dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 9,605
- 16,272
- Thread starter
- #21
HV kweli hiliNahisi tanzania wameifanyia figisu tu,ila inastahili kuwa nambari moko!maana bongo ulozi mwingi sana aisee!!
HV kweli hiliNahisi tanzania wameifanyia figisu tu,ila inastahili kuwa nambari moko!maana bongo ulozi mwingi sana aisee!!
Hata mm sijamuelewa mleta hoja imekuaje kacha kigomaKama Kigoma haipo taarifa hii naikataa!
Mikoa inayoongoza hapa Tz kwa Ushirikina (ulozi) ni Rukwa (sumbawanga), Kigoma (kasulu, kazuramimba, kakonko, ujiji, benako), Tanga (Handeni-kwamsisi, lushoto, Muheza, kilindi, Tanga mjini), Pwani (Bagamoyo , Rufiji,kisiju, Kibiti,Bungu, Mkuranga, Nyamisati). Kanda ya ziwa (Shinyanga,Mwanza, geita) Kanda ya kati Singida.Njombe(Kwa wakinga na wapangwa).
Kwanza Tanzania na Kongo (DRC) ,Kongo inaongoza, alafu uniambie eti Tanzania ni ya pili kuliko hata Nigeria?!
Hi ripoti ni ya kujifurahisha tu!
Tuwe serious basi!
Kweli kabisaNa wauaji wengi wa kukodishwa na vikongwe wanatokea Simiyu
Mkuu mm nimemsikiliza mtafiti tu Kisha nikaashare humuKama kwenye list zenu Simiyu haipo nyie hizo data ni cooked au za mchongo.
Kumbukeni makao makuu ya Uchawi ni Gambosi na yapo Simiyu.
Kumbukeni wilaya ndogo ya Itilima Ina Waganga 7,000 walio sajiriwa na Serikari, Sasa jiulize WACHAWI wangapi?
N.B Kisiju hakuna Uchawi Ile ni michezo tu
Hapan siijui mkuu labda toa nondo zaoUnaijua nchi inaitwa Benin?..
SAS c ndio tumewapita ss kwa nafsi ya pili mnk nigei itakuwa labda ya nne au tano may beUmedanganya. Unaiacha wapi Naigeria ambayo iko kwenye 5 bora za dunia.
Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Nimetoa redio safina mkuu mmilikiwa wake Ni mchangaHii taarifa kama imetoka Kwa Hawa Wahubiri wa kisasa ,itakuwa na ukweli asilimia 80!
Kumbe Ni kweli tuko far away kwa Nigeria
Kumbe alfu hiki kimkoaa nimekisahU kbsaNa wauaji wengi wa kukodishwa na vikongwe wanatokea Simiyu
Ya kwanza bossNimepokea ripoti kutoka kwa naibu mkurugenzi mkuu wa radio safina fm mam Hellen lema kuwa Tanzania Ni nchi ya pili kwa ushirikina duniani baada ya Cameroon kuongoza kwa kushika nambari moja dunia Kisha Tanzania ikafata kwa ushirikina .
Aliendelea kwa kusema kuwa mikoa inayo ongoza kwa ushirikina na vitendo vya uchawi Ni Kama ifuatavyo
1. Shinyanga
2. Rukwa
3.Mtwara
4.Tabora
5.Tanga
6.katavi
7.songwe
8.Mbeya
9.dodoma
10 .mwanza
Awali mm binafsi nilikuwa naamini kuwa Nigeria ndio kinara wa uchawi na ushirikina ikifatwa na Kongo . Cameroon ,Ghana ,Lkn ajabu Cameron ndio kinara na Tanzania tunashika nafsi ya pili kwa ushirikina duniani ..je Kuna ukweli kwamba hili taifa vitendo vya ulozi Ni vingi Kia's hiki ?
Kama mkoaa wako haujatajwa hapa hongera San na Kama mkoa wako umetajwa kwa tafiti hizi pole sna na pamban na maombi sna .
Namuomba mlozi mwandamiz mstaafu bwana Mshana Jr kudhibitisha hoja hii Kam Ni kweli ...
Sasa mkuu mm CYO mlozi natokea Arusha ,arusha hkn uchawi Wal uloziEbu fanya mauza uza hapa, wachangiaji wageuge kuwa kifuu cha nazi
Suluhisho la tatizo hili ni kipiga marufuku waganga wa jadi au kuwaangamiza kwa sumu au risasi, maana hao ni mawakala wa shetani.
kweli kabisa kwa jina lake Mmachame dada zake ndio washirikina mno kuloga waume zao au atakuwa anatoka Kirua Vunjo kwa wachaga washirikina kuliko wote na walio nyuma kimaendeleo kuliko wachaga wote.Sijawahi kuona mchaga mjinga kama wewe.
Wachaga hawanaga udini wa kijinga kama huu wako.
Nahisi umezaliwa nje ya ndoa na baba yako atakuwa na asili ya mbeya.
Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app
ili tubaki na wakina Mwamposa?Suluhisho la tatizo hili ni kipiga marufuku waganga wa jadi au kuwaangamiza kwa sumu au risasi, maana hao ni mawakala wa shetani.
Huwajui wa Nigeria wewe.Nimepokea ripoti kutoka kwa naibu mkurugenzi mkuu wa radio safina fm mam Hellen lema kuwa Tanzania Ni nchi ya pili kwa ushirikina duniani baada ya Cameroon kuongoza kwa kushika nambari moja dunia Kisha Tanzania ikafata kwa ushirikina .
Aliendelea kwa kusema kuwa mikoa inayo ongoza kwa ushirikina na vitendo vya uchawi Ni Kama ifuatavyo
1. Shinyanga
2. Rukwa
3.Mtwara
4.Tabora
5.Tanga
6.katavi
7.songwe
8.Mbeya
9.dodoma
10 .mwanza
Awali mm binafsi nilikuwa naamini kuwa Nigeria ndio kinara wa uchawi na ushirikina ikifatwa na Kongo . Cameroon ,Ghana ,Lkn ajabu Cameron ndio kinara na Tanzania tunashika nafsi ya pili kwa ushirikina duniani ..je Kuna ukweli kwamba hili taifa vitendo vya ulozi Ni vingi Kia's hiki ?
Kama mkoaa wako haujatajwa hapa hongera San na Kama mkoa wako umetajwa kwa tafiti hizi pole sna na pamban na maombi sna .
Namuomba mlozi mwandamiz mstaafu bwana Mshana Jr kudhibitisha hoja hii Kam Ni kweli ...