wengi wamekuwa wakilinganisha mambo ya kisiasa ya Burkina Faso na Tanzania.Niwasaidie tu

1.Burkina faso KUNA UKABILA NA UDINI wakati Tanzania hakuna.

2.Rais aliyeondoka madarakani hakuingia kidemokrasia aliua mwenzie tena rafiki yake mkubwa (THOMAS sankara) kwa mapinduzi ya Kijeshi .Tanzania Rais alichaguliwa kwa kura kidemokrasia.

3.Burkina FASO jeshi halina nidhamu na ni moja ya majeshi yasiyo na nidhamu Afrika likishika nafasi ya pili Africa kwa ukosefu wa nidhamu baada ya yale ya Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo yakifuatiwa na majeshi ya nchi zinazoongea kifaransa Afrika na yale ya nchi za Kaskazini mwa Afrika kule kulikotokea Arab SPRINGS.Tanzania ni jeshi lenye nidhamu ya hali ya juu mno Afrika na highly organized.

4.Majeshi ya BURKINA FASO hayana nguvu za kudhibiti waandamanaji au waasi maruhuni. Tanzania POLISI TU wanatosha hamna haja ya kuita jeshi kushughulikia waandamanaji maruhuni.Uwezo wa polisi na jeshi pia hupimwa kwa uwezo wake wa kudhibiti organized crimes kupitia CIVIL STRIFES zinazoweza fanywa na raia wahuni waliojipanga kuharibu utengamano katika nchi kwa sababu zozote.

5.Raia wengi wa Burkina FASO NI WAHUNI WASIOPENDA kutii sheria.Ni kama wafuasi wa CHADEMA.Tanzania ni tofauti raia wengi ni watii wa sheria bila shuruti.

Kifupi BURKINA FASO na TANZANIA ni nchi tofauti,zenye majina tofauti,watu tofauti na siasa tofauti.Kulinganisha nchi hizi mbili si sahihi.

Tunapokuwa na ma-vijana majinga kama Wewe tutegemee nini zaidi ya huu uharo: ulioweka hapa? Vijana Wa Burkina Faso wanajitambua! Wewe Mkuu endelea kutuonesha KINYEO kwa kuvaa kata "K" na kutembea kama mmejinyea, hamna mnachokiweza zaidi ya hicho!

Eti POLISI tu wanatosha! Umesahau walivyotolewa kamasi kule Mtwara mpaka jeshi likaingilia kati? Eti jeshi lenye nidhamu? Umesahau wanavyopiga RAIA? Umesahau wanavyotoa kipigo kwa POLISI?

Kajipange upya mvaa Kata K Wewe!!
 
Hakuna tofauti kubwa kati ya Burkinafaso na Tanzania; kwa sasa wananchi wanaamini vyama vya siasa vitawasimamia katika kuipata haki yao ya maisha kitu ambacho sio sahihi sana. Ndio unaona kuna utulivu watu wakiamini kuwa mabadiliko yatafanyika kupitia mlango wa demokrasia mfu iliyopo. Lkn watakapoelewa kuwa hawawezi kufanya mabadiliko kupitia njia hiyo, ndipo yaliyotokea Burkinafaso au kwingineko duniani yatakuja.

Wewe mleta mada una akili zile za binaadamu na kifo. Akisikia mtu amekufa, anaona huyo aliyekufa kuna kanuni fulani za maisha hakuzifuata ndio sababu ya kifo chake kutokea na kwamba yeye yuko "free" na kifo(yaani haamini kama kufa yake iko karibu sana). Atakwambia, jamaa alikuwa anapenda kuendesha gari spidi; alikuwa anakunywa sana, nk.

Ukweli ni kwamba hali ya kutoridhishwa kwa wananchi iliyopo ni kubwa sana, na hii ndio itakaoleta ya Burkinafaso Tanzania na si polisi wala jeshi wataoweza kuzuia na pindipo wakizuia, ya Gbabo na Kenyata yatatokea.

Tanzania si nchi salama kuishi kwa watu wa rika zote na kipato chochote. Kwa mfano,

1. Ukiwa mzee, utauawa kwamba mchawi
2. Ukiwa albino utauawa,
3. Ukiwa kijana na maskini utateseka na life ngumu iliyopo
4. Ukiwa mmachinga, kutwa kukimbizana na mgambo wa jiji
5. Ukiwa mwanafunzi, mikopo hakuna au haiko 'norma'
6. Ukiwa una vijisenti vyako umejenga kijumba chako chanika huko, majambazi ndio wageni wako kila uchao;
7. Ukiwa huna gari, usafiri wa daladala ni sheeeeeedah,
8. Ukiwa na gari, kero za foleni na trafiki ni full stress,
9. Miji mingi michafu hususan Dar na viongozi wako comfortable na uchafu huo,
10. Ukiwa mkulima, bei za mazao zimekufa,
11. Ukiwa mwajiriwa wa serikali, mshahara hautoshi huku kila siku unasoma nyuzi jamaa wanapiga mabilioni ya umma-full stress,
Kwa kweli maisha ya Tanzania huenda hata burkinafaso ni nafuu maana unaweza kujifundisha mpira ukaenda cheza ulaya. Hapa hata....
 
Tanzania hakuna ukabila wala udini...? Kwahiyo ule wa CHADEMA na CUF mara vyama vya Kikiristo au kiilamu, ukabila mara hoo ukanda kumbe unathibitisha huwa mnapiga mayowe ya kimapepo tu....?

Halafu unaposema jeshi letu linanidhamu. Umeshawahi kufikiria hili: Inajulikana wazi kuwa wakuu wa mikoa na wilaya ni makada wa Chama Tawala. Sasa twende ...hapa: wanateuliwa na mwenyekiti wa CCM kwa kutumia mwamvuli wa Urais.
wengi ni maafisa wastaafu wa majeshi.

Sasa swali hawa makuu wa mikoa na wilaya hata wenye vyeo vingine vinavyotokana na ukada wa chama Walianza lini uanachama huo hata wakaaminiwa kuwa wanatosha kushika nyadhifa za kikada kama za ukuu wa mikoa na wilaya?

Obviously walikuwa wanachama na walijipambanua vilivyo tangu wakiwa watumishi wa vyombo hivyo vya dola. How? Wote tunashuhudia vyombo vyetu vya dola jinsi vinavyorumiwa kisiasa kulinda maslahi ya chama tawala na kukandamiza upinzani

So si nidhamu hiyo maslahi

Wewe uchambuzu hauwezi,endelea na siasa zako za majitaka,waachie wanaojua kuchambua mambo ya siasa
 
Tofautisha kuweko ukabila na udini katika nchi na katika vyama.Tanzania kama nchi udini na ukabila haupo.

Lakini vyama viko vyenye udini na ukabila.CHADEMA kabila dominant katika chama ni Wachaga na kidini ni cha wakristo tena waprotestant hasa walutheri na walokole wakati CUF kabila dominant lililojaa ni Wapemba na kidini ni waislamu wa itikadi kali.

Leo Dr.Slaa kawa mprotestant,mbona umepanic dogo?.
 
4.Majeshi ya BURKINA FASO hayana nguvu za kudhibiti waandamanaji au waasi maruhuni. Tanzania POLISI TU wanatosha hamna haja ya kuita jeshi kushughulikia waandamanaji maruhuni.Uwezo wa polisi na jeshi pia hupimwa kwa uwezo wake wa kudhibiti organized crimes kupitia CIVIL STRIFES zinazoweza fanywa na raia wahuni waliojipanga kuharibu utengamano katika nchi kwa sababu zozote.

5.Raia wengi wa Burkina FASO NI WAHUNI WASIOPENDA kutii sheria.Ni kama wafuasi wa CHADEMA.Tanzania ni tofauti raia wengi ni watii wa sheria bila shuruti.

east african eagle usiishi kwa kujidanganya ishi kwa ukweli kuhusu uwezo wa polisi lbd ulikuwa mdogo kuona kilichotokea huko mtwara wakati wa gesi haitoki usitegemee kutotenda haki na ukaona amani inaendelea kuwapo, amani ni tunda la haki, hao waarabu usidhani hawaogopi kufa lakini walichokifanya ni baada ya kuona hawana cha kupoteza.
 
UKAWA wengi wamekuwa wakilinganisha mambo ya kisiasa ya Burkina Faso na Tanzania.Niwasaidie tu

1.Burkina faso KUNA UKABILA NA UDINI wakati Tanzania hakuna.

2.Rais aliyeondoka madarakani hakuingia kidemokrasia aliua mwenzie tena rafiki yake mkubwa (THOMAS sankara) kwa mapinduzi ya Kijeshi .Tanzania Rais alichaguliwa kwa kura kidemokrasia.

3.Burkina FASO jeshi halina nidhamu na ni moja ya majeshi yasiyo na nidhamu Afrika likishika nafasi ya pili Africa kwa ukosefu wa nidhamu baada ya yale ya Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo yakifuatiwa na majeshi ya nchi zinazoongea kifaransa Afrika na yale ya nchi za Kaskazini mwa Afrika kule kulikotokea Arab SPRINGS.Tanzania ni jeshi lenye nidhamu ya hali ya juu mno Afrika na highly organized.

4.Majeshi ya BURKINA FASO hayana nguvu za kudhibiti waandamanaji au waasi maruhuni. Tanzania POLISI TU wanatosha hamna haja ya kuita jeshi kushughulikia waandamanaji maruhuni.Uwezo wa polisi na jeshi pia hupimwa kwa uwezo wake wa kudhibiti organized crimes kupitia CIVIL STRIFES zinazoweza fanywa na raia wahuni waliojipanga kuharibu utengamano katika nchi kwa sababu zozote.

5.Raia wengi wa Burkina FASO NI WAHUNI WASIOPENDA kutii sheria.Ni kama wafuasi wa CHADEMA.Tanzania ni tofauti raia wengi ni watii wa sheria bila shuruti.

Kifupi BURKINA FASO na TANZANIA ni nchi tofauti,zenye majina tofauti,watu tofauti na siasa tofauti.Kulinganisha nchi hizi mbili si sahihi.
tofauti kubwa ya Tanzania na Bukinafaso ni Kuwa Bukinafaso idadi ya raia ni kubwa kuliko idadi ya watu while Tz idadi ya watu ni kubwa kuliko raia
 
4.Majeshi ya BURKINA FASO hayana nguvu za kudhibiti waandamanaji au waasi maruhuni. Tanzania POLISI TU wanatosha hamna haja ya kuita jeshi kushughulikia waandamanaji maruhuni.Uwezo wa polisi na jeshi pia hupimwa kwa uwezo wake wa kudhibiti organized crimes kupitia CIVIL STRIFES zinazoweza fanywa na raia wahuni waliojipanga kuharibu utengamano katika nchi kwa sababu zozote.

5.Raia wengi wa Burkina FASO NI WAHUNI WASIOPENDA kutii sheria.Ni kama wafuasi wa CHADEMA.Tanzania ni tofauti raia wengi ni watii wa sheria bila shuruti.

east african eagle usiishi kwa kujidanganya ishi kwa ukweli kuhusu uwezo wa polisi lbd ulikuwa mdogo kuona kilichotokea huko mtwara wakati wa gesi haitoki usitegemee kutotenda haki na ukaona amani inaendelea kuwapo, amani ni tunda la haki, hao waarabu usidhani hawaogopi kufa lakini walichokifanya ni baada ya kuona hawana cha kupoteza.
Mkuu hapo namba 5.kuna tofauti kubwa Kati ya Raia na watu.Watanzania ni watu sio Raia.raia anajua haki na wajibu wake kwa Taifa.watu wanafikiria serikali inafanyika kwa Hisani na si wajibu
 
Ningekuwa na TIME ACCELERATING MACHINE, ningeupeleka muda mbele kwa kasi ili 2015 muone tunavyouzika upinzani hususan CDM. nina hofu huenda wengine hamtafika mwakani. Tuna plan za miaka 50 ijayo kwa ajili ya taifa letu na katika plan hizo Chadema haipo.
We are born to lead and you are born to follow
unatumia masikio kufikiri au? unajua faida na hasara za ushindani? ukizika upinzani ndo ndo utatawala kiufanisi? ebu tumia ubongo wako kufikiri!
 
Very stupid and subjective analysis!! Ni sawa all CCM psychos and zealots endeleeni kujipa matumaini.

QUOTE=East African Eagle;11019452]UKAWA wengi wamekuwa wakilinganisha mambo ya kisiasa ya Burkina Faso na Tanzania.Niwasaidie tu

1.Burkina faso KUNA UKABILA NA UDINI wakati Tanzania hakuna.

2.Rais aliyeondoka madarakani hakuingia kidemokrasia aliua mwenzie tena rafiki yake mkubwa (THOMAS sankara) kwa mapinduzi ya Kijeshi .Tanzania Rais alichaguliwa kwa kura kidemokrasia.

3.Burkina FASO jeshi halina nidhamu na ni moja ya majeshi yasiyo na nidhamu Afrika likishika nafasi ya pili Africa kwa ukosefu wa nidhamu baada ya yale ya Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo yakifuatiwa na majeshi ya nchi zinazoongea kifaransa Afrika na yale ya nchi za Kaskazini mwa Afrika kule kulikotokea Arab SPRINGS.Tanzania ni jeshi lenye nidhamu ya hali ya juu mno Afrika na highly organized.

4.Majeshi ya BURKINA FASO hayana nguvu za kudhibiti waandamanaji au waasi maruhuni. Tanzania POLISI TU wanatosha hamna haja ya kuita jeshi kushughulikia waandamanaji maruhuni.Uwezo wa polisi na jeshi pia hupimwa kwa uwezo wake wa kudhibiti organized crimes kupitia CIVIL STRIFES zinazoweza fanywa na raia wahuni waliojipanga kuharibu utengamano katika nchi kwa sababu zozote.

5.Raia wengi wa Burkina FASO NI WAHUNI WASIOPENDA kutii sheria.Ni kama wafuasi wa CHADEMA.Tanzania ni tofauti raia wengi ni watii wa sheria bila shuruti.

Kifupi BURKINA FASO na TANZANIA ni nchi tofauti,zenye majina tofauti,watu tofauti na siasa tofauti.Kulinganisha nchi hizi mbili si sahihi.
[/QUOTE]
 
UKAWA wengi wamekuwa wakilinganisha mambo ya kisiasa ya Burkina Faso na Tanzania.Niwasaidie tu

1.Burkina faso KUNA UKABILA NA UDINI wakati Tanzania hakuna.

2.Rais aliyeondoka madarakani hakuingia kidemokrasia aliua mwenzie tena rafiki yake mkubwa (THOMAS sankara) kwa mapinduzi ya Kijeshi .Tanzania Rais alichaguliwa kwa kura kidemokrasia.

3.Burkina FASO jeshi halina nidhamu na ni moja ya majeshi yasiyo na nidhamu Afrika likishika nafasi ya pili Africa kwa ukosefu wa nidhamu baada ya yale ya Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo yakifuatiwa na majeshi ya nchi zinazoongea kifaransa Afrika na yale ya nchi za Kaskazini mwa Afrika kule kulikotokea Arab SPRINGS.Tanzania ni jeshi lenye nidhamu ya hali ya juu mno Afrika na highly organized.

4.Majeshi ya BURKINA FASO hayana nguvu za kudhibiti waandamanaji au waasi maruhuni. Tanzania POLISI TU wanatosha hamna haja ya kuita jeshi kushughulikia waandamanaji maruhuni.Uwezo wa polisi na jeshi pia hupimwa kwa uwezo wake wa kudhibiti organized crimes kupitia CIVIL STRIFES zinazoweza fanywa na raia wahuni waliojipanga kuharibu utengamano katika nchi kwa sababu zozote.

5.Raia wengi wa Burkina FASO NI WAHUNI WASIOPENDA kutii sheria.Ni kama wafuasi wa CHADEMA.Tanzania ni tofauti raia wengi ni watii wa sheria bila shuruti.

Kifupi BURKINA FASO na TANZANIA ni nchi tofauti,zenye majina tofauti,watu tofauti na siasa tofauti.Kulinganisha nchi hizi mbili si sahihi.


Nakushauri ukasome na kuelewa maana ya domino effect
 
Hakuna tofauti kubwa kati ya Burkinafaso na Tanzania; kwa sasa wananchi wanaamini vyama vya siasa vitawasimamia katika kuipata haki yao ya maisha kitu ambacho sio sahihi sana. Ndio unaona kuna utulivu watu wakiamini kuwa mabadiliko yatafanyika kupitia mlango wa demokrasia mfu iliyopo. Lkn watakapoelewa kuwa hawawezi kufanya mabadiliko kupitia njia hiyo, ndipo yaliyotokea Burkinafaso au kwingineko duniani yatakuja.

Wewe mleta mada una akili zile za binaadamu na kifo. Akisikia mtu amekufa, anaona huyo aliyekufa kuna kanuni fulani za maisha hakuzifuata ndio sababu ya kifo chake kutokea na kwamba yeye yuko "free" na kifo(yaani haamini kama kufa yake iko karibu sana). Atakwambia, jamaa alikuwa anapenda kuendesha gari spidi; alikuwa anakunywa sana, nk.

Ukweli ni kwamba hali ya kutoridhishwa kwa wananchi iliyopo ni kubwa sana, na hii ndio itakaoleta ya Burkinafaso Tanzania na si polisi wala jeshi wataoweza kuzuia na pindipo wakizuia, ya Gbabo na Kenyata yatatokea.

Tanzania si nchi salama kuishi kwa watu wa rika zote na kipato chochote. Kwa mfano,

1. Ukiwa mzee, utauawa kwamba mchawi
2. Ukiwa albino utauawa,
3. Ukiwa kijana na maskini utateseka na life ngumu iliyopo
4. Ukiwa mmachinga, kutwa kukimbizana na mgambo wa jiji
5. Ukiwa mwanafunzi, mikopo hakuna au haiko 'norma'
6. Ukiwa una vijisenti vyako umejenga kijumba chako chanika huko, majambazi ndio wageni wako kila uchao;
7. Ukiwa huna gari, usafiri wa daladala ni sheeeeeedah,
8. Ukiwa na gari, kero za foleni na trafiki ni full stress,
9. Miji mingi michafu hususan Dar na viongozi wako comfortable na uchafu huo,
10. Ukiwa mkulima, bei za mazao zimekufa,
11. Ukiwa mwajiriwa wa serikali, mshahara hautoshi huku kila siku unasoma nyuzi jamaa wanapiga mabilioni ya umma-full stress,
Kwa kweli maisha ya Tanzania huenda hata burkinafaso ni nafuu maana unaweza kujifundisha mpira ukaenda cheza ulaya. Hapa hata....

Tena jamaa amechemka zaidi aliposema "3.Burkina FASO jeshi halina nidhamu na ni moja ya majeshi yasiyo na nidhamu Afrika likishika nafasi ya pili Africa kwa ukosefu wa nidhamu baada ya yale ya Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo yakifuatiwa na majeshi ya nchi zinazoongea kifaransa Afrika na yale ya nchi za Kaskazini mwa Afrika kule kulikotokea Arab SPRINGS.Tanzania ni jeshi lenye nidhamu ya hali ya juu mno Afrika na highly organized"

Huyu nafikiri anashindwa kutofautisha kati ya "kutokuwa na nidhamu" na "kutokuwa na uzalendo" ni kweli jeshi la Tanzania lina nidhamu, lakini ni nidhamu ya kizembe na iliyokosa uzalendo. Majeshi ya nchi zilizotajwa na mleta mada ni majeshi ya kizalendo, yasiyo tayari kupiga wananchi wenzao kwa kutetea kundi la mafisadi na walafi wachache. Majeshi mengi zelendo yanatambua kuwa wananchi ni sehemu ya jamii wanayoishi, kwahiyo basi wengi wanaoteseka kutokana na maisha magumu yaliyosabishwa na uongozi mbovu, ni kaka zao, dada zao, shangazi zao, wakwe zao, na kadhalika. Kwa maana hiyo, hawawezi kuendekeza ubinafsi wa kuwatetea mafisadi waliokataliwa. Mifano ya majeshi haya yatafikisha tu ujumbe kwa jeshi letu la Tanzania kufanya maamuzi yaliyo sahihi, ili kuinusuru nchi yetu kutoka kwenye kichaka cha majambazi wachache.
 
UKAWA wengi wamekuwa wakilinganisha mambo ya kisiasa ya Burkina Faso na Tanzania.Niwasaidie tu

1.Burkina faso KUNA UKABILA NA UDINI wakati Tanzania hakuna.

2.Rais aliyeondoka madarakani hakuingia kidemokrasia aliua mwenzie tena rafiki yake mkubwa (THOMAS sankara) kwa mapinduzi ya Kijeshi .Tanzania Rais alichaguliwa kwa kura kidemokrasia.

3.Burkina FASO jeshi halina nidhamu na ni moja ya majeshi yasiyo na nidhamu Afrika likishika nafasi ya pili Africa kwa ukosefu wa nidhamu baada ya yale ya Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo yakifuatiwa na majeshi ya nchi zinazoongea kifaransa Afrika na yale ya nchi za Kaskazini mwa Afrika kule kulikotokea Arab SPRINGS.Tanzania ni jeshi lenye nidhamu ya hali ya juu mno Afrika na highly organized.

4.Majeshi ya BURKINA FASO hayana nguvu za kudhibiti waandamanaji au waasi maruhuni. Tanzania POLISI TU wanatosha hamna haja ya kuita jeshi kushughulikia waandamanaji maruhuni.Uwezo wa polisi na jeshi pia hupimwa kwa uwezo wake wa kudhibiti organized crimes kupitia CIVIL STRIFES zinazoweza fanywa na raia wahuni waliojipanga kuharibu utengamano katika nchi kwa sababu zozote.

5.Raia wengi wa Burkina FASO NI WAHUNI WASIOPENDA kutii sheria.Ni kama wafuasi wa CHADEMA.Tanzania ni tofauti raia wengi ni watii wa sheria bila shuruti.

Kifupi BURKINA FASO na TANZANIA ni nchi tofauti,zenye majina tofauti,watu tofauti na siasa tofauti.Kulinganisha nchi hizi mbili si sahihi.

Tena umechemka zaidi uliposema "3.Burkina FASO jeshi halina nidhamu na ni moja ya majeshi yasiyo na nidhamu Afrika likishika nafasi ya pili Africa kwa ukosefu wa nidhamu baada ya yale ya Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo yakifuatiwa na majeshi ya nchi zinazoongea kifaransa Afrika na yale ya nchi za Kaskazini mwa Afrika kule kulikotokea Arab SPRINGS.Tanzania ni jeshi lenye nidhamu ya hali ya juu mno Afrika na highly organized"

Wewe nafikiri anashindwa kutofautisha kati ya "kutokuwa na nidhamu" na "kutokuwa na uzalendo" ni kweli jeshi la Tanzania lina nidhamu, lakini ni nidhamu ya kizembe na iliyokosa uzalendo. Majeshi ya nchi ulizotaja ni majeshi ya kizalendo, yasiyo tayari kupiga wananchi wenzao kwa kutetea kundi la mafisadi na walafi wachache. Majeshi mengi zelendo yanatambua kuwa wananchi ni sehemu ya jamii wanayoishi, kwahiyo basi wengi wanaoteseka kutokana na maisha magumu yaliyosabishwa na uongozi mbovu, ni kaka zao, dada zao, shangazi zao, wakwe zao, na kadhalika. Kwa maana hiyo, hawawezi kuendekeza ubinafsi wa kuwatetea mafisadi waliokataliwa. Mifano ya majeshi haya yatafikisha tu ujumbe kwa jeshi letu la Tanzania kufanya maamuzi yaliyo sahihi, ili kuinusuru nchi yetu kutoka kwenye kichaka cha majambazi wachache.
 
Mleta mada, myopia kama yako ndiyo iliyoleta matatizo katika nchi zote ambazo umesikia watu waliamka na kuung'oa utawala uliokuwako. Watawala walijisahau, na wakisikia yametokea nchi nyingine, wanasema hivyo kwamba watu wetu hawako hivyo, haiwezi kutokea hapa.
Na ni myopia hiyo hiyo inayowafanya watu wakabuni katiba yenye manufaa ya kwao ya wakati huu bila kujali mustakabali wa nchi longterm. Hakuna kitu kama permanent majority. Mabadiliko yatatokea tu. Na itakapotokea wakachukua watu ambao walibanwa na sasa kwa sababu ya katiba ya kibinafsi ndiyo wamepata nguvu zote itakuwaje?
 
ukawa wengi wamekuwa wakilinganisha mambo ya kisiasa ya burkina faso na tanzania.niwasaidie tu

1.burkina faso kuna ukabila na udini wakati tanzania hakuna.

2.rais aliyeondoka madarakani hakuingia kidemokrasia aliua mwenzie tena rafiki yake mkubwa (thomas sankara) kwa mapinduzi ya kijeshi .tanzania rais alichaguliwa kwa kura kidemokrasia.

3.burkina faso jeshi halina nidhamu na ni moja ya majeshi yasiyo na nidhamu afrika likishika nafasi ya pili africa kwa ukosefu wa nidhamu baada ya yale ya jamhuri ya kidemokrasia ya kongo yakifuatiwa na majeshi ya nchi zinazoongea kifaransa afrika na yale ya nchi za kaskazini mwa afrika kule kulikotokea arab springs.tanzania ni jeshi lenye nidhamu ya hali ya juu mno afrika na highly organized.

4.majeshi ya burkina faso hayana nguvu za kudhibiti waandamanaji au waasi maruhuni. Tanzania polisi tu wanatosha hamna haja ya kuita jeshi kushughulikia waandamanaji maruhuni.uwezo wa polisi na jeshi pia hupimwa kwa uwezo wake wa kudhibiti organized crimes kupitia civil strifes zinazoweza fanywa na raia wahuni waliojipanga kuharibu utengamano katika nchi kwa sababu zozote.

5.raia wengi wa burkina faso ni wahuni wasiopenda kutii sheria.ni kama wafuasi wa chadema.tanzania ni tofauti raia wengi ni watii wa sheria bila shuruti.

Kifupi burkina faso na tanzania ni nchi tofauti,zenye majina tofauti,watu tofauti na siasa tofauti.kulinganisha nchi hizi mbili si sahihi.
kumbe ndivyo mnavyo jidanganya mkiwa kwenye vikao vyenu?? Baadae utasema nigeria, kenya ,burundi, uganda,somalia siyo kama tanzania tulivyo. Kwa taarifa yako watu wenye hasira na hii ccm yako ni wengi kuliko unavyo dhani. Iko siku wala haiko mbali uvumilivu utaisha.
 
Back
Top Bottom