Tanzania Now Faces Sanctions & Diplomatic Crisis Over Iran

Tanzania Now Faces Sanctions & Diplomatic Crisis Over Iran

Status
Not open for further replies.
Tulipo hapa tunahemea kwenye mashine ..................... vikwazo tena!!:shetani::shetani:
 
Waweke tu hvo vikwazo afu wakimaliza na watu wao kwenye migodi yetu waondoke warud kwao tuone nani ako na hasara! Wanatutisha nini bhana? Aaagh!
 
Kufa kwa nyani, miti yote huteleza.

misemo ya kiswahili hubeba mengi. Tazama mipango mingi aliyopanga baba Mwanaasha haifanikiwi: aliwaomba wachina wamjengee uwanja wa ndege(kupanuwa) pale kipawa, yeye akatakiwa kuvunja makazi na kulipa fidia, baada ya kukamilisha jukumu lake wachina wameingia mitini- sasa kipawa ni makazi ya majambazi na wavuta bangi.
 
Naona unatatafsiri vitu kwa jinsi unavyofiiria na sio sheria ya usajili wa Meli. Makampuni yote duniani husajili meli ktk nchi ambazo wanaona kuna nafuu ya ushuru na maswala mengineyo kiasi kwamba Meli tofauti na magari unaweza kuisajili nchi yoyote maadam unafuata sheria hata sisi Bakhresa anaweza kusajili meli yake Kenya, Amerika au Uingereza ili mradi amefuata sheria na anajua biashara zake zinahitaji bendera ya nchi gani ku cross borders or international water.

Hakuna sheria ya kimataifa inayokataza nchi moja kusajili meli za biashara za mtu mweye uraia wa nchi nyingine hata hao Marekani kuna mashirika yamesajili meli zao nchi nyingine au nchi nyingine kusajili Marekani ni kazi ya shirika hilo kutafuta wapi wanataka kufanya biashara. Jamani meli ni za watu sio za serikali wala za kivita ni meli za mizigo kama lorry la baharini tu. Halafu ni muhimu sana ufahamu ya kwamba Meli zinazochukua Mafuta ya Iran sio lazima kuwa ni meli za serikali ya Iran au Muiran ni mfanyabiashara yeyote aliyepata cointact ya kusafirisha mafuta hayo, nikiwa na maana kwamba Meli za Bakhresa maadam zina bendera ya Tanzania haina maana zina uhusiano na serikali au jeshi la Tanzania na wala kila meli yenye flag yetu mwenye meli hizo ni Mtanzania.

Biashara ya Meli hasa za ubebaji mafuta ni sawa na malorry tu kusambaza Mafuta nchini, hivyo hata kama lorry lina nembo ya Mkandara haina maana hilo lorry ni langu inaweza kuwa la mtu mwingine broker ambaye kwa masharti ya kikazi analazimika kuweka nembo yangu kwa sababu mimi ndiye mwenye contract ya biashara ya Usafirishaji. Risk ni ya mwenye kampuni ya meli sio nchi bendera inayopepea. Kwa hiyo, shirika la meli kubeba mafuta ya Iran haina maana shirika hilo asili yake ni Iran.

Kwa hiyo ukiona Malorry ya Kugi's Kagera njiani sii lazima malorry yale yote ni yake na hata kama Kugis ana tatizo la Ushuru, TRA haiwezi kushitaki Brokers ambao wao hulipa tax zao ati kwa sababu tu wanatumia nembo ya Kugis. TRA watatazama mahesabu ya Kugis tofauti na mahesabu ya brokers kila mmoja wao atakuwa na mahesabu yake na kodi zake. Pia dereva wa lorry akipewa Ticket inakwenda kwa dereva na kuharibu driving record yake sio au mwenye lorri lile na Insurance sio shirika la Kugis kwa sababu tu ya matumizi ya nembo yake.

Ni muhimu sana muelewe matumizi ya Flag kabla hamjaanza kukurupuka na kuhaha ovyo.. Najua Bongo wapo wataliani wanatumia flag yetu kutokana na shirika la Meli ambayo inaweza kuwa ya Myahudi, Mgiriki au Mtaliani ambaye ana contracty ya kusafirisha mafuta ya Iran I Think mwenye kampuni has to worry more than us..
Nashani nimeeleweka.

Mkandara unataka kutuaminisha kuwa Iran inatumia bendera/kusajili Tanzania kwa sababu ya lower taxation rate? Na unataka kutuaminisha kuwa hii issue yote is purely based on business? Yaani Iran wame-shop around wakagundua Tanzania ndio wanatoza kodi ndogo na 'manufaa mengineyo'!

Kenya wananunua mafuta toka Iran, kwanini unafikiri hawakuruhusu bendera yao itumiwe? Au kwa nini India hawjaruhusu hilo? Or China & Russia ambao wameamua kusimama kidete na Iran kwa nini wasikubali bendera za nchi zao zitumike?
 
Iran uchumi wao ni mkubwa kuliko wetu na wamebanwa mpaka wanahaha kutafuta nchi za kuziwekea bendeza meli zao, sasa sisi hao mapepari wakitubana itakuaje? si tutarudi kuishi kama miaka ya sabini. Serekali yetu imeshindwa ku-support mipango ya maendeleo bila kutegemea misaada, sasa wanaanzisha balaa jingine tena.
 
World bank sanctions Oxford University Press Kenya na Tanzania for corrupt practice. In effect the two publishers have been locked out of lucrative world bank funded publishing contracts. Why now?
 
Mtu dhaifu hutishiwa kunyimwa misaada pindi anapokosea,..mtu thabiti ushauriwa kwa busara pale anapopotoka,...vivyo hivyo kwa nchi dhaifu na hasa inayoongozwa na kiongozi dhaifu....poor tanzania



Nimeipenda hii!
 
Mkandara unataka kutuaminisha kuwa Iran inatumia bendera/kusajili Tanzania kwa sababu ya lower taxation rate? Na unataka kutuaminisha kuwa hii issue yote is purely based on business? Yaani Iran wame-shop around wakagundua Tanzania ndio wanatoza kodi ndogo na 'manufaa mengineyo'!

Kenya wananunua mafuta toka Iran, kwanini unafikiri hawakuruhusu bendera yao itumiwe? Au kwa nini India hawjaruhusu hilo? Or China & Russia ambao wameamua kusimama kidete na Iran kwa nini wasikubali bendera za nchi zao zitumike?
Dah! mkuu wangu weee! nimesema MAKAMPUNI duniani hufanya usajili nchi nyinginezo kutokana na sababu kibao moja wapo ikiwa Ushuru sikusema hiyo ndio sababu ya Iran kusajili Tanzania na kuitumia bendera yetu.

Kikubwa mkuu wangu Sanctions hizi hatukushiriki, sisi hatumo wala hatukusishwa kama nchi nyinginezo labda niseme kama sanctions tulizozifanya sisi na South Afrika na Zimbabwe kabla ya UN kuingilia Waingereza na Marekani waliendeleza ushirika wao na nchi hizo. Inapokuwa sanctions za UN hapo shughuli nyingine maana sheria zake inatuhusu hata sisi tulihusishwa kujadili na kufikia maamuzi.

Mbona kuna Meli ya Marekani iliporwa Somalia ikiwa na bendera ya Liberia na hatukuuliza iweje Marekani watumie bendera ya Liberia?..Kifupi miye sijui sababu haswa za hawa wenye mashirika ya meli kutumia bendera za nchi tofauti lakini tu nachoweza kusema ni jambo la kawaida kabisa..Meli ni mali za watu wafanyabiashara na wanaruhusiwa kusajili nchi yoyote kulingana na sababu zao kibiashara na route wanazotumia. Huko kwenye usajili wa International Marinetime ndiko inatakiwa kufuta vibali hivyo, meli kutumia bendera ni sawa na kuwa na number plate tu..magari mangapi yako juu ya tofali na yana number plate zake?...

Unauliza kwa nini hawakutumia bendera yao kwani hizi ni meli za kijeshi?..Mkuu wangu biashara mwenye meli sio mwenye mafuta, ndege zinazokuja chukua dhahabu yetu hazikusajiliwa Tz na pengine hazina uhusiano na Barricks ila ni shirika lilokodishwa. Na kwa kazi hiyo liliomba usajili unaowaruhusu kuingia anga yetu..

Kama Marekani wana tatizo na hili shirika la Meli wanaweza kabisa kuzisimamisha na kuzifanyia uchunguzi, kuzikataza kulingana na sheria za meli, bahari au hata ubebaji mafuta kwenda nchi fulani lakini hawawezi chukua sababu ndogo kabisa ya usajili iwe ndio kikwazo cha kuiwezesha Iran kuuza mafuta yake. Kama wanaweza kuzuia nchi zote zisinunue mafuta ya Iran ama ikipitishwa UN, meli hizo zitakuwa hazina kazi. Usajili wa meli TZ hauna maana kama Iran bado wana soko la kuuza mafuta ktk nchi hizo hizo tajiri. Kwa nguvu wanazotumia kwetu, bora wazuie ununuzi wa mafuta toka Iran..
 
Niliwaambia, kesho watazunguka na maandamano kua ni CHADEMA ilikua involved. Sasa hapa Mnyika si ni jiniaz kuita DHAIFU!!!!!! Kama hamjui hasara za diplomatic sunctions muulizeni JAKAYA KIKWETE natumaini atajibu "SAFARI ZANGU ZA NJE NDO ZINANIUMA TU"
 
Hapana mkuu wangu lazima tukubali mkopo pia ni msaada..Kwa Wabongo tumezoea kupewa bure yaani mtu akiomba fedha basi maadam zinatakiwa kurudishwa basi sio msaada ila ile unayopewa bure kimaskini na ombaomba ndio msaada. Kifupi kama huna Mtaji ukikopeshwa umesaidiwa vile vile.
Sema tu hatuuhitaji, tunaweza kabisa kuendesha maisha yetu bila mikopo ya lazima na yenye masharti ya kisiasa kama hii.

Mkandara,

..sasa Iran anaweza kutupa hiyo mikopo??

..sakata hii inanikumbusha miaka ile tulipoiunga mkono China dhidi ya nchi za magharibi.

..malipo ya kuwaunga mkono China ilikuwa ni mradi wa reli ya Tazara.

..binafsi nasema kama Wairan wanataka tuwaunge mkono basi shurti "wapande dau."

NB:

..Wamarekani sasa hivi wanafadhili mradi wa miundo mbinu kusini mwa Tanzania.
 
Ebu isomeni hiyo sanctions aliweka saini Obama Executive order 13608, kisha tuendelee kujadili swala hili. Bofya
 
Ni nusu karne sasa tangu tujitawale, bado hatujawa na ubavu wa kujikimu wenyewe kibajeti, hivyo hatuna hiyari ya kuchagua rafiki au mshirika kiuchumi, kisiasa au hata kidiplomasia. Inasikitisha sana, kwa nchi kama hii yenye kila aina ya fursa ya kimaendeleo, kuanzia madini, uoto wa asili, wanyama ardhi, amani na utulivu na kadhalika, bado hatujiwezi kiasi hatuko huru kujiamulia mambo yetu. Kwa hali hii hata ushoga tunaojifanya kuuzuia leo hatuna ubavu kuuzuia wakiamua wakubwa hao......shame, ridiculous!
 
Mkandara,

..sasa Iran anaweza kutupa hiyo mikopo??

..sakata hii inanikumbusha miaka ile tulipoiunga mkono China dhidi ya nchi za magharibi.

..malipo ya kuwaunga mkono China ilikuwa ni mradi wa reli ya Tazara.

..binafsi nasema kama Wairan wanataka tuwaunge mkono basi shurti "wapande dau."

NB:

..Wamarekani sasa hivi wanafadhili mradi wa miundo mbinu kusini mwa Tanzania.
Mkuu yale ya vita baridi yalisha kwisha siku nyingi siku hizi ni Biashara tu hakuna siasa. Iran inafungiwa na matatizo yote kwa sababu wamekataa kufungua milango yao kwa Marekani na nchi za jumuiya ya EU toka enzi za Ayatollah baada ya kumpindua Shah..

Kwa Iran hadi aje mtu wao kama wanavyoitafuta Venezuela au Cuba, siku hizi unawekewa ngumu wewe ili ufungue milango waingie na kukuibieni..Kila mtu naatazama maslahi yake kwanza na Ushirikiano ni kama huo wa EU yaani kibiashara zaidi ya Kisiasa. Kwa hiyo maadam sisi tunafanya biashara nao, na huko Kusini wanachukua Uranium wewe unafikiri wanajenga miundombinu..Sisi tumefungua milango yetu hadi ya chumbani na shuka tumewapa unafikri wataweza kutufungia kirahisi hivyo! Thubutu hawawezi kutuwekea vikwazo isipokuwa wataendelea kututaka tufungue sii milango tu hadi wake zetu tuwape ruksa..

Pakistan wale pale wana Nuclear, India, South Afrika, Israel mbona wote wanazo na hata siku moja nuclear bobm haliwezi kutumiwa kwa kujilinda bali kushambulia. Kwa hiyo swala sio Iran na Nuclear wanayataka mafuta yao na ingelikuwa rahisi kama ilivyokuwa Iraq wangemwondoa Ahmadinajad, lakini wanajua kwamba he is just a President mwenye cheo na mamlaka kama Waziri mkuu tu. Na ukimwondoa Komein mmoja atakuja mwingine maana wako 12 hawa wana nguvu kubwa ghuba yote ya Arabuni toka Bahrain, Qatar, Iran, Iraq, Lebanoon, Syria, Libya na kote unakosikia Mapinduzi ya mageuzi ni wao Shia wakijaribu kuchukua nchi zao ili kuunda umoja wao kama wa EU. Sii muda utasikia Arabuni Sunni wamebakia Saudia, UAE na Yemen maana ndiko waliko wengi.

Hivyo kuna umuhimu wetu sisi kujitambua leo tumesimama wapi, na hapa ndipo umuhimu wa EAC unapotakiwa yaani kuwa na sauti moja kubwa ktk kupambana na nchi nyinginezo kiuchumi. Tatizo la Jumuiya yetu linatazama matatizo yetu sisi badala ya kuungana kwa sababu za nje kibiashara. Na bahati mbaya sisi wote njaa hivyo tunatazama kualikwa sinia la pilau mezani..Leo wenzetu EU wameiwekea vikwazo Iran baada ya kushindwa kupitishwa UN kutokana na kwamba Iran hawatengenezi Nuclear power kwa ajili ya bomu bali ni haki yao kama nchi nyinginezo kutumia umeme wa nuclear. Mbona hawatangazi kwamba tayari Iran imeshaanza kutumia umeme wa Nuclear - Bofya . Halafu soma pale chini uone Iran na Russia wanafanya nini kinachowauma (it's all about green bro). Ni kwa sababu wanataka sisi tuamini kwamba nguvu hizo ni kwa ajili ya bomu tu..Halafu wao watashughulika kuiwekea vikwazo Iran hadi ifungue milango yake.

This has nothing to do with us! Tusibabaike hovyo kama kunguru, na ndio maana Dr.Ulimboka alipochukuliwa wenzake waliingia mitini kwa sababu ya woga tu... Kwa nini wasiwe naye muda wote kama ni usalama wa Taifa wangetaka kujua zaidi? leo nina hakika huyo Dr.Deo anajilaumu sana na sababu ni kama hizi hatufikiriii mbali za urefu wa kiganja cha mkono uendao kinywani.
 
tukiwekewa vikwazo labda akili itachangamka kidogo...........na tutaacha utegemezi.
 
Nairobi, Kenya.
Monday 2 July 2012.

Kenya agrees to buy Iran oil, silent on sactions:

Kenya has agreed to import 4 million tonnes of Iranian crude oil per year, a senior Kenyan energy official said on Monday.

Patrick Nyoike, permanent secretary at the energy ministry, said the two governments signed the memorandum of understanding on the oil last month. He did not say how many years the agreement covered.

"The details will come later," Nyoike told Reuters by telephone, declining to comment on how the deal sits with U.S. and European Union (EU) sanctions against Iranian oil exports.

Most other importers of Iranian crude oil have sharply reduced purchases to earn exemptions from U.S. financial sanctions.

The European sanctions - including a ban on imports of Iranian oil by EU states and measures that make it difficult for other countries to trade with Iran - came into effect on Sunday.

Lawmakers from the U.S. House of Representatives and Senate are meanwhile working to finalise a new package of sanctions aimed at further reducing oil and other revenues used by Iran to further its nuclear program.

Nyoike said the crude would total about 30 million barrels over one year, equivalent to around 80,000 barrels per day.
Kenya's only refinery said last month it would start buying its own crude oil. It processes 1.6 million tonnes a year.
Kenya has signed similar memorandums deals before.

Under President Mwai Kibaki, the east African nation has increasingly turned to new economic partners, forging close ties with nations like China and Libya under Muammar Gaddafi's leadership.

The shift in foreign policy stance has sometimes caused unease among its traditional western allies. Kenya is a key strategic ally in the U.S. led fight against militant Islam. (Reporting by Duncan Miriri; Editing by Richard Lough and Anthony Barker)

Source: Kenya agrees to buy Iran oil, silent on sanctions*- Corporate News*|businessdailyafrica.com


BREAKING NEWS! BREAKING NEWS!
LATEST UPDATES:

JULY 4 2012
NAIROBI, KENYA

USA KILLS KENYA OIL DEAL

Kenya, under pressure from the US and in the midst of security concerns, has cancelled an oil deal with Iran.

The Nation learnt on Wednesday that a meeting held at the Office of the President decided that the MoU with Iran for the annual purchase of oil annually should be cancelled.

The official reason, according to Energy Permanent Secretary Patrick Nyoike, was that the deal was not favourable, because it did not come with any price discount and Iran was only allowing a 90-day credit period.

Official feeling was also that this was not the first time that the government had signed such a deal with Iran, with no success.

According to government sources, the agreement was first signed in 2009 and then in 2010 but both agreements lapsed since Kenya could not find a bank to secure the deal.

However, the more immediate reason appears to pressure by western governments, particularly the US.

"There is an embargo on Iranian oil. We don't want to get involved in the intricacies of international inter-governmental issues," Mr Nyoike was quoted by Reuters.

This is the latest development in a series of events which have put Kenya in the middle of the conflict between the West and Iran.

In Nairobi, outgoing US ambassador Scott Gration said Kenya could face sanctions over its relations with Iran.

Speaking after US Independence Day celebrations at his residence, Mr Gration said that although there was no official communication on the issue, the matter would be handled "at the appropriate time."

"Certainly there are sanctions, there will be repercussions ... there are sanctions for people that are buying oil and products from Iran and we will have to deal with those as they emerge," said Mr Gration.

READ SOURCE: US kills Kenya oil deal*- News*|nation.co.ke

When is Tanzania going to backdown from re-flagging Iranian ships? Let's wait and see
 
Iran tries to dodge oil sanctions
BBC, 29 June 2012

A complete European Union oil embargo on Iran over its nuclear programme comes into force on Sunday, but the Islamic Republic has already found some ways of circumventing the sanctions.

The Pacific islands of Tuvalu have some 11,000 inhabitants on a total of 26sq km (10 square miles) of land.
Few Iranians can find the tiny state on the map or have even heard of it, but out of a fleet of 39 Iranian oil tankers, 15 now fly the Tuvaluan flag.

In recent weeks, the National Iranian Tanker Company (NITC) has changed the names and flags of its fleet to try to avoid sanctions by the EU.

The EU will stop importing Iranian oil and ban insurance of vessels carrying the crude as of 1 July.
Na zilizobaki sasa zinapeperusha bendera ya Tanzania.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom