kwa hiyo unamaanisha makosa ya mwinyi na mkapa sio yao bali ni ya nyerere?
Kwa hiyo wizi wa mwinyi na mkapa sio wao ni wa nyerere?
Kama waliiba ni wao wenyewe lakini nina wasiwasi na huyo wa kwanza kama aliwahi kuiba nasikia huyu Mzee ni Alhaji.
kwa hiyo unamaanisha makosa ya mwinyi na mkapa sio yao bali ni ya nyerere?
Kwa hiyo wizi wa mwinyi na mkapa sio wao ni wa nyerere?
Mwinyi alijitahidi kwa kuruhusu mitumba bongo watu wakapata nguo za kuvaa,but ndiye aliyetoa mianya mikubwa ya rushwa. Ndiye aliyeanzisha biashara ikulu ambapo mkapa naye akaiga na mengine mengi. Tusimtupia kila lawama nyerere (rip) kilakitu!!
Lakini mwinyi si ndio aliofungua dirisha ili hewa safi iingie katika chumba baada ya kuwa na joto kali kwa muda mrefu, lakini kwa bahati mbaya vijidudu kama mbu na nzi ndo wakajiingiza (rushwa) au mshasahau Tanzania ilivyokuwa (kiuchumi) kipindi cha nyerere, kwamba hata kama ulikuwa unapesa, chakula utauziwa kijamaa jamaa, eg. 2kg kwa kila mtu regardless una hela kiasi gani, nguo wote wanavaa sare, kumiliki TV ni mhujumu uchumi. Hata hivyo kama utafanya cost benefit analysis basi benefit ni kubwa zaidi kuliko maafa, hivyo ni kiongozi bora.
Nyerere alituletea baraka ya njaa, miungano isio kuwa na maana na ujamaa mwingiiiii....hicho ndio ninachokijua mimi.
Hapo rais mwema labda ni huyo Mwinyi, maana nakumbuka alipewa nchi ikiwa imekufa kabisa na akabadilisha mambo mengi kuwakwamua watanzania wenzake.
Mkapa mie nakumbuka mauji ya Pemba tuu!!!Huyu Mkapa lazima wazanzibari tumpandishe mahakamani kwa uvunjaji haki za binadaamu!!!!
JK ni ufisadi tuu na holiday zisizokwisha huko Jamaica kwenye mabembea!!!!
Tathmini safi hiyo....
Nyerere alituletea baraka ya njaa, miungano isio kuwa na maana na ujamaa mwingiiiii....hicho ndio ninachokijua mimi.
Hapo rais mwema labda ni huyo Mwinyi, maana nakumbuka alipewa nchi ikiwa imekufa kabisa na akabadilisha mambo mengi kuwakwamua watanzania wenzake.
Mkapa mie nakumbuka mauji ya Pemba tuu!!!Huyu Mkapa lazima wazanzibari tumpandishe mahakamani kwa uvunjaji haki za binadaamu!!!!
JK ni ufisadi tuu na holiday zisizokwisha huko Jamaica kwenye mabembea!!!!
Tathmini safi hiyo....
Mwalimu Nyerere; alifundisha sana baadhi ya masomo yalieleweka mangine hayakueleweka.
Mwalimu Mwinyi; alijaribu kuliongoza darasa kufanya masahihisho katika masomo ya uchumi na siasa
Mwandishi Mkapa; alituletea habari za zama za utandawazi na ujasiriamali
Afande Kikwete.; aah, waungwana kama nchi haiko katika vita kwanini tusibembee?
Wakuu, ni kama vile kuna uhusiano kati ya taaluma ya mtu na aina yake ya uongozi.