Obugwa Izoba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 10,466
- 11,641
Vijana wa Bavicha aiseeee
Mkuu angalia ubavu wa ngazi ya hyo ndegeSijaelewa
Tatizo elimu....hii ni ndege ya zamani ya tanzania hapo uwanja wa jomo kenyata...kenya......tumia akili dogo....jivunie nchi yako hata kama mnatumbuliwa majipuMmmmmmh....!! Haya maajabu yanayofanywa na Air Tanzania yanatia kichefu chefu!
NAWALETEA PICHA OBAMA ALIVYOKUJA ALITUMIA NGAZI YA UBTHiyo picha ujaielewa.... Hapo hiyo ni ndege ya Air Tanzania imetua uwanja wa ndege wa jomo Kenyatta na ngazi/stair ya Kenya airways ndio itakayotumika kushushia abiria sasa ulitaka ya jk. Nyerere ipelekwe jomo Kenyatta
NAWALETEA PICHA OBAMA ALIVYOKUJA ALITUMIA NGAZI YA UBTHiyo picha ujaielewa.... Hapo hiyo ni ndege ya Air Tanzania imetua uwanja wa ndege wa jomo Kenyatta na ngazi/stair ya Kenya airways ndio itakayotumika kushushia abiria sasa ulitaka ya jk. Nyerere ipelekwe jomo Kenyatta
I think unasababu zako za kuposit hio picha.Hivi tuna ndege yenye uwezo wa kufika Kenya..??
Wengine wamezaliwa mwaka jana, tuvumilie tundugu picha hii ni ya kitambo uwe unafanya upembuzi yakinifu kabla ya kuweka bandiko.
Umezaliwa mwaka gani wewe.Hakuna ndege ya Airtanzania inayoenda kenya
Sasa hapo shida ni nini?kweni unadhani hako kagari kako TZ?hapo ilitua Kenya
Umezaliwa lini? Je ushawahi fika airport yoyote? Sitaki kuuliza iwapo ushawahi kupanda ndege.Uko na uhakika?
Soma www.airtanzania.co.tzJamani mwenye ufahamu kuhusu hii ndege ambayo ni boeing 737-200 iliyokuwa ikitumiwa na airtanzania kipindi hicho... kwa sasa iko wapi?
Kweli wewe ni mazabe.Nimeelewa ngazi ya Kenya ndege ya bongo inamaana wanayo pesa ya kununua ndege lakini ya ngazi wameishiwa?![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
1. Unafahamu ndege mpya zilizonunuliwa na zinazotarajiwa kufika hapa.Kwani ndege hiz zimeshaanza safari nje ya nchi
Umefanyaje huo ubavu?Mkuu angalia ubavu wa ngazi ya hyo ndege
UmetegukaUmefanyaje huo ubavu?
Hii Ndege ilishakuwa skrepa kule kenya, ina mahali hadi pa kuwekwa mafuta ya taa ili iwake.Mmmmmmh....!! Haya maajabu yanayofanywa na Air Tanzania yanatia kichefu chefu!