Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 877
- 4,106
Unapoteuliwa ikaondoka ofisini nakukabidhi kuna vitu vya ofisi na personal vinapaswa kubadilika. Gerson Msigwa ameendelea kufanya kazi ya Zuhura Yunus mitandaoni kisha sasa ameongeza kazi ya katibu mkuu.
Anaweza akadhani mfumo unataka hivyo ila ukweli ni kwamba anaingilia majukumu ya watu. Makatibu wakuu sifa yao kuu nikujitenga na mitandao ya kijamii kwa kuamini wizara zina watu wameajiriwa kuhabarisha.
Mdogo wetu Msigwa anahitaji msaada kidogo...Zakuambiwa changanya na zako. Pls my young brother, nawiwa kukushauri usipost tena issues kwenye akaunti yako iliyosajiliwa as official accounts kwenye sacial media.
Ukitaka kufanya hivyo, usiwe wa kwanza na usiweke maneno yako. Zingatia
Anaweza akadhani mfumo unataka hivyo ila ukweli ni kwamba anaingilia majukumu ya watu. Makatibu wakuu sifa yao kuu nikujitenga na mitandao ya kijamii kwa kuamini wizara zina watu wameajiriwa kuhabarisha.
Mdogo wetu Msigwa anahitaji msaada kidogo...Zakuambiwa changanya na zako. Pls my young brother, nawiwa kukushauri usipost tena issues kwenye akaunti yako iliyosajiliwa as official accounts kwenye sacial media.
Ukitaka kufanya hivyo, usiwe wa kwanza na usiweke maneno yako. Zingatia