Tanzania mbioni kuwakabidhi mgodi Waaustralia wachimbe madini yanayounda vifaa vya computer na simu. Huku watanzania wakiwa hawana ujuzi wowote

mleta mada acha uongo Tanzania sasa hivi ina mainjinia wa migodi kibao kuanzia open pit na underground pit

Wao wakianza kuchimba ni kutangaza vijana kibao wanaingia kazini

Kuhusu kuchimba afadhali wamekuja kuchimba.Teknolojia inabadilika haraka sana tukisubiri ikabadilika tutakuja jikuta tumebaki ardhini na takataka.Ndio maana nashauri serikali ichimbe haraka chuma na makaa ya mawe pia visije vikatutudodea kwa mabadiliko ya teknolojia tukajikuta tulichonacho ni useless na hopelss
 
Ni ngumu kusema kwa kujihakikishia kuwa serikali haina maandalizi ya ujuzi wowte katika kutumia madini haya.

Serikali ni taasisi yenye siri kubwa na si kila kitu itaweka hadharani sio kwamba kwakuwa haujaona maandilizi haimaanishi serikali haina mpango huo. Kukosa kwako taarifa kusikufanye utoe hitimisho.

Umeshajua ni kozi zipi zitafundishwa kwenye chuo jengwa cha veta huko Kagera!?

Umeshajua pale Kariakoo agrey labda kuna wataalam wangapi wa kutengeneza simu ambao serikali wanaweza watumia?

Yote haya ni sinto fahamu wacha tuiachie serikali ifanye kazi yake... Approach yako ungeweza kueleta kwa kuuliza kama serikali imejiandaa vipi kwenye kuandaa maswala ya matumizi ya madini hayo.
 
Back
Top Bottom