Tanzania na Uganda tuungane kusaidia wenzetu Wakenya waliokumbwa na baa la njaa

Kenya tafuteni suluhu ya hili tatizo ila mkitegemea jirani mtadhalilika kwa matusi.
Poleni, Sindiyo kule kila raia ana bunduki yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ndo maana tulianzisha Lapsset Project ambayo itafikia haya Maeneo yote kame... Northern Kenya hakuishiki ilhali ni asilimiia 70% ya Kenya..... Lapsset project ilianzishwa ili kuleta maendeleo maeneo haya manake kwasasa 70% ya wakenya wote wanaishi ndani ya 30% ya ardhi.... Huko kwengine ni watu wachache




70% of Kenyans live in 30% of the land mass
Population-density-in-Kenya.png


Na pia ukichunguza zaidi kwa google maps satellite image utagundua hayo maeneo ambayo wakenya wengi wamekimbia ni hayo maeneo kame

1553001643438.png


1553001352262.png
 
Najua humu tunapiga blah blah na hatuwezi tafuta/pata suluhisho lakini isiwe sababu ya kushindwa kujadili EAC solution ya tatizo kama. Leo kwa Kenya kesho kwa Tz keshokutwa kwa Uganda
Wakati tunapigana vijembe humu lazima tukumbuke bado sote kilimo chetu kinategemea rehma za Mungu
Let's grow up, let's talk EA solution


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ndo maana tulianzisha Lapsset Project ambayo itafikia haya Maeneo yote kame... Northern Kenya hakuishiki ilhali ni asilimiia 70% ya Kenya..... Lapsset project ilianzishwa ili kuleta maendeleo maeneo haya manake kwasasa 70% ya wakenya wote wanaishi ndani ya 30% ya ardhi.... Huko kwengine ni watu wachache




70% of Kenyans live in 30% of the land mass
Population-density-in-Kenya.png


Na pia ukichunguza zaidi kwa google maps satellite image utagundua hayo maeneo ambayo wakenya wengi wamekimbia ni hayo maeneo kame

View attachment 1049134

View attachment 1049133
Punguza theories nyingi, kama mlishindwa mradi mdogo wa Galana kulalu ambao Kwakweli ungeweza kutoa jibu la haraka, na haukuwa unategemea ushiriki wa nchi jirani, vipi uzungumzie Lapset ambao ni long-term project kuweza kutoa suluhu ya acute problem?. Please get out of denial, Lapset died alongside with CoW.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukame Kenya Waturkana 14 wafa kwa njaa

Nimewahi kusema maneno mengi hayavunji mfupa. Wakenya wengi wanaleta habari za kuonyesha kuwa wako second world, lakini ukiwaambia kuwa utajiri mwingi haupo kwa wananchi wa kawaida hawaelewi. Utajiri mwingi wa Kenya Umelala Nairobi sehemu nyingine ni maskini wa forth world. Any way tusahau hayo

Tumuombe Rais wetu pamoja na Rais wa Uganda tuwasaidie hawa majirani tuna mahindi mengi sana tuwasaidie na Mungu atatuonyesha makuu
Asanteni

Kwa hali ya mvua nayoiona maeneo mengi haswa kati ya nchi, kaskazini na Ziwa Victoria na sisi Tanzania tujiandae kwa njaa kubwa mwaka huu 2019/2020.
 
Najua humu tunapiga blah blah na hatuwezi tafuta/pata suluhisho lakini isiwe sababu ya kushindwa kujadili EAC solution ya tatizo kama. Leo kwa Kenya kesho kwa Tz keshokutwa kwa Uganda
Wakati tunapigana vijembe humu lazima tukumbuke bado sote kilimo chetu kinategemea rehma za Mungu
Let's grow up, let's talk EA solution


Sent using Jamii Forums mobile app
Mkapa alifuta njaa Tanzania! Now we r doing this after Mtwara corridor! Malawi and Tanzania Launch $829m Songwe River Basin Agreement
 
Kwa hali ya mvua nayoiona maeneo mengi haswa kati ya nchi, kaskazini na Ziwa Victoria na sisi Tanzania tujiandae kwa njaa kubwa mwaka huu 2019/2020.
Peleka ujinga our food reserve is always good to supply where there is deficiency! The siX food basket regions r in the Southern highlands! N now irrigation programs r all over the country!
 
Hii ndo maana tulianzisha Lapsset Project ambayo itafikia haya Maeneo yote kame... Northern Kenya hakuishiki ilhali ni asilimiia 70% ya Kenya..... Lapsset project ilianzishwa ili kuleta maendeleo maeneo haya manake kwasasa 70% ya wakenya wote wanaishi ndani ya 30% ya ardhi.... Huko kwengine ni watu wachache




70% of Kenyans live in 30% of the land mass
Population-density-in-Kenya.png


Na pia ukichunguza zaidi kwa google maps satellite image utagundua hayo maeneo ambayo wakenya wengi wamekimbia ni hayo maeneo kame

View attachment 1049134

View attachment 1049133

Mikoa yetu mikame tunaijengea mabwawa

 
March 19, 2019
Nairobi, Kenya

Mjadala wa njaa katika Bunge la Taifa jijini Nairobi

Wakenya wakasirishwa na ripoti za baa la njaa katika Kaunti ya Turkana na Baringo | Jukwaa la KTN



Mbunge wa Samburu ya Magharibi Bi. Naisula Lesuuda ametoa hoja katika Bunge la Taifa mjini Nairobi juu ya udhaifu wa utendaji kazi wa Serikali Kuu. Serikali Kuu ina mipango yake ambayo imekuwa ni ahadi hewa kwa kaunti (majimbo) za Kenya.

Watu wamefariki katika eneo la Turkana kusini, hali imeendelea kuwa tete katika kaunti ya Turkana huku wadau wanaohusika wakionekana kunyosheana vidole vya lawama.

Pia changamoto za kuwa na mfumo wa utawala wa majimbo (kaunti / ugatuzi ) dhidi ya serikali kuu ya Nairobi unaokinzana kimipango zinaanza kuonekana. Maana mabunge ya kaunti pia visheni za magavana yanatofautiana malengo na Bunge la Taifa na serikali Kuu ambazo zipo Nairobi.
 
Tanzania ikisaidia waturkana na chakula humu hakutakalika kwa sababu akina Geza Ulole watafungua mithread ya majigambo humu vile wanalisha Kenya. Hakuna cha bure duniani kwa hivyo fanyeni hivi wasaidieni waturkana na chakula wasife njaa nao wawasaidie kuwatom.ba dada zenu wasife kwa sababu ya saratani .Wataacha kuweka toBacco mle ndani.
Mtafaidiana.
njaa inakupa stress,very sorry
 
Tanzania ikisaidia waturkana na chakula humu hakutakalika kwa sababu akina Geza Ulole watafungua mithread ya majigambo humu vile wanalisha Kenya. Hakuna cha bure duniani kwa hivyo fanyeni hivi wasaidieni waturkana na chakula wasife njaa nao wawasaidie kuwatom.ba dada zenu wasife kwa sababu ya saratani .Wataacha kuweka toBacco mle ndani.
Mtafaidiana.

Unahamu sana, unahitaji kushughulikiwa
 
March 18, 2019
Nairobi, Kenya

BIG STORY : Is Kenya a Starving Nation, And Why

The Kenyan government has denied being late in its response to the prevailing drought in parts of the country. Denying reports of any loss of lives as a result of the drought Deputy President William Ruto now claims that the situation currently is far much better than was in yester years and that the government focus is on long term measures to end the cycle of drought which continues to plague the country every year.


Source: KTN News Kenya
Hii habari sijisumbui hata kuisoma maana nakumbuka katika tukio la Westgate huyu Ruto alikanusha pia hivyohivyo akadanganya kuwa Shabab wanachoma mito ya magodoro ndio maana unatoka moshi mweusi, kumbe mashababi wazee wa kazi wamelipua store ya magari na floor nzima humo ndani.

Me sielewi kwann hadi leo jamaa bado yupo kwenye system cjui ndio zile za kabila letu bwana tubebane hivihivi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata huko Tz kuna wengi Sana hawazi afford chakula ... 3/4 ya hayo ulioandika yanapatikana Tz na nchi nyingi Africa ikiwemo SA, tofauti ni kwamba mvua husaidia familia nyingi chochole kupanda mahindi,mihogo..etc ambayo wanatumia kujistiri... Hii ndo maana haitaskia watu wa Lamu au Kwale au maeneo mengine kama hayo yanakumbwa na njaa ilihali haya maeneo hua yako na watu maskini kwasababu mvua hunyesha haya maeneo na maji si haba kama vile kule jangwani upande wa kaskazini....

Mwaka iliopita Kenya ilikua na uhaba wa mahindi na bei take ikapanda kiasi ambacho hakijawai onekana Kenya, huo mda wote haukuskia watu wa Turkana wakiwa na njaa,...why? Kwasababu walikua na stoke yao ya chakula na visima vilikua havijakauka... Mpatie mtu WA Turkana maji na hautaskia tena habari za kutoka huko...
shida iko hapa hadi watu wanakufa na Kenye ni nchi ya uchumi wa kati kwanin serikali ya kenya na wakenya ambao uchumi wao ni nzuri sana wasiwasaidie nduguzao mapema kwa kuwapa chakula bure.
 
Back
Top Bottom