Mkuu asante kwa maelezo yako mazuri. Naomba kupata ufafanuzi kidogo, endapo ukiamishwa na mwajiri wako kutoka eneo moja kwenda eneo lingine ndani ya halmashauri ile ile, je nastahili kulipwa stahiki zipi?Hii ni masuala ya misconduct na Standing Orders itakuwa imeeleza vizuri mkuu, hebu ipitie, naamini wewe ni mtumishi wa Umma hivyo utakuwa unaijua hii
Deonova plz check me through this no 0756171419 nahitaji msaada
Kaka deonova habar za majukumu na pole kwa usumbufu
Brother samahan mimi ni Hassan daudi uliyekuwa umenisaidia kipindi kile nipo songea naomba msaada wako tena kuna vitu bado vinanitatiza kwa kunikumbuka zaid nakutumia picha nilizokuwa nimevunjikaView attachment 953616View attachment 953618
Kwa whatsaap napatikana kwa no.0759361041 please naomba msaada wako kaka
Subiri kidogo mkuu,_ruling on progressMdau tueleze mlimalizaje hili tatizo ili tuweze kujifunza
Malipo ya mfanyakazi baadae kufukuzwa kazi yakoje mahesabu ya miaka miwili
Kama hujapewa notis ya miezi mitatu na umeshtukizwa siku moja kabla ukapewa barua ya kuachishwa kazi inakuwaje haki za msingi mimi nimeshtukizwa hata sijapewa barua ya miezi mitatu na wamenipa hela ya miaka miwili je ni haki nikipewa hizo za mahesabu ya siku saba ya mwaka mzima?
Sent using Jamii Forums mobile app