Ronal Reagan
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,298
- 3,060
Aibu. Ni kama fumanizi vile, yaani huu ni ukahaba wa itikadi, sera na msimamo kwa JK na ccm.
Wapi Kurugenzi dhaifu ya Ikulu kukanusha hili?
Wapi Kurugenzi dhaifu ya Ikulu kukanusha hili?
Serikali gani ya Tanzania yenye uwezo huo? Ya Kikwete? Huyu ambaye anataka kufukuza madaktari aagize kutoka nje au nyingine. Ile ya Shein ni kiinimacho, sio serikali. Serikali gani ya kumwambia mmarekani hivyo????Acheni woga na roho za kimaskini sana...Zipo nchi kibao zimepinga kufuata mashati ya sanction ya Jumuiya na nchi za Ulaya (EU) yaliyofanyika mwaka jana. India mojawapo na wanaagiza mafuta kutoka India kama kawaida na nchi kibao zimekataa kuweka saini sisi wamojawapo. Isipokuwa zile sanctions za UN zilizofanyika miaka ya 2007 na 2008 ndizo zilikubaliwa kimataifa. Meli kubeba bendera ya Tanzania ina tatizo gani mbona wao wenyewe wanatumia nchi nyinginezo ambazo sisi hatuna mahusiano nazo. Iraq, Lebanon, China, Russia wote bado mahusiano makubwa na Iran mbona hawasemwi? au kwa sababu sisi ombaomba!
Kama wanatishia kukata misaada wakate haraka sana maana kwanza tutakuwa tumeacha kutembelea magongo maana hatuna sababu kabisa ya kuchukua misaada. Tukinyimwa misaada nina hakika tutaanza kukabana sisi wenyewe mashati na ndio mwanya wa sisi pia kuwafukuza Barricks na wanyonyaji wote walikuja wekeza nchini wakituibia maliasili zetu na wathubutu, tutaanza upya!..
nimechoka! leo nimepata fursa ya kuongea na senior intelligence officers wa serikali ya uingereza wanasema wanafuatilia hili sakata kwa ukaribu zaidi na wakijiridisha bila shaka Tanzania itawekewa vikwazo vya kiuchumi pamoja na kufuta misaada yote. Pia jamaa wamenitonya hapa Washington DC kuwa wanafuatilia kwa ukaribu suala la Dr . Ulimboka na kusema endapo akifa tu na chanzo kuwa ni mateso aliyoyapata kuna kitu kikubwa chaja (kwa sasa ibaki siri).Nilipojitambulisha natoka tanzania mmoja wao amenijibu . nanukuu
"WE HATE CHAMA CHA MAPINDUZI"
mwisho wa kunukuu
Wapi umesikia serikali ya Marekani imeagiza hivyo?.. Sikia mawazo ya mbunge mmoja kuhusu Tanzania hayawezi kutuweka roho juu kwa sababu yeye ni Myahudi ana anatetea maslahi ya Uyahudi na sio Tanzania wala Marekani. Hakuna chombo hata kimoja hapa cha serikali kina laani kitendo cha bendera ya Tanzania juu ya meli za Iran.. Ni mawazo ya mtu mmoja kama huyo Stella Manyanya sijui wa CCM kazi kuropoka tuu..Serikali gani ya Tanzania yenye uwezo huo? Ya Kikwete? Huyu ambaye anataka kufukuza madaktari aagize kutoka nje au nyingine. Ile ya Shein ni kiinimacho, sio serikali. Serikali gani ya kumwambia mmarekani hivyo????
I'm Thomaso to this!!
Ulafi na ufisadi wa serikali ya Kikwete sasa unaliingiza taifa katika mgogoro wa kidiplomasia. Juzi tumeionya serikali, leo serikali ya Marekani inatoa onyo kwa Kikwete. Sababu IRAN. Watueleze ni kitu gani viongozi wa IRAN wamekuwa wakifuata Tanzania ! Mwakyembe, Membe Rostam na Kikwete Kazi Kwenu
Tanzania must stop re-flagging Iran tankers: U.S. lawmaker
WASHINGTON | Fri Jun 29, 2012 1:39pm EDT (Reuters) - Tanzania must stop the practice of "re-flagging" Iranian oil tankers or it will face the threat of U.S. sanctions and damage its ties with Washington, a U.S. lawmaker warned on Friday.
Howard Berman, the ranking member of the House Committee on Foreign Affairs, accused Tanzania of reflagging at least six and possibly as many at 10 tankers owned by the National Iranian Tanker Company.
"This action by your government has the effect of assisting the Iranian regime in evading U.S. and EU sanctions and generating additional revenues for its nuclear enrichment and weapons research program and its support for international terrorism,"
Berman said in a letter to President Jakaya Kikwete that was obtained by Reuters. Berman said if the tankers were allowed to continue sailing under the Tanzanian flag, Tanzania could face the sanctions that President Barack Obama signed into law.
He said Congress would also have "no choice" but to consider whether to continue the range of bilateral U.S. programs with Tanzania.Officials at Tanzania's embassy were not immediately available to comment on Berman's letter.
The sanctions, along with similar action by the European Union, are aimed at pressuring Iran to curb its nuclear program, which the West believes aims to develop nuclear weapons but which Tehran says is for peaceful purposes. The United States gave China a six-month reprieve from Iran financial sanctions on Thursday. The Obama administration has now spared all 20 of Iran's major oil buyers from its unilateral sanctions, rewarding them for cutting purchases of Iranian oil.
Below are some of the Super-Tankers that have been renamed, and flying the Tanzanian Flag:
Davar (previous name): Companion Tanzania
Haraz: Freedom Tanzania
Susangrid: Daisy Tanzania
Barua yao hii hapa:
Dear President Kikwete,
I am writing to express my deep dismay that Tanzania has permitted the National Iranian Tanker Company (NITC), to reflag at least 6 and as many as 10 of its vessels under the Tanzanian ship registry, allowing them to remain under NITC ownership and continuing to transport Irans crude oil exports. This action by your government has the effect of assisting the Iranian regime in evading U.S. and EU sanctions and generating additional revenues for its nuclear enrichment and weapons research programs and its support for international terrorism.
It is profoundly disappointing to me to learn that your government has acted in contravention of the broad international coalition that is working together to use peaceful means, including economic sanctions, to change the threatening behavior of the Iranian regime. The decision to accept the re-flagging of NITC vessels casts a shadow over Tanzanias international reputation.
I respectfully request that Tanzania cancel the re-flagging of the NITC vessels. Given the close and cooperative relationship that our two governments now enjoy, it would be unfortunate if this action were permitted to stand.
It would be preferable that Tanzania take this action of its own accord. However, your government should take note of President Obamas Executive Order 13608, signed May 1, 2012, which provides for the imposition of sanctions on any entity worldwide, including foreign governments, that assists Iran in evading U.S. sanctions. In my view, reflagging Iranian oil tankers falls within the scope of sanctionable activity under that Executive Order. In addition, if Tanzania were to allow Iranian vessels to remain under Tanzanian registry, we in the Congress would have no choice but to consider whether to continue the range of bi-lateral U.S. programs with Tanzania.
Sincerely,
Howard Berman
Ranking Democrat, House Foreign Affairs Committee
kwanza missada yao sio misaada bali ni mikopo ambayo inatufanya kuendelea kuwa masikini. shame on them tyrants afadhali wasitishe mikopo hiyo ili tujitegemee.Acheni woga na roho za kimaskini sana...Zipo nchi kibao zimepinga kufuata mashati ya sanction ya Jumuiya na nchi za Ulaya (EU) yaliyofanyika mwaka jana. India mojawapo na wanaagiza mafuta kutoka India kama kawaida na nchi kibao zimekataa kuweka saini sisi wamojawapo. Isipokuwa zile sanctions za UN zilizofanyika miaka ya 2007 na 2008 ndizo zilikubaliwa kimataifa. Meli kubeba bendera ya Tanzania ina tatizo gani mbona wao wenyewe wanatumia nchi nyinginezo ambazo sisi hatuna mahusiano nazo. Iraq, Lebanon, China, Russia wote bado mahusiano makubwa na Iran mbona hawasemwi? au kwa sababu sisi ombaomba!
Kama wanatishia kukata misaada wakate haraka sana maana kwanza tutakuwa tumeacha kutembelea magongo maana hatuna sababu kabisa ya kuchukua misaada. Tukinyimwa misaada nina hakika tutaanza kukabana sisi wenyewe mashati na ndio mwanya wa sisi pia kuwafukuza Barricks na wanyonyaji wote walikuja wekeza nchini wakituibia maliasili zetu na wathubutu, tutaanza upya!..
Hapana mkuu wangu lazima tukubali mkopo pia ni msaada..Kwa Wabongo tumezoea kupewa bure yaani mtu akiomba fedha basi maadam zinatakiwa kurudishwa basi sio msaada ila ile unayopewa bure kimaskini na ombaomba ndio msaada. Kifupi kama huna Mtaji ukikopeshwa umesaidiwa vile vile.kwanza missada yao sio misaada bali ni mikopo ambayo inatufanya kuendelea kuwa masikini. shame on them tyrants afadhali wasitishe mikopo hiyo ili tujitegemee.
Original
Tanzania ni taifa huru na hatufungamani na upande wowote.
Mkandara
Kama wanatishia kukata misaada wakate haraka sana maana kwanza tutakuwa tumeacha kutembelea magongo maana hatuna sababu kabisa ya kuchukua misaada. Tukinyimwa misaada nina hakika tutaanza kukabana sisi wenyewe mashati na ndio mwanya wa sisi pia kuwafukuza Barricks na wanyonyaji wote walikuja wekeza nchini wakituibia maliasili zetu na wathubutu, tutaanza upya!..
Wala hatuna haja ya kuweka mikwara sii wao wataanza kukata misaada. Wakikata misaada na kufunga balozi zao ina maana wawekezaji wote nchini wanakuwa hawana mdhamana wala sheria haipo tena. Hapo ndipo nasi tutalazimika kufuta mahusiano na kulamba dume kina Barrick..Mkuu hawawezi Sii umeona Marekani na Syria?.. wanashindwa nini kuingia pale wakashambulia kama sii kuogopa kuipoteza Iraq maana kule Mashia wote wataungana against America ndio maana wanatafuta mtu mwingine na Turkey seems to be the best bet!.. Mturuki naye chale zimemcheza..Mkuu Mkandara, huo mwekundu nimependa sana kwa sababu nasi tukiwaambia wao ni wezi tu kwa kuweka uwezekezaji wa masharti ya kukwepa kodi na papo hapo wanatunyima misaada au mikopo basi sisi tunawatafuta wawekezaji watakaolipa kodi ili tujikimu. Lakini wakubwa watathubutu kuchimba huo mkwara?
Acheni woga na roho za kimaskini sana...Zipo nchi kibao zimepinga kufuata mashati ya sanction ya Jumuiya na nchi za Ulaya (EU) yaliyofanyika mwaka jana. India mojawapo na wanaagiza mafuta kutoka India kama kawaida na nchi kibao zimekataa kuweka saini sisi wamojawapo. Isipokuwa zile sanctions za UN zilizofanyika miaka ya 2007 na 2008 ndizo zilikubaliwa kimataifa. Meli kubeba bendera ya Tanzania ina tatizo gani mbona wao wenyewe wanatumia nchi nyinginezo ambazo sisi hatuna mahusiano nazo. Iraq, Lebanon, China, Russia wote bado mahusiano makubwa na Iran mbona hawasemwi? au kwa sababu sisi ombaomba!
Kama wanatishia kukata misaada wakate haraka sana maana kwanza tutakuwa tumeacha kutembelea magongo maana hatuna sababu kabisa ya kuchukua misaada. Tukinyimwa misaada nina hakika tutaanza kukabana sisi wenyewe mashati na ndio mwanya wa sisi pia kuwafukuza Barricks na wanyonyaji wote walikuja wekeza nchini wakituibia maliasili zetu na wathubutu, tutaanza upya!..
Naona unatatafsiri vitu kwa jinsi unavyofiiria na sio sheria ya usajili wa Meli. Makampuni yote duniani husajili meli ktk nchi ambazo wanaona kuna nafuu ya ushuru na maswala mengineyo kiasi kwamba Meli tofauti na magari unaweza kuisajili nchi yoyote maadam unafuata sheria hata sisi Bakhresa anaweza kusajili meli yake Kenya, Amerika au Uingereza ili mradi amefuata sheria na anajua biashara zake zinahitaji bendera ya nchi gani ku cross borders or international water.Mkandara, tatizo sio kuagiza mafuta au kufanya biashara yoyote na Iran, tatizo ni kuruhusu bendera ya Tanzania kutumia na meli za Iran. Kwa haraka haraka hili linaweza kuwa jambo dogo na hata tukasema kuwa sisi tuna uhuru wa kuchagua nani tunashirikiana naye. But think this, (kwa mtindo wa kivita) ingekuwa vita, marekani wakawa wanatafuta meli za Iran lakini wakagundua kwamba zinatumia bendera za Tanzania ni kwamba watapiga both meli za Iran na Tanzania, hata kama kuna meli zingine kweli ni za Tanzania. (hii kwa scenario ya vita).
Tukija kwenye swala la Iran, Tanzania tuna matatizo lukuki, kwanini tujiingize kwenye malumbano yasiyotuhusu?
Marekani imetishia kuiwekea vikwazo vya kiuchumi Tanzania endapo itaiachia Iran kuendelea kutumia bendera ya Tanzania katika meli zake za mafuta. Tuhuma hizi zilizotawala katika vyombo vya habari vya kimataifa,zimetolewa na Howard Berman ambaye ni Seneta nchini marekani huku akiilaumu hatua hiyo kuwa inasaidia Iran kukwepa vikwazo vya kimataifa. Hata hivyo Hamad Masoud (waziri wa mawasiliano na uchukuzi,Zanzibar) amekiri kuwepo kwa usajili wa meli za kigeni ambazo ni za Marta na Citrus na siyo Iran kama inavyodaiwa na usajili umefuata taratibu zilizowekwa kisheria. Iwapo itabainika kwa namna moja ama nyingine kwamba Tanzania inaisaidia Iran basi itahatarisha uhusiano mzuri kati ya Tanzania na Marekani ambapo Tz inanufaika kwa misaada kwani 2011/2012 imepokea bilion 850 tsh.Marekani na baadhi ya nchi za ulaya ziliweka mpango wa kuiwekea vikwazo kiuchumi ili kuipunguzia nguvu ya kuendeleza mpango wa Nuclea, Iran imekuwa inakwepa mitego na kuongeza ugumu wa ufuatiliaji.