Tanzania kurusha chombo Angani kwa mara ya kwanza

Tanzania kurusha chombo Angani kwa mara ya kwanza

Mstahiki Mea

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2018
Posts
6,129
Reaction score
11,385
1752495929094.jpg

Tanzania, kupitia Chuo cha Teknolojia Dar es Salaam (DIT), ina mpango wa kurusha satelaiti yake angani, ifikapo mwaka 2026.

Chombo hicho, kitakuwa cha kwanza kurushwa angani na nchi hiyo, baada ya kuongezeka kwa ujuzi, ubunifu na teknolojia.

Chuo cha DIT kilianza mpango huo toka mwaka 2024 baada ya kuingia mkataba na Chuo Kikuu cha RUDN cha nchini Urusi.
Chanzo : RT AFRICA
 
Inabidi tutengeneze nguo za chuma kabisa ili likianguka tue na uhakika wa usalama angalau 💩💩
 
nimejiuliza sana chombo gani tena? Kumbe Satellite. Muwe mnaandika heading kamili. Shubamit 😂
 
Inabidi tutengeneze nguo za chuma kabisa ili likianguka tue na uhakika wa usalama angalau 💩💩
🤣🤣🤣🤣😀😂😂😂😂😂😂😂😂 kwahiyo tusibiri kwanza mkuu tupate experience
 
View attachment 3405760
Tanzania, kupitia Chuo cha Teknolojia Dar es Salaam (DIT), ina mpango wa kurusha satelaiti yake angani, ifikapo mwaka 2026.

Chombo hicho, kitakuwa cha kwanza kurushwa angani na nchi hiyo, baada ya kuongezeka kwa ujuzi, ubunifu na teknolojia.

Chuo cha DIT kilianza mpango huo toka mwaka 2024 baada ya kuingia mkataba na Chuo Kikuu cha RUDN cha nchini Urusi.
Chanzo : RT AFRICA
Uzito wa taarifa upo kwenye huo mkataba...ningeshangaa kama DIT ingekua na utaalam huo kwa kujitegemea yenyewe.
 
Back
Top Bottom