BasilSawewe
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 451
- 213
Upo sahihi. Tena ni enzi za EAC kabla haijaparaganyika. Ndiyo kulikuwa na midege labila hiyo ambayo sasaiv hayapo.Kama ilitua kenya je?
Kwani kuna sehemu wameweka tarehe kwenye picha hiyo?
Upo sahihi. Tena ni enzi za EAC kabla haijaparaganyika. Ndiyo kulikuwa na midege labila hiyo ambayo sasaiv hayapo.Kama ilitua kenya je?
I invite you to prove me wrong BEYOND REASONABLE DOUBT.Uko na uhakika?
Wapi?Umeteguka
Mmmmmmh....!! Haya maajabu yanayofanywa na Air Tanzania yanatia kichefu chefu!
Hiyo ni ndege ya zamani sana pimbi weweHivi tuna ndege yenye uwezo wa kufika Kenya..??
Beba chakwakoJamani kile chakula ktk hizi ndege wanamaanisha au masihara?
Mkuu unaonekana kama kichwani haunazo... Picha hii ni ya kitambo Hizo Ndege hazipo tena kwenye huduma Boeing za ATC kitambo sana na hapo inaonesha ni uwanja wa ugenini Hata watu waliovaa nguo naona mabwanga so ni Picha ya Miaka ya 80's au 90's sio za sasa acha kuponda vyako vya nyumbani... Mkeo msifie kwa jamii mkemee chumbani kwenuMmmmmmh....!! Haya maajabu yanayofanywa na Air Tanzania yanatia kichefu chefu!
Maandalizi ya viwanda maana vitakuja na ndegeMkuu unaonekana kama kichwani haunazo... Picha hii ni ya kitambo Hizo Ndege hazipo tena kwenye huduma Boeing za ATC kitambo sana na hapo inaonesha ni uwanja wa ugenini Hata watu waliovaa nguo naona mabwanga so ni Picha ya Miaka ya 80's au 90's sio za sasa acha kuponda vyako vya nyumbani... Mkeo msifie kwa jamii mkemee chumbani kwenu
Mmmmmmh....!! Haya maajabu yanayofanywa na Air Tanzania yanatia kichefu chefu!
Mmmmmmh....!! Haya maajabu yanayofanywa na Air Tanzania yanatia kichefu chefu!