Tanzania: Serikali yaagiza faru toka Uingereza!

mkuu!heshima sana!kuna baadhi ya maswali hujajibu.mfano,nani aliidhinisha wanyama hawa adimu kupelekwa uk?
Unataka kuniambia uingereza ndio sehemu salama ya kutunzia wadudu hawa?why not kenya au SA au zimbabwe?usalama unaosema ni dhidi ya majangili tu au mazingira?
This is too low!!kwa hiyo tumeshindwa kulinda wanyama wetu,ndivyo unavyotakaniamini!

Hebu acha ubishi wako bwana!hapa hakuna usalama si kwa wanyama tu hata binadamu pia wakitaka kuzaliana shughuli ,ndio maana watanzania wenzetu wako nje ya nchi endapo tutakufa kwa mijishida basi serikali itapewa msaada ya raia reserve kutoka ulaya!
 
this is ashame to our government yaani wanaagiza faru toka uk,wakati hao faru wamezaliwa africa.
nasema tena this is a shame to a rubbish government.
 
Tanzania imekwisha, kila kitu sasa ni kusaidiwa tu. Faru watoke hapa kwetu then warudishwe kwa njia ya msaada! makubwa tena haya.
tutasaidiwa sasa hata wake zetu
 
Inawezekana tunarudi kwenye biashara ya kubadilishana manake dola inatuacha sana. Faru asili yake ni Afrika, hapo kale tulibadilishana chai na faru, yaani sisi tulitoa faru na waingereza wakatupa chai. Na leo hii wale faru walizaliana huko majuu walikoenda (manake kule matunzo, hasa malishio na chanjo ni muafaka) na sasa watoto na wajukuu wa faru wale wanarudi tena tukibadilishana na dhahabu au kitu chochote watakachosema, hatuna tatizo na hilo. Ukumbuke sisi kwetu malishio, matunzo na usalama wa faru hao ni mdogo mno, hata bajeti yake kwanza hatuna, kwa hiyo wamepungua mbugani kwa kasi mno. Na still tunataka waongezeke coz hatuwezi kukubali wapotee kabisa kwenye ardhi yetu, kumbuka ni urithi kwa vizazi vyetu vijavyo.

Nina uhakika watoto na wajukuu zetu wala hawatapingana na juhudi zetu za kuwapokea leo faru hao, hata kama wataingizwa kwenye deni la taifa watakalokutana nalo hao vitukuu wetu hapo baadaye. Watatuelewa tu....
 
Hawa faru kama wapo Uingereza kwa nini watalii wasiwafuate huko huko. Je, na sisi tumeweka ulinzi kiasi gani kwa
hao faru. Sio wanaletwa hapa nchini kwa masilahi ya wakubwa?
 
Hawa waingereza wasiishiekutuletea Faru tu watuletee na Rais maana tuliye naye anakichwa cha nazi
 
Waheshimiwa: jana tulikuwa Mkomazi National Park kupokea vifaru watatu kutoka Uingereza walikokuwa wamepelekwa kuzaliana kwenye mazingira salama. Hapo mtaona Balozi wa Grt Britain na Waziri wetu Balozi Kagasheki na baadhi yetu waalikwa. DHL walichangia Boeing 757 kuwaleta kwenye macontainer matatu hadi KIA.
Wamerudishwa waliopelekwa, na hao waliozaliwa mbona hawajarudishwa ???????

Tutapoteza competitive advantage ya utalii kama tunakuba kupeleka wanyama kuzaliana nje ya nchi! Sisi kweli vichwa panzi. By the way, wanavyosema DHL "walichangia Boeing 757" utadhani walitoa bure! Wizi mtupu.
 
Back
Top Bottom