Point ya muhimu katika hotuba ya Rais ni kuwa hakuna atayeshtakiwa katika sakata la EPA.
mwenzenu... nimeamua kurudi kuandika hadithi zangu na visa vya kufikirika; sidhani kama mimi na Kikwete tunaishi sayari moja.
0.000000000000000000000000000000%, yaani ZERO, lakini inaumizaaa