Tanzania na Uganda tuungane kusaidia wenzetu Wakenya waliokumbwa na baa la njaa

Kama ungekua ulifikiria vizuri ungegundua jibu liko kwa comment ulio iandika..... Mara nyengine unafaa ufikirie critically na logically.. si lazima mtu mwengine akwambie kitu ndo ufwatilie upepo......

Rais akisema hatuwezi jilisha anamaanisha chakula tunachozalisha hakitutoshi na inabidi tuagizie chengine kutoka nje... Comment niliyosema hapo awali ni..... " Mahindi mengi pia yako Kenya mengine tulioagizia kutoka nje, shida si kwamba hakuna chakula, shida ni kwamba wanaokumbwa na kiangazi hawana hela za kununua chakula, "


Kwahivyo si eti Kenya ina uhaba wa chakula, Unga uko kwa maduka, mafuta ya kupikia yako kwa maduka, mchele uko kwa maduka na bei yake haijapanda iko pale pale.... (kumbuka bei ya bidhaa inategemea supply and demand.... Kama kungekua na uhaba wa chakula bei ya mahindi na vyakula vyengine ingekua ilipanda)...... Kwahivyo tatizo si eti hakuna chakula Kenya, Tatizo ni kwamba watu wa eneo kama turkana hua hawana hela ya kununua hivi vyakula na hua wanategemea mvua kupanda mahindi na vyakula vyengine na kuyakausha ili watumie mwaka mzima, kwahivyo kukiwa na kiangazi zaidi ya mwaka mmoja inamaanisha familia haitakua na mahindi au chakula chochote chakukausha na kutumia mwaka ufwatao..
Wewe jamaa ni muongo sana mficha malazi kifo humuumbua mtu anang'ombe ishilini atashidwa kuuza hata wawili akakidhi tatizo la njaa kinachouwa watu si hela braza ni accessibility ya msosi nyinyi hamna chakula kubalini tu maswala ya hela yatakuja baadae sisi tanzania kuna wakati watu wa vijijini hawana hela lakini inatokea kwasababu ya wingi wa msosi lakini hawana hela so wanabadilishana kama unampunga mwingi unatoa kiasi unaenda badilishana na wamahindi sio wajinga walosema njaa haina baunsa

Sent from my using Tapatalk
 
Wewe jamaa ni muongo sana mficha malazi kifo humuumbua mtu anang'ombe ishilini atashidwa kuuza hata wawili akakidhi tatizo la njaa kinachouwa watu si hela braza ni accessibility ya msosi nyinyi hamna chakula kubalini tu maswala ya hela yatakuja baadae sisi tanzania kuna wakati watu wa vijijini hawana hela lakini inatokea kwasababu ya wingi wa msosi lakini hawana hela so wanabadilishana kama unampunga mwingi unatoa kiasi unaenda badilishana na wamahindi sio wajinga walosema njaa haina baunsa

Sent from my using Tapatalk
Hapo umetaja vitu viwili tofauti,
Hebu nikuulize, mbona hao watu hawana njaa mwaka mzima ila ni wakati wa kiangazi??????? sometime uwe unafikiria bana, hii issue is as simple as ABC... HApo umesema watu wanabadilishana huko kwenu, sasa nani anabadilishana huko Turkana wakati kila mtu ana ngombe na mbuzi, na mtu anaeishi Meru kwanini anunue ngombe ya turkana ilio konda wakati anaweza kununua ngombe ya Meru ilionona????


Afadhali useme issue ni accecibility kuliko uniambie eti Kenya hakuna chakula ndo maana watu wanakufa na njaa, accecibiity ina make sence kwasababu Turkana ni mbali sana na maeneo yaliyo na ukulima alafu barabara ya kuelekea huko bado haijakamilika kwahivyo magari kupeleka chakula kikifika huko wanapandisha bei....
Bara bara ya Kuelekea Moyale -Marsabit county ilikamilika na vyakula vinasafirishwa huko kwa bei nafuu inaezakua hio ndo sabababu hatujaskia habari kutoka huko msimu huu wa kiangazi
33454205071_f1787aa397_b.jpg




Hivi ndo ilikua 2011 wakati wa ukame mkali

Harvests are going to waste in parts of Rift Valley province — Kenya’s grain basket — as farmers lack markets for their produce, even as severe drought ravages the country’s northern regions.
Up to 3.7 million Kenyans need life-saving assistance, about a third of the 12.4 million drought-affected in the Horn of Africa, according to the UN Office for the Coordination of Humanitarian Affairs (OCHA).
In southern Rift Valley, farmers are struggling to offload surplus vegetable harvests while maize farmers in other parts of the province are having difficulty accessing markets for their new harvests.
“Sometimes I have been forced to feed cabbages to my cows; it is painful to watch as produce goes to waste,” John Kariuki, a farmer in Njoro’s Deffo area in the Rift Valley, told IRIN
Harvests rot in Rift Valley as Kenyans starve


Hii ni habari imetoka Juzi wakati wabunge walikua wanajadiliana

He said that it was ironical that while residents of Turkana and Baringo are starving, his constituents have nowhere to sell their maize because of lack of market. Corruption, poor planning to blame for hunger, say MPs


In the meantime, badala ya hizi jamii kuthamini mifugo yao kiasi hiki, Badala ya kuangalia mifugo yao ikifa wanafaa kuchinja na kukausha nyama kama vile watu wa kitambo walikua wakifanya, nyama ya ngombe iliokaushwa inaweza kusaidia familia hata kwa miezi mitatu

11113scr.jpg

4032.jpg





Hapa ni Moyale mwaka jana
13674ibc1.jpg

3731-pastoralism-09.JPG



maasai-farm_2324960k.jpg




Wa maasai hutoboa kashimo kwa shingo ya ng'ombe na kunywa damu ili kujistiri kule malishoni, badala ya kuangalia mifugo ikifa wachinje na kunywa damu alafu wakaushe nyama
 
shida iko hapa hadi watu wanakufa na Kenye ni nchi ya uchumi wa kati kwanin serikali ya kenya na wakenya ambao uchumi wao ni nzuri sana wasiwasaidie nduguzao mapema kwa kuwapa chakula bure.
Naeza nikakuuliza pia kwanini mamia ya watanzania omba omba huja kenya na kuomba omba hela miji ya Kenya. Mbona huko Tz msiwasaidie kabla waamue kuhama nchi yao na kuja nchi jirani????

Wakati wa kiangazi cha 2011, wakenya walichangisha Ksh 500 million ambayo ilitumika kuchimba visima na kupeeka chakula, baada ya miaka miwili tukaambiwa visima vyote vimekauka, Serekali nayo ikasema imeweka mikakati ya kutosha jambo kama hili halitafanyika tena, sasa wakenya wamesema wamechoka, kila siku kodi inapandishwa alafu kukitoka janga wanaturudia sisi wananchi tena kuchangisha, wakati huu Serekali ndo inategemewa itatue hii shida
'Tumechoka', KOT tells Red Cross after Sh824m aid appeal
 
Naeza nikakuuliza pia kwanini mamia ya watanzania omba omba huja kenya na kuomba omba hela miji ya Kenya. Mbona huko Tz msiwasaidie kabla waamue kuhama nchi yao na kuja nchi jirani????

Wakati wa kiangazi cha 2011, wakenya walichangisha Ksh 500 million ambayo ilitumika kuchimba visima na kupeeka chakula, baada ya miaka miwili tukaambiwa visima vyote vimekauka, Serekali nayo ikasema imeweka mikakati ya kutosha jambo kama hili halitafanyika tena, sasa wakenya wamesema wamechoka, kila siku kodi inapandishwa alafu kukitoka janga wanaturudia sisi wananchi tena kuchangisha, wakati huu Serekali ndo inategemewa itatue hii shida
'Tumechoka', KOT tells Red Cross after Sh824m aid appeal
hoja yako dhaifu sana, omba omba wapo karibia dunia nzima,hoja kwanin watu wafe na njaa huku Wakenya mnajitapa na majigambo mengi sana
 
Naeza nikakuuliza pia kwanini mamia ya watanzania omba omba huja kenya na kuomba omba hela miji ya Kenya. Mbona huko Tz msiwasaidie kabla waamue kuhama nchi yao na kuja nchi jirani????

Wakati wa kiangazi cha 2011, wakenya walichangisha Ksh 500 million ambayo ilitumika kuchimba visima na kupeeka chakula, baada ya miaka miwili tukaambiwa visima vyote vimekauka, Serekali nayo ikasema imeweka mikakati ya kutosha jambo kama hili halitafanyika tena, sasa wakenya wamesema wamechoka, kila siku kodi inapandishwa alafu kukitoka janga wanaturudia sisi wananchi tena kuchangisha, wakati huu Serekali ndo inategemewa itatue hii shida
'Tumechoka', KOT tells Red Cross after Sh824m aid appeal
Acha Maneno yasiyokua na kichwa Wala miguu, ombaomba Huku Tanzania ni crime kama crime zingine, huwa wanakamatwa na kushitakiwa kama wanavyokamatwa wanawake wanaojiuza usiku barabarani, hiyo ndiyo sababu wanakimbia Huku wanakuja katika nchi ambayo ni ombaomba, sheria hazifuatwi na rushwa imetamalaki.

Kuhusu njaa yenu, hakuna sababu yoyote ile inayokubalika kwanini Kenya mnakumbwa na njaa kila mwaka since independent, ninyi Hamna akili ya kupambana na huo ukame?, kama Barabara Ndio tatizo, kwanini hsmkuzijenga miaka ishirini iliyopata, Badala yake mnalenga flyovers, SGR na light trains?. Kenya is a failed state

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hoja yako dhaifu sana, omba omba wapo karibia dunia nzima,hoja kwanin watu wafe na njaa huku Wakenya mnajitapa na majigambo mengi sana
Swali niliokua nakujibu ni hilo ulilosema kwanini wakenya wenye uchumi wa kati wasisaadie wenzao, ndo pia mimi nikakuuliza kwanini Watanzania wenye uchumi wa kati wasisaidie hao omba omba manake wasipotata hela kwa wiki nzima pia hao watakufa kwa njaa....
Its the same principle, mimi nikiwa naishi Nairobi ni vigumu sana nitoe hela ya kusaidi mtu anaishi Magarini sehemu ambayo hata sijui.... Sawa sawa na wewe uambiwe kuna watu wanateseeka kijiji flani Tanga, utatoa hela tu hivi hivi? je kesho ukiambiwa kuna kijiji chengine kule kilimanjaro bado utatoa? Kila mtu anashida flani, mwanzo hizi nchi zetu ukiwa na hela kiasi flani ni wajukuu na vitukuu wanatumwa kwako wewe ndo tegemeo, mtu akiwa mgonjwa,kukiwa na harusi, matanga, shida ya karo ni wewe ndo unategemewa na extended family..... Ni vigumu kupata mtu eti anatoa mshahara wake nusu anapeana watu wa Turkana wakati anategemewa na kila mtu........ utakuta jamaa akiskia kuna mchango anatoa change alio nayo mfukoni kama ka mia mbili tu.

Kwa mfano mimi mwenyewe,kumekua na mazishi mara mbili tangu Jan hadi sasa, mchango ilikua kila mtu atoe 3k mara mbili, alafu kuna uncle yangu fani naye anataka harusi na hana hela huko nako ni elfu 10K tena unadaiwa mpaka karibu ukosane na watu unaohusiana nao.... Alafu baada ya hapo mtu aniambie eti serekali imefuja pesa na inahitaji wakenya watoe msaada kusaidia huko turkana.... Mimi si ATM, hio kodi yote ambayo wanachukua watumie kulisha watu... Uhuru KEnyatta amepiga safari ya Namibia Jana kwa ziara rasmi, hapo lazima atatumia zaidi ya 2 million.... Angekatisha hio safari na kununua mahindi apeleke huko Turkana, kwanini mimi ndo nikatishe mipango yangu ilhali viongoze wanaendelea na mipango yao kama kawa utadhani hakuna shida..
 
Acha Maneno yasiyokua na kichwa Wala miguu, ombaomba Huku Tanzania ni crime kama crime zingine, huwa wanakamatwa na kushitakiwa kama wanavyokamatwa wanawake wanaojiuza usiku barabarani, hiyo ndiyo sababu wanakimbia Huku wanakuja katika nchi ambayo ni ombaomba, sheria hazifuatwi na rushwa imetamalaki.

Kuhusu njaa yenu, hakuna sababu yoyote ile inayokubalika kwanini Kenya mnakumbwa na njaa kila mwaka since independent, ninyi Hamna akili ya kupambana na huo ukame?, kama Barabara Ndio tatizo, kwanini hsmkuzijenga miaka ishirini iliyopata, Badala yake mnalenga flyovers, SGR na light trains?. Kenya is a failed state

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiivyo its a crime to be poor in Tanzania mpaka unakamatwa ukiomba chakula? sina la kusema
 
Back
Top Bottom