joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,613
Nimeitaja Tz kwasababu hii forum inajadiliwa na waTz na Wakenya, Kama ingekua ni forum inajadiliwa na Wakenya na Wasomali au Wanaigeria basi nigetaja hizo nchi... do't think you are special...... Its called relevance!!!Hivi wakenya mkiongelea hili janga la njaa nchini kwenu (Zaidi ya 10 counties) bila kuitaja Tanzania mnapungukiwa na nini? This is not about the battle, this is your problem within your boundaries sio Tanzania na wala Tanzania haijawahi kuwa hivi, am not trying to brag sababu najua hawa watu hawakupenda wawe na njaa lakini your corrupt and greedy government lead all this
Nasikia mlikua na mradi mkubwa ukanda huo uliofadhiliwa na Israel ili kutosheleza chakula lakini ufisadi umeutafuna mradi mzima plus blackmail mradi wote umekufa hilo mbona hamliongelei? Lakini Tanzania lazima muihusishe?
Tanzania haijawahi kutokea mtu akafa na njaa wala watu kunywa matope
Hii ni njaa iliyoikumba Kenya mwaka Jana, ilikua mbaya kuliko hii ya sasa, kilichowaokoa Wakenya wengi ni chakula cha msaada, acha kudanganya kwamba eti mwaka Jana Turkana hawakua na njaa kwasababu walikua na chakula cha akiba, huo ni uongo na denial, mifugo yao karibia yote ilikufa kutokana na njaa na ukame mwaka Jana, ninaendelea kukuletea clips za video kuonyesha hali ilivyokua mbaya mwaka Jana.
Sent using Jamii Forums mobile app
What happened to this ? And how about the two aquifers discovered?Kama mwaka jana pia walipewa msaada, na mwaka huu bado wanahitaji msaada......... Mwaka Jana bei ya mahindi ilipanda hadi 200, sahii bei ni 100, na bado wanahitaji msaada..... Sasa hapo unaona chanzo cha shida ni nini? ni ukosefu wa chakula au ukosefu wa mvua????... The only common denominator ni ukosefu wa Maji..... Hebu sasa niletee video ya huko Turkana ambapo inaonyesha kulinyesha mvua na watu bado wakahitaji msaada
Maji hayo yanahitaji disalination plants, kitu ambacho tumeshindwa kufanya na maji ya bahari kule mombasa, maji ya turkana yako na chumvi kuliko ya bahari..What happened to this ? And how about the two aquifers discovered?
Kenya discovers huge water source
Huu ubishi wenu ndio huwaponza, serikali yenu kama ina mahindi haiwezi shindwa lisha mtu hata kwa bei ya hasara ili mradi watu wasife, mnatia aibu tutawapeni mahindi ya bure, mnatia aibuMahindi mengi pia yako Kenya mengine tulioagizia kutoka nje, shida si kwamba hakuna chakula, shida ni kwamba wanaokumbwa na kiangazi hawana hela za kununua chakula, Kawaida sehemu nyingi africa familia maskini hua zinapanda mahindi na vyakula vyengine wakati wa msimu wa mvua alafu ikifika msimu wa jua wanaendelea kula walichovuna msimu uliopita... Mahali kama turkana kiangazi kinapiga mwaka mzima alafu hakuna makampuni ya kufanyi kazi biashara ilioko ni kufuga ngamia,ngombe na mbuzi yote inategemea maji na nyasi... Watu wa turkana wanahitaji maji ndo waweze kujitegemea
Kwani huko turkana si wangejenga hata dams kubwa kadhaa ...Hata huko Tz kuna wengi Sana hawazi afford chakula ... 3/4 ya hayo ulioandika yanapatikana Tz na nchi nyingi Africa ikiwemo SA, tofauti ni kwamba mvua husaidia familia nyingi chochole kupanda mahindi,mihogo..etc ambayo wanatumia kujistiri... Hii ndo maana haitaskia watu wa Lamu au Kwale au maeneo mengine kama hayo yanakumbwa na njaa ilihali haya maeneo hua yako na watu maskini kwasababu mvua hunyesha haya maeneo na maji si haba kama vile kule jangwani upande wa kaskazini....
Mwaka iliopita Kenya ilikua na uhaba wa mahindi na bei take ikapanda kiasi ambacho hakijawai onekana Kenya, huo mda wote haukuskia watu wa Turkana wakiwa na njaa,...why? Kwasababu walikua na stoke yao ya chakula na visima vilikua havijakauka... Mpatie mtu WA Turkana maji na hautaskia tena habari za kutoka huko...
Ziwa victoria ni maji masafi, Ziwa turkana ni maji ya chumvi, i.e Maji masafi ya Chipa yako na PH level ya 7, wakati average Alkaline(salt) level ya maji ya baharini ni 8.1 PH, Lakini alkaline level ya ziwa Turkana ni 9.05 PH..Kwani huko turkana si wangejenga hata dams kubwa kadhaa ...
Afu huko turkana si ndio lipo ziwa turkana y wasitumie hilo kusambaza Maji watu walime hata kwa kumwagilia... Mbona tz tumevuta Maji ziwa Victoria mpakaa shinyanga nadhani na singida ka sijakosea
Sent using Jamii Forums mobile app
Hela za dams na Galana irrigation project Wakikuyu wameiba!Kwani huko turkana si wangejenga hata dams kubwa kadhaa ...
Afu huko turkana si ndio lipo ziwa turkana y wasitumie hilo kusambaza Maji watu walime hata kwa kumwagilia... Mbona tz tumevuta Maji ziwa Victoria mpakaa shinyanga nadhani na singida ka sijakosea
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukame Kenya Waturkana 14 wafa kwa njaa
Nimewahi kusema maneno mengi hayavunji mfupa. Wakenya wengi wanaleta habari za kuonyesha kuwa wako second world, lakini ukiwaambia kuwa utajiri mwingi haupo kwa wananchi wa kawaida hawaelewi. Utajiri mwingi wa Kenya Umelala Nairobi sehemu nyingine ni maskini wa forth world. Any way tusahau hayo
Tumuombe Rais wetu pamoja na Rais wa Uganda tuwasaidie hawa majirani tuna mahindi mengi sana tuwasaidie na Mungu atatuonyesha makuu
Asanteni
Usitoe msaada kwa masimango na vijembe.
Hii ni njaa iliyoikumba Kenya mwaka Jana, ilikua mbaya kuliko hii ya sasa, kilichowaokoa Wakenya wengi ni chakula cha msaada, acha kudanganya kwamba eti mwaka Jana Turkana hawakua na njaa kwasababu walikua na chakula cha akiba, huo ni uongo na denial, mifugo yao karibia yote ilikufa kutokana na njaa na ukame mwaka Jana, ninaendelea kukuletea clips za video kuonyesha hali ilivyokua mbaya mwaka Jana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi wakenya mkiongelea hili janga la njaa nchini kwenu (Zaidi ya 10 counties) bila kuitaja Tanzania mnapungukiwa na nini? This is not about the battle, this is your problem within your boundaries sio Tanzania na wala Tanzania haijawahi kuwa hivi, am not trying to brag sababu najua hawa watu hawakupenda wawe na njaa lakini your corrupt and greedy government lead all this
Nasikia mlikua na mradi mkubwa ukanda huo uliofadhiliwa na Israel ili kutosheleza chakula lakini ufisadi umeutafuna mradi mzima plus blackmail mradi wote umekufa hilo mbona hamliongelei? Lakini Tanzania lazima muihusishe?
Tanzania haijawahi kutokea mtu akafa na njaa wala watu kunywa matope
March 18, 2019
Nairobi, Kenya
BIG STORY : Is Kenya a Starving Nation, And Why
The Kenyan government has denied being late in its response to the prevailing drought in parts of the country. Denying reports of any loss of lives as a result of the drought Deputy President William Ruto now claims that the situation currently is far much better than was in yester years and that the government focus is on long term measures to end the cycle of drought which continues to plague the country every year.
Source: KTN News Kenya
Write your reply...
hii sijui ni middle income ya aina gani aiseee
Mbona unataka kubisha vitu bilivyowazi kabisa?. Serikali yenu ilitangaza mwaka Jana kwamba njaa na ukame ni janga la kitaifa, UN kupitia WFP nao walitangaza kwamba Wakenya Milioni nne wanakabiliwa na njaa na kuomba jumuiya ya kimataifa kuisaidia Kenya chakula.
Ili kuitikia mwito huo, nchi mbali mbali zikiwemo China, Turkey, UAE na nyingine nyingi zilitoa chakula cha msaada ili kuokoa maisha ya hao watu toka Turkana, Sio kweli kwamba mwaka Jana Turkana hawakukumbwa na njaa, isingekuwa chakula cha msaada toka katika hizo nchi, Wakenya wengi wanfekufa, mwaka huu Bado Kenya haijapikea chakula cha msaada ndiyo sababu watu waneanza kufa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukileta kiburi hata punje ya mahindi hamtapata!Nimeitaja Tz kwasababu hii forum inajadiliwa na waTz na Wakenya, Kama ingekua ni forum inajadiliwa na Wakenya na Wasomali au Wanaigeria basi nigetaja hizo nchi... do't think you are special...... Its called relevance!!!
Kenya zaidi ya kupiga mdomo na kujifanya wajuaji, hakuna kitu wanaweza kufanikisha, serikali yao is too weak. Hata ikitoa pesa mradi hauwezi kutekelezeka kwasababu serikali hauwezi kusimamia, miradi inayofanikiwa Kenya ni ile ya private sectors.Hela za dams na Galana irrigation project Wakikuyu wameiba!
Poleni, Sindiyo kule kila raia ana bunduki yake.Mahindi mengi pia yako Kenya mengine tulioagizia kutoka nje, shida si kwamba hakuna chakula, shida ni kwamba wanaokumbwa na kiangazi hawana hela za kununua chakula, Kawaida sehemu nyingi africa familia maskini hua zinapanda mahindi na vyakula vyengine wakati wa msimu wa mvua alafu ikifika msimu wa jua wanaendelea kula walichovuna msimu uliopita... Mahali kama turkana kiangazi kinapiga mwaka mzima alafu hakuna makampuni ya kufanyi kazi biashara ilioko ni kufuga ngamia,ngombe na mbuzi yote inategemea maji na nyasi... Watu wa turkana wanahitaji maji ndo waweze kujitegemea
Una Maneno Wewe mtoto, HahahahaTanzania ikisaidia waturkana na chakula humu hakutakalika kwa sababu akina Geza Ulole watafungua mithread ya majigambo humu vile wanalisha Kenya. Hakuna cha bure duniani kwa hivyo fanyeni hivi wasaidieni waturkana na chakula wasife njaa nao wawasaidie kuwatom.ba dada zenu wasife kwa sababu ya saratani .Wataacha kuweka toBacco mle ndani.
Mtafaidiana.
Hakuna mtu amekuomba mahindiUkileta kiburi hata punje ya mahindi hamtapata!
Kenya tafuteni suluhu ya hili tatizo ila mkitegemea jirani mtadhalilika kwa matusi.Hakuna mtu amekuomba mahindi