Mr.Junior
JF-Expert Member
- Sep 8, 2013
- 12,983
- 11,794
Mimi mgeni hapa wacha tuwasikie watalaamu.Mmmmmmh....!! Haya maajabu yanayofanywa na Air Tanzania yanatia kichefu chefu!
Mimi mgeni hapa wacha tuwasikie watalaamu.Mmmmmmh....!! Haya maajabu yanayofanywa na Air Tanzania yanatia kichefu chefu!
ndugu picha hii ni ya kitambo uwe unafanya upembuzi yakinifu kabla ya kuweka bandiko.Mbona ndege ni ya airTanzania na ngazi ni Kenya airways? Kweli haya ni maajabu
utaelewa ukimaliza chuoSijaelewa
Sasa hapo shida ni nini?kweni unadhani hako kagari kako TZ?hapo ilitua KenyaMmmmmmh....!! Haya maajabu yanayofanywa na Air Tanzania yanatia kichefu chefu!
Angalia kwanguvu utaelewa!Sijaelewa
Halafu gari iliyoibeba sasa .... Hii ndiyo Tz, nchi yenye furaha ya maishaMbona ndege ni ya airTanzania na ngazi ni Kenya airways? Kweli haya ni maajabu
Ni kweli kulikuwa na ndege hizi mbili Tanzania, je nini kilitokea mpaka ikawa hivyohii ni ile ndege yet Boeng 737- zilikuwa mbili ambazo Makaburu waliziharibu! Ile ya pili ni Serengeti. Angalia hio rangi ilivyokuwa nzuri.
Hakuna ndege ya Airtanzania inayoenda kenyaKwa hiyo ndege ya Tanzania inatakiwa ibebe ngazi za kushukia kwa kila destination? Yaani kama Air Tanzania inatua Kenya, basi ngazi za kushukia zinatakiwa zitoke wapi na ziwe zimeandikwaje? Aliyesema malofa alikosea?
Uko na uhakika?Hiyo picha ni ya miaka ya 80 wakati Air Tanzania na Kenya Airways zinatumia nembo za zamani.
Pili ndege inapotua uwanja wowote ngazi inayoandaliwa kwa kushukia abiria huwa ni ile inayoendana na ukubwa wa ndege ingawa zipo zinazoweza kurefuka. Suala la ngazi ina nembo gani wala halina uhusiano wowote na ndege inayohitaji kuitumia hiyo ngazi.
Kwa hiyo kwa majibu wa hiyo picha inawezekana ilikuwa Nairobi ambapo karibu ngazi zote ni za Kenya Airways, no big deal at all.
Tusikuze mambo bila ulazima wala utafiti.
Mmmmmmh....!! Haya maajabu yanayofanywa na Air Tanzania yanatia kichefu chefu!
Fact. Km iltua kenya? Wabeb n ngaz zao?Kama ilitua kenya je?
watu wanataka serikali ionekane ina ubaya tuFact. Km iltua kenya? Wabeb n ngaz zao?
Heeee kama hautaki baki hukohuko au ruka, wasiopeda hiyo nauli wapige mbiziMbona ndege ni ya airTanzania na ngazi ni Kenya airways? Kweli haya ni maajabu
Nimeelewa ngazi ya Kenya ndege ya bongo inamaana wanayo pesa ya kununua ndege lakini ya ngazi wameishiwa?Mmmmmmh....!! Haya maajabu yanayofanywa na Air Tanzania yanatia kichefu chefu!

Mbona hiyo ndege ipo bongo tuKwa hiyo ndege ya Tanzania inatakiwa ibebe ngazi za kushukia kwa kila destination? Yaani kama Air Tanzania inatua Kenya, basi ngazi za kushukia zinatakiwa zitoke wapi na ziwe zimeandikwaje? Aliyesema malofa alikosea?
Kwani ndege hiz zimeshaanza safari nje ya nchiKwa hiyo ndege ya Tanzania inatakiwa ibebe ngazi za kushukia kwa kila destination? Yaani kama Air Tanzania inatua Kenya, basi ngazi za kushukia zinatakiwa zitoke wapi na ziwe zimeandikwaje? Aliyesema malofa alikosea?