Kupelekea Tanzania kuwa nchi yenye bei ndogo zaidi ya mafuta Afrika Mashariki.
Kuanzia leo mafuta yataanza kuuzwa kwa Dar, Petroli itauzwa Tsh. 2,886, Dizeli Tsh. 3083 na Mafuta ya Taa Tsh. 3,275 kwa lita, wa kupungua bei ya mafuta itapelekea kushuka gharama za huduma na bidhaa mbalimbali.
Rais Samia Suluhu amefanikisha kupunguza gharama za maisha Tanzania.