LOTH HEMA
JF-Expert Member
- Dec 6, 2015
- 13,505
- 18,363
labda ni fasheni tu ya kuonesha matumizi makubwa ya fedha. Sasa huko juu ndani wanaweka nini wakati nyumba si godauni?Hiyo ya kujenga paa ndefu huwa inanishangaza sana, sijui aliyewaza kujenga hivi alifikiria nini haswa