Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 7,238
- 12,755
Lina ubaya gani hilo neno? Mbona walokole mnawaita wengine walimwengu. Mara wa mataifa. Wakatoliki wanaita wakristo wengine wa madhehebu
Yuda 1:14 “Kwa maana kuna watu waliojiingiza kwa siri, watu walioandikiwa tangu zamani hukumu hii, makafiri, wabadilio neema ya Mungu wetu kuwa ufisadi, nao humkana yeye aliye peke yake Mola, na Bwana wetu Yesu Kristo”wala haina haja, kama kutokuwa muislam ndio ukafiri, mimi naomba waendelee kuniita KAFIRI tena kwa herufi kubwa. kwasababu uislam ni upotevu na wala hainiumi mtu kuniita kafiri (meaning mtu ambaye hajaenda njia ya upotevu).
Wacha kujitesa wewe! Kwani kafiri sio mtu, ukiitwa Kafiri unapungukiwa nini, deal na vitu vya maana wacha kujipa stress za kijinga.Kwa kuwa neno lakukwaza nimetamani kufahamu kama kuna sheria inakataza binadamu kuitwa Kafiri Tanzania na kama hakuna hatuoni kama ni muda muafaka kuiweka?
Yuda 1:14 “Kwa maana kuna watu waliojiingiza kwa siri, watu walioandikiwa tangu zamani hukumu hii, makafiri, wabadilio neema ya Mungu wetu kuwa ufisadi, nao humkana yeye aliye peke yake Mola, na Bwana wetu Yesu Kristo”kafiri hapa ni wale wanaomkana Yesu Mungu na Bwana wetu Yesu Kristo. nadhali hii ilimsumbua sana mood, alipokuwa anaandika kitabu chake akawaelewa wale waliokuwa wananakili (kwasababu yeye alikuwa hajui kusoma wala kuandika) kwamba wajirudishie hili tusi ambalo yeye aliitwa kafiri ili wayahudi, wakristo na wengine wote waitwe makafiri, na akaelekeza wafuasi wake wote kuwauwa ama la wasilimu.
hakunaNimemsikia mwanasiasa mmoja akitumia neno kafiri katika nyumba ya ibada hapa Mwanza. Pamoja na kwamba tunashirikiana naye kwenye imani na kwamba neno Kafiri limekuwa likitumika sana ila kwa tamaduni zetu Tanzania neno hili lina ukakasi mkubwa hasa katika matamshi ya kiswahili.
Ni neno lakukwaza na linalohubiri utengamano. Ni neno linalotumiwa sana na magaidi wanapotaka kutekeleza ukatili wao. Ni neno lisilovumilika kwa tamaduni na ni neno lisilo na star. Sidhani kama kiongozi wa nchi anaweza kulitumia kwenye hotuba yake.
Kwa kuwa neno lakukwaza nimetamani kufahamu kama kuna sheria inakataza binadamu kuitwa Kafiri Tanzania na kama hakuna hatuoni kama ni muda muafaka kuiweka?
Sheria ya nchi inasema binadamu wote ni sawa; je kumuita mwenzako Kafiri nje ya nyumba za ibada ni sahihi? Ndani ya nyumba ya ibada sawa.
Kuna clip pia inasambaa YouTube nimeona mtoa mawaidha somewhere akilitumia sana hili neno tena akiwatuhumu walioandaa iftar ikulu kama makafiri au walishirikiana na makafiri. Haya maneno yametoka nje huko je tunaweza kuyatumia?
Kwaiyo mungu wako sio muweza wa yote?Ishu kubwa ni kufa na kufufuka hii ni fix laivu Kabisa.
Kupaa tunakubaliana dini zote alipaa.
Kwamba ni Mungu hapo napo hapatoshi yaani Mungu fundi seremala anapewa kazi na kulipwa, kwamba Mungu anakula ugali, anaenda msalani , anachoka? You can't be serious!
Sasa kama Mudi alikuwa hajui kusoma wala kuandika je, tuna uhakika gani kama hayo Yaliyoandikwa yalitoka kwa Mudikafiri hapa ni wale wanaomkana Yesu Mungu na Bwana wetu Yesu Kristo. nadhali hii ilimsumbua sana mood, alipokuwa anaandika kitabu chake akawaelewa wale waliokuwa wananakili (kwasababu yeye alikuwa hajui kusoma wala kuandika) kwamba wajirudishie hili tusi ambalo yeye aliitwa kafiri ili wayahudi, wakristo na wengine wote waitwe makafiri, na akaelekeza wafuasi wake wote kuwauwa ama la wasilimu.
Sasa muislam anapomuita asiye muislam kafir,kwa maana asiyeamini Allah na Muhammad si anakuwa kachukua majukumu ya Mungu!!!au unasemaje hili mkuu??Nafikiri ungetulia ukaandika vizuri, kusema uislam ni upotevu umekosea, Mungu ndie hakimu. Si vizuri kuponda dini za watu wengine!
Hapa una maswali,dhana,madai yote kwa pamoja haitaeleweka unataka majibu au kuelekezwa,tuache kwanza hapa.Swali la kwanza:
Yesu alikufa msalabani sawa , akafufuka pangoni sawa, akapaa mbinguni sawa, atarudi duniani kuchukua wateule , je maandiko haya yaliandikwa na binadamu au Mungu? Je mbinguni aliko Yesu hivi sasa ni wapi? je maandiko haya yaliandikwa Yesu akiwa hai au akiwa amekufa? Je biblia iliandikwa na kina nani kwa lengo gani na kwa maslahi ya nani? Je biblia inasemaje Yesu akija duniani akishachukua wateule atapaa nao mbinguni au atawaacha atapaa mbinguni alone?? Au biblia inasema Yesu akishabeba wateule atakufa na kuzikwa nao? Je ikiwa Yesu atakufa na kuzikwa itakuwa Yesu kafa mara ya pili? Mara ya kwanza Yesu alikufa msalabani! Je kuna njia gani ingine ya kuondoka duniani kwa binadamu zaidi ya kufa?? Je kuna ushahidi wa binadamu aliewahi kuondoka duniani kwenda kuzimu kwa kupaa? Je kuna binadamu alikufa in reality , akaoza na akarudi duniani kama atakavyofanya Yesu? Je kuna binadamu anajulikana aliwahi kufa mara mbili? Je wajua vitabu vya secular history kama The History of Ancient World vinamtaja Yesu kama Palestinian boy akiitwa Isah aliepingana na Wayahudi?
Je wajua Paulo ndie muanzilishi wa Christianity? Je wajua kuna injili ya Barnaba inayokatazwa kusomwa?
Je wajua kwa mujibu wa dini yetu maumivu ya mtu kutoka roho ni makali sawa na mbuzi anaechunwa ngozi akiwa hai? Kwahiyo Yesu ataweza maumivu hayo mara Mbili?
mkuu dhana ya kufa au kuuawa isikuchanganye ni swala la maamuzi yake tu,issue ni kwamba kufa kwa Mungu wako hakuwezi kuwa kufa sawa na kufa kwako.Swali la pili:
Yesu ni mwana wa Mungu sawa, Yesu kazaliwa bila baba sawa, Yesu ni Mungu mwana sawa, ina maana Yesu ni Mungu na Mungu anaumba, sasa ilikuwaje Mungu mwana, Yesu auawe na binadamu dhaifu aliowaumba? Yani binadamu sasa wana nguvu na wanaua Mungu? Yani ni kama vile ufuge kuku aje akuparure hadi akuue?
Huu ni msimamo wako,hakuna Mungu watatu.Yesu ni sehemu ya utatu wa Mungu sawa, utatu mtakatifu sawa, ina maana kuna Mungu watatu sawa,
Rejea hapo juu.ina maana Yesu alipokufa Mungu wenzake, Mungu Baba na Mungu Roho mtakatifu walibaki hai? Mfano ni kama vile pacha walioungana mmoja akifa na mwenzake anakufa au anabaki hai? Ikiwa Yesu Mungu Mwana alikufa msalabani na Miungu wenzake Baba na Roho Mtakatifu wakafa pia, ina maana mda ule dunia haikuwa na Mungu?
hizi nazo ni pumba ambazo mmeambatanishiwa katika uislam,zinazofanya mkristo makini azidi kupata mashaka na utume wa Muhammad.Swali la tatu (bonus)
Kwanini ili mtoto umuamini Yesu lazima uzamishwe kwenye maji? Ubatizwe! Kwanini hakuna ubatizo kwenye Islam? Kwanini? Sababu mtoto huzaliwa akiwa muislam na mfuasi wa Muhammad SAW. Ili umtoe huko arabuni lazima awe baptized!
sijui utaratibu wa misikitini kama wakati wa sala,huwa unaweza nyoosha mkono kwa imamu ukitaka muongozo ilikuwaje Muhammad akaamini kizembe tu ujumbe wa malaika yule umetoka mbinguni,pamoja na kula kabari ya haja!!!4. Swali La 4
Kwanini hakuna muda wala ruhusa ya kuuliza maswali kanisani kwa Padri wakati wote wa ibada?
ukiona kwa akili timamu umekataa hayo halafu ukakubali Muhammad ni mtume wa Mungu,jua una shida kubwa kichwani,ni either ukubali vyote,au kimoja cha Yesu kufa na kufufuka,huwezi acha ukristo ukawa muislam akili zako zikawa ziko sawa,lazima kuna mazingira tu watu watakuwa wanatilia mashaka akili zako.Kwanini haitakiwi kuhoji maandiko ya biblia hata pale akili inapokataa kama ile fix ya kuambiwa Yesu alikufa msalabani akafufuka na binadamu tunajua katika uhalisia wa duniani hakuna suala la kufa na kufufuka au binadamu kufa mara mbili maana njia pekee ya kuondoka duniani kwa binadamu ni kufa? How is it possible Mungu kuwa na mtoto, mtoto kuzaliwa bila baba etc? Haya mauzauza ya bible akili timamu haikubali!
😃😃😃,yaani ndugu yangu siku ukija kujua papa ni nani,utajilaumu sana.Ukijibu maswali yote ambayo hata Papa hawezi kujibu unaweza kuelewa kidogo kuhusu dini ya uislam na labda utaamua kumfuata Mzize!
Kama ilivyo kwamba kila gaidi ni muislam,na kila muislam ni gaidi wa akiba😁😁😁Kafir ni neno la kiarabu maana yake ni simple tu, yaani mtu asieamini nguzo tano za Islam. Mtu asieamini kuwa Muhammad SAW ni mtume wa Mwenyezi Mungu.
Kuna ile nyingine ya Muhammad kwenda mbingu ya 7,alipofika ya 6 muongozaji wake akaishia getini akimwambia yeye haruhusiwi kuendelea palipobakia ni kwa ajili yake Muhammad tu kuingia🤣🤣.Masuala ya kiimani magumu sana.Wewe unaamini Muhammad alipaa mbinguni kwa kupanda buraq.Una tofauti gani na wanaoamini Yesu ni Mungu?Kwamba Muhammad aliongoza swala manabii huko Jerusalem,una tofauti gani na zumaridi?Tukiwaambia Muhammad alitengenezwa na wakatoliki mnakataa.Mbona kila kitu kiko wazi?
Dini zote tunakubaliana Muhammad kupanda Buraq?Ishu kubwa ni kufa na kufufuka hii ni fix laivu Kabisa.
Kupaa tunakubaliana dini zote alipaa.
Kwamba ni Mungu hapo napo hapatoshi yaani Mungu fundi seremala anapewa kazi na kulipwa, kwamba Mungu anakula ugali, anaenda msalani , anachoka? You can't be serious!
Mm n mgalatia Ila sijawahi jisikia vibaya kuitwa kafir huwa nashangaa mtu akiweweseka kuitwa kafir na siumii maana Dini n kitu ambacho sikipi uzito maishanWagalatia wanavurugwa sana wakisikia neno Kafiri
hilo swali waulize wanaomwamini.Sasa kama Mudi alikuwa hajui kusoma wala kuandika je, tuna uhakika gani kama hayo Yaliyoandikwa yalitoka kwa Mudi
hili neno ni gumu sana, unajua kuna watu hakika wameasi na kumkana Mungu kiasi kwamba wameshaandikiwa kuwa ni watu wa motoni tu hata uwahubirie vipi unapoteza muda, wao wamejiandikisha ni watu wa motoni. hawa ndio wengi wanaoikataa injili ya kweli na kukimbilia imani za kuchinja watu. Mungu awasaidie.Yuda 1:14 “Kwa maana kuna watu waliojiingiza kwa siri, watu walioandikiwa tangu zamani hukumu hii, makafiri, wabadilio neema ya Mungu wetu kuwa ufisadi, nao humkana yeye aliye peke yake Mola, na Bwana wetu Yesu Kristo”