Kwa miezi mitatu tunahangayika na dozi milioni 1 iliyoletwa na wamarekanina bado haijaisha.. Juzi tu tumepokea SINOFARM karibu dozi milioni 1 pia ambazo kuzimaliza itachukua kama miezi 5. sasa hiozo laki 5 si zitakuja ku expy kabla ya kutumika? Policy ya chanjo ya Covid tanzania lazima ibadilike na serikali wawe wakali kidogo vinginevyo.