Elisante Yona
Senior Member
- Oct 6, 2009
- 130
- 24
Kwanza kabisa napenda kumpongeza Nyerere alituletea Uhuru Haikuwa kazi rahisi,aliweka miko ya uongozi,kaanzisha viwanda vingi,katoa elimu bure na afya ilikuwa bure,alipinga masharti ya IMF na Benki ya dunia
Pili: Mwinyi kafungua milango ya uchumi kwenye awamu yake ya uongozi lakini yeye kawa chanzo cha rushwa na ufisada kama huelewi zana ya ruksa na chukua chako mapema
Tatu: Mkapa - kaboresha miundo mbinu yetu,lakini na yeye alikumbatia wala rushwa
Nne:Kikwete - Tulimkubali mheshimiwa lakini maneno mengi kuliko vitendo,anachagua viongozi kwa kufuata urafiki ni hatari kwa watanzania anaowaongoza sasa tunaelewa nini kinaendelea
Mwisho Mwalimu Nyerere alituwekea misingi imara ya upendo,amani,umoja na mshikamano,
I salute you Mwalimu.
Elisante Yona
Pili: Mwinyi kafungua milango ya uchumi kwenye awamu yake ya uongozi lakini yeye kawa chanzo cha rushwa na ufisada kama huelewi zana ya ruksa na chukua chako mapema
Tatu: Mkapa - kaboresha miundo mbinu yetu,lakini na yeye alikumbatia wala rushwa
Nne:Kikwete - Tulimkubali mheshimiwa lakini maneno mengi kuliko vitendo,anachagua viongozi kwa kufuata urafiki ni hatari kwa watanzania anaowaongoza sasa tunaelewa nini kinaendelea
Mwisho Mwalimu Nyerere alituwekea misingi imara ya upendo,amani,umoja na mshikamano,
I salute you Mwalimu.
Elisante Yona