Usiwazingizie wazanzibar hawana roho za kizandiki namna hiyo. Hii ni JK na udini wake, wale ndugu zetu kule znz hawawezi fanya kitu chochote kimataifa bila kupitia kwenye Muungano ,kumbuka waziri wa mambo ya nje ni mmoja tu TZ , znz haina.Hii ni JK atakuwa amewaambia atawasaidia lakini kwa mgongo wa znz ili mataifa mengine yasijue ujanja wake.man nilisikia BBC hizo meli zilisajiliwa na serikali ya mapinduzi zanzibar !.... labda swali ungelugueza kwanini itumike bendera ya muungano na si ya zanzibar ..?!
hapo zanzbar inaamsha akili za watanganyika kwamba wao wanamamlaka ni inchi kamili! .... huu muungano unatakiwa uangaliwe kwa jicho la pili una viraka vingi sana na matundu
HUU UDINI VIONGOZI WANAOENDEKEZA UTATUMALIZA.