katika hali ya taharuki nimeshangazwa na habari niliyoiona star t.v eti serikali ya Tanzania imepokea msaada wa wanyama aina ya vifaru kutoka uingereza.
Hivi hii serikali ya ccm mbona haiishiwi na vituko?
katika hali ya taharuki nimeshangazwa na habari niliyoiona star t.v eti serikali ya Tanzania imepokea msaada wa wanyama aina ya vifaru kutoka uingereza.
Hivi hii serikali ya ccm mbona haiishiwi na vituko?
iweje tuwakodishe wakati hawa wanyama ni adimu?huoni serikali ilikosa mapato kwa wanyama hao kukaa uk?nani aliidhinisha ukodishaji huo?je wanyama wangapi tumewakodisha nje ya nchi na kwa idhini/maslahi ya nani?Hapana. Hao wanyama ni wetu. Waingereza waliwakodisha na sasa wamewarudisha. Hatujapewa zawadi.