Tanzania Presidents: Nyerere, Mwinyi, Mkapa and Kikwete

Mkuu, binafsi ninachokiona ni watanzania kutamsni maisha mazuri ilhali kazi zao ni kushinda vijiweni. Watanzania hstufanyi jabisa kazi. Tunadhani kuwa maendeleo yanakuja kama upepo

Ukute hata mtoa mada yuko bar anacheza pulltable kutwa nzima!..halafu anachezesha makalio kwa kudai maendeleo!
 
Huwezi kuishi rombo mashati halafu ukamkubali jk hii ni kinyume na kiapo chenu cha kimila kila mtu anajua hilo,lakii chuki zako kwake wala haziwezi kumstua yeye ni kipenzi cha wengi wewe baki na mapepo yako yeye anasonga mbele kuwatumikia watanzania.

wewe ni KENGE.
 
Huwezi kuishi rombo mashati halafu ukamkubali jk hii ni kinyume na kiapo chenu cha kimila kila mtu anajua hilo,lakii chuki zako kwake wala haziwezi kumstua yeye ni kipenzi cha wengi wewe baki na mapepo yako yeye anasonga mbele kuwatumikia watanzania.

nishawishi kwa nguvu ya hoja na sio hoja ya nguvu
 
Usikariri ili kufikia dira lazima utekeleze mipango mingine sasa wewe umeenda moja kwa moja kwenye dira! Umesoma contents za mkukuta II? FY PLAN na 1Y plan?..imesoma clusters na perfomance indicators zake? Kwa akili yako unadhani tunatekeleza dira? Tunataka kufikia dira kwa kutekeleza mipango ya muda mrefu wa kati na mifupi! Na kila kinachotekelezwa kipo kwenye mipango...kajipange dogo na uache kiherehere!

wewe ni mbulula, jk anatekeleza mipango yake vitu vingi anavyotekeleza havipa kabisa kwenye policy zetu. mfano soma mipango yote unayoijua, sera ya maendeleo ya nchi, mkakati wa maendeleo ya nchi, malengo ya mellenium 2025 hakuna hata kipengere kimoja kinacho onyesha tutajenga bandari ya bagamoyo . anachokiona yeye leo kinafaa kesho akiamka anatekeleza. Mfano mzuri wa USA raisi anaongozwa na sera ya nchi inayoonyesha mipango ya utelezaji , ndio maana marekani huwezi kuwa raisi halafu ukatekeleza yako watakuua tu.
 
Yap, siku upinzani wakichukua nchi ni lazima kikwete na familia yake wakaonje maisha ya babu seya kule segelea
 
Lizabon wewe mngese unaetoa tigo hakuna mtu asie fanya kazi isipokuwa lazima kuwe na mifumo ya kumwezesha huyo mtu kufanya kazi yake kwa ufanisi, fikiria kama huo wizi unaofanywa na hao basha zako, hizo pesa zingeelekezwa kwa wanachi lazima ungeona matunda yake, lakini kwa sababu wewe ni zombie ndiyo maana umebaki kuwa kuadi wa Nepi.,makalio ya shetani we!!!!.
 
Swali la kujiuliza ni hili: Je, rais wa nchi ana nafasi gani katika maendeleo ya nchi? na je, endapo maendeleo ya nchi hayaridhishi rais anahusikaje?
Miaka ya ya karibuni taifa limejikuta katika matatizo makubwa hasa ya ufisadi, rushwa, madawa ya kulevya, kuporomoka kwa thamini ya shiligi, ongezeko la deni la taifa n.k. Sasa rais wa nchi ana nafasi gani gatika haya ili ama alaumiwe au asilaumiwe.
Kila nchi duniani inaendelea tanzania ikiwemo. lakini si kila nchi inaendelea kwa kasi ileile kwa kila nchi. mfano nchi nyingi za Asia zilikuwa na maendeleo sawa na tanzania wakati fulaani na zingine nyuma kabisa. lakini sasa ziko mbele sana na zinaisadia Tanzania.
Sasa je kutokuendelea kwa tanznia sawa nachi nyingine marais wa nchi hii wanaweza kulaumiwa? kwa sababu zipi? na kwa kuwalinganisha marais wote wa Tz ni yupi aliyekubwa na mataatizo zaidi na je, ni kutokana na udhaifu wake au sababu nyingine?
 
kila siku humu jf watu wamekuwa wakimtupia lawama za kila aina mwalimu julius kambarage nyerere (rip). Kuanzia elimu, uchumi, udini, muungano, rushwa, rostam, mashirika yetu ya uma ambayo yamekufa 15yrs baada ya yeye kuondoka.

Nadhani wakati umefika wa kuanza kuangalia na kuyajadili yaliyofanywa na mwinyi na mkapa kwa ajili hata wao walikua marais wa tz, sijui wana jf mtawajadili wote kwa pamoja au mwinyi kwanza alafu mkapa. Au mnaweza mkangonjea atakyekufa kwanza alafu ndio mtamjadili yeye kwanza.
Utawala wa Nyerere Ndiyo Nauota , mwogopeni mungu, Leo Kariakoo asilimia tisini ya Vitu fake, Chakula fake, magari yaliyopigwa radioactive Japan after Fukushima nuclear leak, yamejaa (buy one, get two free), tembo wameisha, Nchi nzima wamejaa ngombe wasiouzika, bahari ya Hindi inajaa mavi Matupu, wakulima wanawauwa kila siku.. Basi hata kama hamna Huruma , waoneeni Huruma wajukuu na watoto wenu
 
Nimeshasema wewe unaishi kishumundu yote haya huwezi kuyajua hata kidogo kwanza upea wako mdogo pamoja na ufahamu wako pia ni mdogo.
Yap,ni mdogo iwapo unaulinganisha na watu kama Albert Einstein,Galilleo,Tao na wengine kama hao but mtu anaponilinganisha na wewe anakuwa ananikosea HESHIMA..you are more IGNOR.NCEE at BEST
 
wewe ni mbulula, jk anatekeleza mipango yake vitu vingi anavyotekeleza havipa kabisa kwenye policy zetu. mfano soma mipango yote unayoijua, sera ya maendeleo ya nchi, mkakati wa maendeleo ya nchi, malengo ya mellenium 2025 hakuna hata kipengere kimoja kinacho onyesha tutajenga bandari ya bagamoyo . anachokiona yeye leo kinafaa kesho akiamka anatekeleza. Mfano mzuri wa USA raisi anaongozwa na sera ya nchi inayoonyesha mipango ya utelezaji , ndio maana marekani huwezi kuwa raisi halafu ukatekeleza yako watakuua tu.

Tatizo lako unashindwa kutofautisha maana ya sera mikakati na hapo ndipo ujinga wako unapoonekana. Nimekuuliza umesoma clusters zote tatu za mkukuta na perfomance indicators zake? Umesoma cluster one na operation targets zake? Wewe ulitaka itajwe bandari ya bagamoyo kwenye eneo la miundombinu? Ukiendelea na ujinga wako bila kuwa na juhudi ya kujifunza utabaki kuwa mbumbumbu milele kunguni wewe
 
Back
Top Bottom