Tanzania National Identities

Mpango wa kuwa na vitambulisho vya kitaifa:

  • Ni Nzuri

    Votes: 205 58.4%
  • Ni Mbaya

    Votes: 147 41.9%

  • Total voters
    351
KLHN inatarajia kurusha matangazo ya hotuba ya Rais "Live" kutoka Dodoma kwa subscibers na wachangiaji tu . To offset gharama ya matangazo hayo ya muda mrefu tunalazimika kufanya hivyo. Kwa wengine wataweza kuisikia hotuba nzima kwa kujiandikisha.
Tuko pamoja.
 


Sasa hii source yako ya habari mbona ime-base kwenye sehemu moja tuu, nashindwa kushawishika kwamba muungwana ataongelea swala moja tuu, halafu kama nitakuwa sikosei hotuba hiyo source wako amekupa kwenye copy iwe soft au hard kwa kuwa haiwezekani katika chit-chat ukawa na uwezo wa kukumbuka takwimu zote hizo, sasa kama ni hivyo basi imwage hiyo hotuba janvini, waungwana waione na waijadili........kama tarehe imekosewa wasiliana na Mwanakijiji.

Mambo Jambo huyu jamaa amejivua nguo kuwa ni mtu wa ndani ya TAKUKURU tena ngazi ya Ukurugenzi, kwa kuwa amehusika katika kupitisha takwimu zilizotakiwa na IKULU katika draft speech yao, ambayo si lazima wazitumie katika kuandika speech. Angekuwa makini kidogo angefanya uchambuzi hata wa EPA ili angalao kuonyesha kwamba hatoko TAKUKURU.

Mhusika huyu mwenzetu hapa JF, amekuwa na mchango mzuri sana katika kutoa taarifa za kusaidia mapambano dhidi ya ufisadi ikiwa ni pamoja na ile taarifa ya ununuzi wa nyumba ya Mkurugenzi Mkuu wake, Edward Hosea, lakini pia alichemsha kwa kushindwa kuficha nyayo zake hadi akajulikana.

Awe anawasiliana na watu kama kina invisible ama mwanakijiji kabla ya kupost ili wamsaidie kuweka bila kuacha nyayo.

Kwa taarifa ni kwamba KESHO KUNA KISHINDO
 
Itaanza muda mnfupi baada ya saa 4 kamili kwa saa za afrika mashariki

Itakua saa 5.00 baada ya Rais kukagua gwaride la heshima litakaloandaliwa na Jeshi la Polisi, Dodoma. Hotuba inatarajiwa kuchukua kiasi cha saa moja hivi
 
......kwa mtazamo wa haraka, nadhani source yake iko katika mchango waliopeleka TAKUKURU Ikulu kwa ajili ya hotuba. Haingii kichwani hotuba yote ikajaa taasisi moja tu.

...pili sitaki kuamini kuwa JK hatakuwa makini kiasi hicho cha kwenda kuhutumbia bunge na Taifa kwa ujumla juu ya TAKUKURU tu.
Pole sana Kijunjwe hivi ulishawahi kumwona rais wako akiwa serious? Au haya yanayofanyika ndo unayaona kuwa ni seriousness...........
 
Mambo Jambo huyu jamaa amejivua nguo kuwa ni mtu wa ndani ya TAKUKURU tena ngazi ya Ukurugenzi, kwa kuwa amehusika katika kupitisha takwimu zilizotakiwa na IKULU katika draft speech yao, ambayo si lazima wazitumie katika kuandika speech. Angekuwa makini kidogo angefanya uchambuzi hata wa EPA ili angalao kuonyesha kwamba hatoko TAKUKURU.

Mhusika huyu mwenzetu hapa JF, amekuwa na mchango mzuri sana katika kutoa taarifa za kusaidia mapambano dhidi ya ufisadi ikiwa ni pamoja na ile taarifa ya ununuzi wa nyumba ya Mkurugenzi Mkuu wake, Edward Hosea, lakini pia alichemsha kwa kushindwa kuficha nyayo zake hadi akajulikana.

Awe anawasiliana na watu kama kina invisible ama mwanakijiji kabla ya kupost ili wamsaidie kuweka bila kuacha nyayo.

Kwa taarifa ni kwamba KESHO KUNA KISHINDO

Mkuu Halisi....huyu jamaa alichotakiwa kufanya ni kuweka kila kitu hapa, ikiwezekana kuscan hiyo document na kuimwaga hapa, cha kushangaza kalambalamba hii issue juu nakuingia mitini...
 
Hapana ingia pale kwenye klhnews.com kuna mahali panasema "Support KLHN"... NN.. haka kajarida tu leo kameshusha site kwa sekunde chache.. sasa hotuba ya Rais ambayo anaweza kuvunja Bunge na kurudi kwa wananchi kupata new mandate na viongozi wapya kabisa si ndio itakuwa kasheshe..?
 
KLHN inatarajia kurusha matangazo ya hotuba ya Rais "Live" kutoka Dodoma kwa subscibers na wachangiaji tu . To offset gharama ya matangazo hayo ya muda mrefu tunalazimika kufanya hivyo. Kwa wengine wataweza kuisikia vipande vyake baada ya kuirekodi na kuihariri.

Tuko pamoja.

Its a milestone. Kudos
 
Mwanakijiji,

..hivi Raisi wa Comoro hayuko ktk msafara wa kulihutubia Bunge?

..huyo nadhani atatupotezea muda wa kujadili masuala ya taifa letu.

..kama anataka kushukuru mchango wetu bora angezungumza na maofisa na wapiganaji wa JWTZ sehemu kama Lugalo au Uwanja wa Taifa.
 
Hapana ingia pale kwenye klhnews.com kuna mahali panasema "Support KLHN"... NN.. haka kajarida tu leo kameshusha site kwa sekunde chache.. sasa hotuba ya Rais ambayo anaweza kuvunja Bunge na kurudi kwa wananchi kupata new mandate na viongozi wapya kabisa si ndio itakuwa kasheshe..?

Ha! ha! ha!

Mzee Mwanakijiji......Unadhani muungwana atafika huko...?
 
Mwanakijiji,

..hivi Raisi wa Comoro hayuko ktk msafara wa kulihutubia Bunge?

..huyo nadhani atatupotezea muda wa kujadili masuala ya taifa letu.

..kama anataka kushukuru mchango wetu bora angezungumza na maofisa na wapiganaji wa JWTZ sehemu kama Lugalo au Uwanja wa Taifa.

Kwani rais wa Comoro yuko nchini? .. nimepata nafasi ya kuona ratiba ya shughuli kesho (tentatively) haitaji ugeni wa Rais wa Comoro.
 
Mwanakijiji,Mpita Njia,

..aisee "ka-nzi" kangu inaelekea hakanusi vizuri.

..kameathirika na unga-unga aliotupa Chenge bungeni.

..nadhani Mpita Njia amefafanua hapo.
 
Ok.. basi inawezekana bunge halitavunjwa kama wana mpango wa Ijumaa lakini duniani vyote vinawezekana. Kwa sababu itakuwa muhiimu kwake kuunda timu mpya kabisa kuanzia Bungeni na hivyo kuhakikisha anajipatia kundi jipya la kumsaidia ushindi 2010.

Kikwete akivunja Bunge sasa na baada yake mchakato mpya kuanza kutafuta wagombea ukaanza na yeye akagoma kuwaunga mkono wagombea kama kina Lowassa, Rostam n.k au kinyume chake kina Selelii, Mwakyembe na Kilango etc basi anaweza kujijengea heshima kubwa.

Catch 22 ya hapa ni kuwa akivunja Bunge na yeye anapoteza Urais!!
 
Back
Top Bottom