Tanzania sio Burkina Faso

Tanzania sio Burkina Faso

UKAWA wengi wamekuwa wakilinganisha mambo ya kisiasa ya Burkina Faso na Tanzania.Niwasaidie tu 1.Burkina faso KUNA UKABILA NA UDINI wakati Tanzania hakuna.2.Rais aliyeondoka madarakani hakuingia kidemokrasia aliua mwenzie tena rafiki yake mkubwa (THOMAS sankara) kwa mapinduzi ya Kijeshi .Tanzania Rais alichaguliwa kwa kura kidemokrasia.3.Burkina FASO jeshi halina nidhamu na ni moja ya majeshi yasiyo na nidhamu Afrika likishika nafasi ya pili Africa kwa ukosefu wa nidhamu baada ya yale ya Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo yakifuatiwa na majeshi ya nchi zinazoongea kifaransa Afrika na yale ya nchi za Kaskazini mwa Afrika kule kulikotokea Arab SPRINGS.Tanzania ni jeshi lenye nidhamu ya hali ya juu mno Afrika na highly organized.4.Majeshi ya BURKINA FASO hayana nguvu za kudhibiti waandamanaji au waasi maruhuni. Tanzania POLISI TU wanatosha hamna haja ya kuita jeshi kushughulikia waandamanaji maruhuni.Uwezo wa polisi na jeshi pia hupimwa kwa uwezo wake wa kudhibiti organized crimes kupitia CIVIL STRIFES zinazoweza fanywa na raia wahuni waliojipanga kuharibu utengamano katika nchi kwa sababu zozote.5.Raia wengi wa Burkina FASO NI WAHUNI WASIOPENDA kutii sheria.Ni kama wafuasi wa CHADEMA.Tanzania ni tofauti raia wengi ni watii wa sheria bila shuruti.Kifupi BURKINA FASO na TANZANIA ni nchi tofauti,zenye majina tofauti,watu tofauti na siasa tofauti.Kulinganisha nchi hizi mbili si sahihi.
Hiyo hulka ya ya watu wa Bukinabe haikuzuka ikawa mbuyu bali ilianza kama mchicha! Jana wahalifu kumi walikuwa wanafungwa mashati na polisi mmoja na kituoni wanafika! Leo bila kwenda na defender muhalifu mmoja hafiki kituoni! Jee kulikuwa na Ukawa? Imeanzaje?...Muda utasema!
 
UKAWA wengi wamekuwa wakilinganisha mambo ya kisiasa ya Burkina Faso na Tanzania.Niwasaidie tu

1.Burkina faso KUNA UKABILA NA UDINI wakati Tanzania hakuna.

2.Rais aliyeondoka madarakani hakuingia kidemokrasia aliua mwenzie tena rafiki yake mkubwa (THOMAS sankara) kwa mapinduzi ya Kijeshi .Tanzania Rais alichaguliwa kwa kura kidemokrasia.

3.Burkina FASO jeshi halina nidhamu na ni moja ya majeshi yasiyo na nidhamu Afrika likishika nafasi ya pili Africa kwa ukosefu wa nidhamu baada ya yale ya Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo yakifuatiwa na majeshi ya nchi zinazoongea kifaransa Afrika na yale ya nchi za Kaskazini mwa Afrika kule kulikotokea Arab SPRINGS.Tanzania ni jeshi lenye nidhamu ya hali ya juu mno Afrika na highly organized.

4.Majeshi ya BURKINA FASO hayana nguvu za kudhibiti waandamanaji au waasi maruhuni. Tanzania POLISI TU wanatosha hamna haja ya kuita jeshi kushughulikia waandamanaji maruhuni.Uwezo wa polisi na jeshi pia hupimwa kwa uwezo wake wa kudhibiti organized crimes kupitia CIVIL STRIFES zinazoweza fanywa na raia wahuni waliojipanga kuharibu utengamano katika nchi kwa sababu zozote.

5.Raia wengi wa Burkina FASO NI WAHUNI WASIOPENDA kutii sheria.Ni kama wafuasi wa CHADEMA.Tanzania ni tofauti raia wengi ni watii wa sheria bila shuruti.

Kifupi BURKINA FASO na TANZANIA ni nchi tofauti,zenye majina tofauti,watu tofauti na siasa tofauti.Kulinganisha nchi hizi mbili si sahihi.

Mfanano wa mambo ya kisiasa ya Burkina Faso na Tanzania.

1.Tanzania na Burkina faso KUNA UKABILA NA UDINI. Viongozi wa dini wanauawa na nyumba za ibada kuchomwa moto;

2.Rais aliyeondoka madarakani hakuingia kidemokrasia aliua mwenzie tena rafiki yake mkubwa (THOMAS sankara) kwa mapinduzi ya Kijeshi .Tanzania Rais alipatikana kwa kura za kuchakachua.

3.Burkina FASO jeshi halina nidhamu na ni moja ya majeshi yasiyo na nidhamu Afrika likishika nafasi ya pili Africa kwa ukosefu wa nidhamu baada ya yale ya Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo yakifuatiwa na majeshi ya nchi zinazoongea kifaransa Afrika na yale ya nchi za Kaskazini mwa Afrika kule kulikotokea Arab SPRINGS.Tanzania ni jeshi lenye nidhamu na UVUMILIVU WA hali ya juu mno Afrika na highly organized, kiasi cha kuacha UFISADI ufike kileleni ili wachukue hatua.

4.Tanzania - Mtwara jeshi lilitumika kudhibiti raia. Mbeya wamachinga walinyamazishwa na jeshi baada ya polisi kushindwa. Polisi ni dhaifu na wachache.

5.Raia wengi wa Tanzania na Burkina FASO hawana ajira.
 
UKAWA wengi wamekuwa wakilinganisha mambo ya kisiasa ya Burkina Faso na Tanzania.Niwasaidie tu

1.Burkina faso KUNA UKABILA NA UDINI wakati Tanzania hakuna.

2.Rais aliyeondoka madarakani hakuingia kidemokrasia aliua mwenzie tena rafiki yake mkubwa (THOMAS sankara) kwa mapinduzi ya Kijeshi .Tanzania Rais alichaguliwa kwa kura kidemokrasia.

3.Burkina FASO jeshi halina nidhamu na ni moja ya majeshi yasiyo na nidhamu Afrika likishika nafasi ya pili Africa kwa ukosefu wa nidhamu baada ya yale ya Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo yakifuatiwa na majeshi ya nchi zinazoongea kifaransa Afrika na yale ya nchi za Kaskazini mwa Afrika kule kulikotokea Arab SPRINGS.Tanzania ni jeshi lenye nidhamu ya hali ya juu mno Afrika na highly organized.

4.Majeshi ya BURKINA FASO hayana nguvu za kudhibiti waandamanaji au waasi maruhuni. Tanzania POLISI TU wanatosha hamna haja ya kuita jeshi kushughulikia waandamanaji maruhuni.Uwezo wa polisi na jeshi pia hupimwa kwa uwezo wake wa kudhibiti organized crimes kupitia CIVIL STRIFES zinazoweza fanywa na raia wahuni waliojipanga kuharibu utengamano katika nchi kwa sababu zozote.

5.Raia wengi wa Burkina FASO NI WAHUNI WASIOPENDA kutii sheria.Ni kama wafuasi wa CHADEMA.Tanzania ni tofauti raia wengi ni watii wa sheria bila shuruti.

Kifupi BURKINA FASO na TANZANIA ni nchi tofauti,zenye majina tofauti,watu tofauti na siasa tofauti.Kulinganisha nchi hizi mbili si sahihi.
Nilijua tu kwamba baada ya people power kumwondoa Compaore mamlakani maCCM yatakuja na theme kwamba Tanzania si Burkina Faso. Kikwete na Compaore hawana tofauti. Wote ni wanajeshi na wote wanajipendekeza kwa
mataifa makubwa ya nje. Sera zao zote ni za kuyapendeza mataifa makubwa kuliko raia wa Tanzania na kwa hili Tanzania na Burkina Faso zinafanana. Lakini kitu kilichowashtua CCM ni kuona umma wasio na silaha wakivamia bunge na kusababisha serikali kusalimu amri. Hilo ndilo limewanyima usingizi na hilo ndilo limepelekea kuanzishwa kwa thread hii. Ukweli mchungu.
 
Kifupi BURKINA FASO na TANZANIA ni nchi tofauti,zenye majina tofauti,watu tofauti na siasa tofauti.Kulinganisha nchi hizi mbili si sahihi.

Wananchi wakiichoka serikali kwa sababu mbali mbali kama UFISADI wa hali ya juu, ELIMU duni, MAJI shida, MIUNDO MBINU hovyo, UMEME wakubip, KATIBA mbaya inajali MASLAHI YA VIONGOZI, basi kazi unayo...
KUMBUKA, Tanzania ni nchi kama hizo zote zenye machafuko, its not special, KAMA VIONGOZI MADARAKANI WAKIENDELEA KUWADHARAU WANANCHI NA KUWAONA MABWEGE, LAZIMA KITALIPUKA MKUU...
 
Ningekuwa na TIME ACCELERATING MACHINE, ningeupeleka muda mbele kwa kasi ili 2015 muone tunavyouzika upinzani hususan CDM. nina hofu huenda wengine hamtafika mwakani. Tuna plan za miaka 50 ijayo kwa ajili ya taifa letu na katika plan hizo Chadema haipo.
We are born to lead and you are born to follow

Ha ha ha,,,,,,nyie watu poleni sana,,,,yaani ufisidi mlioufanya kwenye NCH hii bado mnahamu yakuendelea duh,,,,kweli nyie watu hamna huruma na waTANGANYIKA
 
Wewe ndo ----- kabisa, uliona nafasi ya jeshi kwenye mgogoro wa Misri? Ilifika mahali jeshi likakataa amri za wanasiasa, waandamanaji walikuwa wanatembea katikati ya askari na hawafanywi lolote, wanapanda vifaru vya jeshi kwa amani hadi Mubaraka anajiudhuru, utaikuta wapi hiyo Tz?Hatuko mbali sana utashuhudia hapa kwetu, tuombe uzima, BMK lenyewe ilibidi liadhibiwe.Kwa ujinga unaofanywa na wabunge wetu, ipo siku yatawakuta amini, MTWARA walishaonja.
 
Ningekuwa na TIME ACCELERATING MACHINE, ningeupeleka muda mbele kwa kasi ili 2015 muone tunavyouzika upinzani hususan CDM. nina hofu huenda wengine hamtafika mwakani. Tuna plan za miaka 50 ijayo kwa ajili ya taifa letu na katika plan hizo Chadema haipo.
We are born to lead and you are born to follow

Hata Karume alisema hakutakuwepo uchaguzi Zanzibar kwa miaka 50. Sote tunajua yaliyotokea. Kwa hiyo dream on.
 
eti polisi wanatosha....juzi juzi tuu tumeona wanajeshi na mifaru yao kwa maandamano madogo tuu.
 
Wewe inaonekena "una vurugu maono"!! Ni bora kuwa vingine vyovyote kuliko kuwa chama Kampuni kama C.C.M. Kumbuka hata TANU ilianzishwa na watu wa dini flani kwa wingi na baadaye kikawa chama cha wote. Chama kuungwa mkono na watu wa imani flani mind you sio udini.Huko Ujerumani utasikia kuna CDU, CSU na Green vikiwa na wafuasi mchanganyiko lakini zaidi kutoka kwenye makundi flani flani.Huko Zimbabwe M.D.C ni chama ambacho chimbuko lake ni nguvu ya chama cha wafanyakazi, lakini kinaungwa mkono na makundi mengine zaidi ya wafanyakzi.Hivyo Waislamu na Wakristu kama makundi kuna vitu vimewavutia ndani ya vyama hivyo.Hata hivo hivyo kama hivyo vyama vinaungwa mkono na wakristu na waislamu manake C.C.M inaungwa mkono na wapagani?
 
UKAWA wengi wamekuwa wakilinganisha mambo ya kisiasa ya Burkina Faso na Tanzania.Niwasaidie tu

1.Burkina faso KUNA UKABILA NA UDINI wakati Tanzania hakuna.

2.Rais aliyeondoka madarakani hakuingia kidemokrasia aliua mwenzie tena rafiki yake mkubwa (THOMAS sankara) kwa mapinduzi ya Kijeshi .Tanzania Rais alichaguliwa kwa kura kidemokrasia.

3.Burkina FASO jeshi halina nidhamu na ni moja ya majeshi yasiyo na nidhamu Afrika likishika nafasi ya pili Africa kwa ukosefu wa nidhamu baada ya yale ya Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo yakifuatiwa na majeshi ya nchi zinazoongea kifaransa Afrika na yale ya nchi za Kaskazini mwa Afrika kule kulikotokea Arab SPRINGS.Tanzania ni jeshi lenye nidhamu ya hali ya juu mno Afrika na highly organized.

4.Majeshi ya BURKINA FASO hayana nguvu za kudhibiti waandamanaji au waasi maruhuni. Tanzania POLISI TU wanatosha hamna haja ya kuita jeshi kushughulikia waandamanaji maruhuni.Uwezo wa polisi na jeshi pia hupimwa kwa uwezo wake wa kudhibiti organized crimes kupitia CIVIL STRIFES zinazoweza fanywa na raia wahuni waliojipanga kuharibu utengamano katika nchi kwa sababu zozote.

5.Raia wengi wa Burkina FASO NI WAHUNI WASIOPENDA kutii sheria.Ni kama wafuasi wa CHADEMA.Tanzania ni tofauti raia wengi ni watii wa sheria bila shuruti.

Kifupi BURKINA FASO na TANZANIA ni nchi tofauti,zenye majina tofauti,watu tofauti na siasa tofauti.Kulinganisha nchi hizi mbili si sahihi.

Hata Gadafi alisema ivyo vyo ila sasa ivi yuko wapi??? So jipeni moyo
 
Hata hao walioleta mapinduzi huko kote unakokujua, hawakuwa wanachi wote, ni makundi madogo lakini makubwa ya watu waliochoshwa na dhuruma wanajitoa.C.C.M hata hivyo imekuwa ikilazimisha mambo ikiwamo kukwapua kura, uliona hata juzi kwenye BMK, kwa hiyo usijidanganye kuwa inaungwa mkono na watu wengi.JK alichaguliwa na watu wangapi kama uko makini? Tunakaribia 50 mil.
 
UKAWA wengi wamekuwa wakilinganisha mambo ya kisiasa ya Burkina Faso na Tanzania.Niwasaidie tu

1.Burkina faso KUNA UKABILA NA UDINI wakati Tanzania hakuna.

2.Rais aliyeondoka madarakani hakuingia kidemokrasia aliua mwenzie tena rafiki yake mkubwa (THOMAS sankara) kwa mapinduzi ya Kijeshi .Tanzania Rais alichaguliwa kwa kura kidemokrasia.

3.Burkina FASO jeshi halina nidhamu na ni moja ya majeshi yasiyo na nidhamu Afrika likishika nafasi ya pili Africa kwa ukosefu wa nidhamu baada ya yale ya Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo yakifuatiwa na majeshi ya nchi zinazoongea kifaransa Afrika na yale ya nchi za Kaskazini mwa Afrika kule kulikotokea Arab SPRINGS.Tanzania ni jeshi lenye nidhamu ya hali ya juu mno Afrika na highly organized.

4.Majeshi ya BURKINA FASO hayana nguvu za kudhibiti waandamanaji au waasi maruhuni. Tanzania POLISI TU wanatosha hamna haja ya kuita jeshi kushughulikia waandamanaji maruhuni.Uwezo wa polisi na jeshi pia hupimwa kwa uwezo wake wa kudhibiti organized crimes kupitia CIVIL STRIFES zinazoweza fanywa na raia wahuni waliojipanga kuharibu utengamano katika nchi kwa sababu zozote.

5.Raia wengi wa Burkina FASO NI WAHUNI WASIOPENDA kutii sheria.Ni kama wafuasi wa CHADEMA.Tanzania ni tofauti raia wengi ni watii wa sheria bila shuruti.

Kifupi BURKINA FASO na TANZANIA ni nchi tofauti,zenye majina tofauti,watu tofauti na siasa tofauti.Kulinganisha nchi hizi mbili si sahihi.

In deed Tanzania sio Burkina Faso...na watanzania sio watu wa kuiga kila kinachoendelea huko nje. Ila kama Taifa wana changamoto zao na katika kukabiliana na hizo changamoto watapata majawabu ya matatizo yanayowazunguka. Historia inaonyesha hivyo kwamba mwenzako akinyolewa...wewe tia maji.
 
Watu wakiamua system zote zinafeli. Waliweza kuvunja ukuta wa Berlin, Waliweza kumuondoa Nicolae Causescu, Waliweza kuing'oa serikali ya kipolish, Waliweza kumng'oa Charles De Gaulle, Waliweza kung'oa Napoleon,Waliweza kuung'oa utawala wa kikaburu, Wameng'oa kibaraka Mobutu, wamemg'oa Hosni Mubarak. Na ile ya Mtwara .....ilikuwa ni pasha pasha tu. Unachotakiwa kujua kwamba Watanzania wakigairi itakuwa ni kilio kwako wewe na wenzio mnaoamini Tanzania ni mali yenu. Mmezaliwa ikiwa ya kwenu. Nyerere aliwaambia tahadharini na kimya. Hakumwambia Muyaka bin Hajj (Soma Uongozi wetu na hatima ya Tanzania)aliwaambia watu kama nyinyi msiojua kusoma nyakati. Itafikia wakati risasi na mabomu yatakufa ganzi wanajeshi sio mashine, ni binadamu ingawa wanaowatuma wanaamini wao ni mashine inafanya kadiri unapoiendesha. Na wewe kama ni ajenti wa UWT jua kwamba watu wamechoka na hakuna anayejishughulisha na kulamba mfumo ama watu wenye dhamana ya kusimamia mfumo ulio mahututi miguu. Wanaangalia mambo ya msingi. Elimu, uwajibikaji, uongozi bora, demokrasia, utawala bora na jamii ya watu yenye usawa na umoja wakiheshimiana.

Kwa kukuhakikishia tu. Wazanzibari wanaweza kulianzisha wakati wowote waambie wenzako .
 
ndg East African Eagle acha kuuzunguka mbuyu.ulitakiwa kuhitimisha namna hii:

watanzania wengi ni waoga na wajinga mbele ya CCM.

wakisikia tu ving'ora vya magari ya FFU hukimbia ovyo ovyo kuepusha shari.

wakipigwa tu marufuku kuandamana kwa sababu za uwongo za inteligensia ya "geshi ra porishi",wengi huwa hawahoji na huitii amri.nk.
 
Last edited by a moderator:
Tofautisha kuweko ukabila na udini katika nchi na katika vyama.Tanzania kama nchi udini na ukabila haupo.

Lakini vyama viko vyenye udini na ukabila.CHADEMA kabila dominant katika chama ni Wachaga na kidini ni cha wakristo tena waprotestant hasa walutheri na walokole wakati CUF kabila dominant lililojaa ni Wapemba na kidini ni waislamu wa itikadi kali.

Ha ha haaa...acha kujitoa fahamu kwa sababu ya ushabiki maandazi, kwa hiyo mtu akisema Tanzania hakuna waluguru lakini Morogoro wapo waluguru utaona sawa hiyo!? in actual fact kwenye suala la ukabila na udini kwa hapa Tanzania huna hoja za msingi, haiwezekani useme watanzania hawana ukabila wala udini lakini watanzania hao hao wakiwa kwenye vyama vya CHADEMA na CUF wanakuwa na ukabila na udini! inashangaza sana hii hoja yako unless otherwise hao watanzania wakiingia kwenye hivyo vyama uraia wao unabadilika kuwa waburkina faso etc. Unachojaribu kukilazimisha hapa kimekosa nafasi labda kwa wengine ambao ni punguani wa fikra kama wewe!
 
Kikwazo kikubwa cha maisha bora kwa kila Mtanzania na MACCM.
 
Sasa mtu akisema maccm mnamatatizo makubwa sana atakuwa amekosea kama akili zenu ziko sawasawa fafanua hapa cdm wakristo cuf waislam wameungana kwahiyo mnamanisha chama cha kislamu na cha kikristo vimeungana kupambana na ccm dini gani
 
Back
Top Bottom