Tanzania kuna sheria inaruhusu au kukataza binadamu kumwita mwenzake KAFIRI?

Resilience

JF-Expert Member
Jan 4, 2023
876
4,101
Nimemsikia mwanasiasa mmoja akitumia neno kafiri katika nyumba ya ibada hapa Mwanza. Pamoja na kwamba tunashirikiana naye kwenye imani na kwamba neno Kafiri limekuwa likitumika sana ila kwa tamaduni zetu Tanzania neno hili lina ukakasi mkubwa hasa katika matamshi ya kiswahili.

Ni neno lakukwaza na linalohubiri utengamano. Ni neno linalotumiwa sana na magaidi wanapotaka kutekeleza ukatili wao. Ni neno lisilovumilika kwa tamaduni na ni neno lisilo na star. Sidhani kama kiongozi wa nchi anaweza kulitumia kwenye hotuba yake.

Kwa kuwa neno lakukwaza nimetamani kufahamu kama kuna sheria inakataza binadamu kuitwa Kafiri Tanzania na kama hakuna hatuoni kama ni muda muafaka kuiweka?

Sheria ya nchi inasema binadamu wote ni sawa; je kumuita mwenzako Kafiri nje ya nyumba za ibada ni sahihi? Ndani ya nyumba ya ibada sawa.

Kuna clip pia inasambaa YouTube nimeona mtoa mawaidha somewhere akilitumia sana hili neno tena akiwatuhumu walioandaa iftar ikulu kama makafiri au walishirikiana na makafiri. Haya maneno yametoka nje huko je tunaweza kuyatumia?
 
Nimemsikia mwanasiasa mmoja akitumia neno kafiri katika nyumba ya ibada hapa Mwanza. Pamoja na kwamba tunashirikiana naye kwenye imani na kwamba neno Kafiri limekuwa likitumika sana ila kwa tamaduni zetu Tanzania neno hili lina ukakasi mkubwa hasa katika matamshi ya kiswahili.

Ni neno lakukwaza na linalohubiri utengamano. Ni neno linalotumiwa sana na magaidi wanapotaka kutekeleza ukatili wao. Ni neno lisilovumilika kwa tamaduni na ni neno lisilo na star. Sidhani kama kiongozi wa nchi anaweza kulitumia kwenye hotuba yake.

Kwa kuwa neno lakukwaza nimetamani kufahamu kama kuna sheria inakataza binadamu kuitwa Kafiri Tanzania na kama hakuna hatuoni kama ni muda muafaka kuiweka?

Sheria ya nchi inasema binadamu wote ni sawa; je kumuita mwenzako Kafiri nje ya nyumba za ibada ni sahihi? Ndani ya nyumba ya ibada sawa.

Kuna clip pia inasambaa YouTube nimeona mtoa mawaidha somewhere akilitumia sana hili neno tena akiwatuhumu walioandaa iftar ikulu kama makafiri au walishirikiana na makafiri. Haya maneno yametoka nje huko je tunaweza kuyatumia?
Kafir ni nani? Ni nini?
 
Nimemsikia mwanasiasa mmoja akitumia neno kafiri katika nyumba ya ibada hapa Mwanza. Pamoja na kwamba tunashirikiana naye kwenye imani na kwamba neno Kafiri limekuwa likitumika sana ila kwa tamaduni zetu Tanzania neno hili lina ukakasi mkubwa hasa katika matamshi ya kiswahili.

Ni neno lakukwaza na linalohubiri utengamano. Ni neno linalotumiwa sana na magaidi wanapotaka kutekeleza ukatili wao. Ni neno lisilovumilika kwa tamaduni na ni neno lisilo na star. Sidhani kama kiongozi wa nchi anaweza kulitumia kwenye hotuba yake.

Kwa kuwa neno lakukwaza nimetamani kufahamu kama kuna sheria inakataza binadamu kuitwa Kafiri Tanzania na kama hakuna hatuoni kama ni muda muafaka kuiweka?

Sheria ya nchi inasema binadamu wote ni sawa; je kumuita mwenzako Kafiri nje ya nyumba za ibada ni sahihi? Ndani ya nyumba ya ibada sawa.

Kuna clip pia inasambaa YouTube nimeona mtoa mawaidha somewhere akilitumia sana hili neno tena akiwatuhumu walioandaa iftar ikulu kama makafiri au walishirikiana na makafiri. Haya maneno yametoka nje huko je tunaweza kuyatumia?
Nini maana ya neno Kafir?????
Fafanua kinagaubaga
 
Nimemsikia mwanasiasa mmoja akitumia neno kafiri katika nyumba ya ibada hapa Mwanza. Pamoja na kwamba tunashirikiana naye kwenye imani na kwamba neno Kafiri limekuwa likitumika sana ila kwa tamaduni zetu Tanzania neno hili lina ukakasi mkubwa hasa katika matamshi ya kiswahili.

Ni neno lakukwaza na linalohubiri utengamano. Ni neno linalotumiwa sana na magaidi wanapotaka kutekeleza ukatili wao. Ni neno lisilovumilika kwa tamaduni na ni neno lisilo na star. Sidhani kama kiongozi wa nchi anaweza kulitumia kwenye hotuba yake.

Kwa kuwa neno lakukwaza nimetamani kufahamu kama kuna sheria inakataza binadamu kuitwa Kafiri Tanzania na kama hakuna hatuoni kama ni muda muafaka kuiweka?

Sheria ya nchi inasema binadamu wote ni sawa; je kumuita mwenzako Kafiri nje ya nyumba za ibada ni sahihi? Ndani ya nyumba ya ibada sawa.

Kuna clip pia inasambaa YouTube nimeona mtoa mawaidha somewhere akilitumia sana hili neno tena akiwatuhumu walioandaa iftar ikulu kama makafiri au walishirikiana na makafiri. Haya maneno yametoka nje huko je tunaweza kuyatumia?
Sawa jibu moja tu ukiitwa kafir mwambie kafir meno yako. Mana washazoea na wanafunzwa hivo.
 
Nimemsikia mwanasiasa mmoja akitumia neno kafiri katika nyumba ya ibada hapa Mwanza. Pamoja na kwamba tunashirikiana naye kwenye imani na kwamba neno Kafiri limekuwa likitumika sana ila kwa tamaduni zetu Tanzania neno hili lina ukakasi mkubwa hasa katika matamshi ya kiswahili.

Ni neno lakukwaza na linalohubiri utengamano. Ni neno linalotumiwa sana na magaidi wanapotaka kutekeleza ukatili wao. Ni neno lisilovumilika kwa tamaduni na ni neno lisilo na star. Sidhani kama kiongozi wa nchi anaweza kulitumia kwenye hotuba yake.

Kwa kuwa neno lakukwaza nimetamani kufahamu kama kuna sheria inakataza binadamu kuitwa Kafiri Tanzania na kama hakuna hatuoni kama ni muda muafaka kuiweka?

Sheria ya nchi inasema binadamu wote ni sawa; je kumuita mwenzako Kafiri nje ya nyumba za ibada ni sahihi? Ndani ya nyumba ya ibada sawa.

Kuna clip pia inasambaa YouTube nimeona mtoa mawaidha somewhere akilitumia sana hili neno tena akiwatuhumu walioandaa iftar ikulu kama makafiri au walishirikiana na makafiri. Haya maneno yametoka nje huko je tunaweza kuyatumia?
Hawa wanaowaita wenzao MAKAFIRI huwa wana kitu kinatwa inferiority complex. Kwa kuwaita wenzao makafiri inawapa faraja bandia ya kujiona imani yao iko juu. Serikali inatakiwa ikemee hii kitu maana ni uchokozi wa waziwazi.
 
Nimemsikia mwanasiasa mmoja akitumia neno kafiri katika nyumba ya ibada hapa Mwanza. Pamoja na kwamba tunashirikiana naye kwenye imani na kwamba neno Kafiri limekuwa likitumika sana ila kwa tamaduni zetu Tanzania neno hili lina ukakasi mkubwa hasa katika matamshi ya kiswahili.

Ni neno lakukwaza na linalohubiri utengamano. Ni neno linalotumiwa sana na magaidi wanapotaka kutekeleza ukatili wao. Ni neno lisilovumilika kwa tamaduni na ni neno lisilo na star. Sidhani kama kiongozi wa nchi anaweza kulitumia kwenye hotuba yake.

Kwa kuwa neno lakukwaza nimetamani kufahamu kama kuna sheria inakataza binadamu kuitwa Kafiri Tanzania na kama hakuna hatuoni kama ni muda muafaka kuiweka?

Sheria ya nchi inasema binadamu wote ni sawa; je kumuita mwenzako Kafiri nje ya nyumba za ibada ni sahihi? Ndani ya nyumba ya ibada sawa.

Kuna clip pia inasambaa YouTube nimeona mtoa mawaidha somewhere akilitumia sana hili neno tena akiwatuhumu walioandaa iftar ikulu kama makafiri au walishirikiana na makafiri. Haya maneno yametoka nje huko je tunaweza kuyatumia?
wala haina haja, kama kutokuwa muislam ndio ukafiri, mimi naomba waendelee kuniita KAFIRI tena kwa herufi kubwa. kwasababu uislam ni upotevu na wala hainiumi mtu kuniita kafiri (meaning mtu ambaye hajaenda njia ya upotevu).
 
wala haina haja, kama kutokuwa muislam ndio ukafiri, mimi naomba waendelee kuniita KAFIRI tena kwa herufi kubwa. kwasababu uislam ni upotevu na wala hainiumi mtu kuniita kafiri (meaning mtu ambaye hajaenda njia ya upotevu).
Nafikiri ungetulia ukaandika vizuri, kusema uislam ni upotevu umekosea, Mungu ndie hakimu. Si vizuri kuponda dini za watu wengine!

Swali la kwanza:

Yesu alikufa msalabani sawa , akafufuka pangoni sawa, akapaa mbinguni sawa, atarudi duniani kuchukua wateule , je maandiko haya yaliandikwa na binadamu au Mungu? Je mbinguni aliko Yesu hivi sasa ni wapi? je maandiko haya yaliandikwa Yesu akiwa hai au akiwa amekufa? Je biblia iliandikwa na kina nani kwa lengo gani na kwa maslahi ya nani? Je biblia inasemaje Yesu akija duniani akishachukua wateule atapaa nao mbinguni au atawaacha atapaa mbinguni alone?? Au biblia inasema Yesu akishabeba wateule atakufa na kuzikwa nao? Je ikiwa Yesu atakufa na kuzikwa itakuwa Yesu kafa mara ya pili? Mara ya kwanza Yesu alikufa msalabani! Je kuna njia gani ingine ya kuondoka duniani kwa binadamu zaidi ya kufa?? Je kuna ushahidi wa binadamu aliewahi kuondoka duniani kwenda kuzimu kwa kupaa? Je kuna binadamu alikufa in reality , akaoza na akarudi duniani kama atakavyofanya Yesu? Je kuna binadamu anajulikana aliwahi kufa mara mbili? Je wajua vitabu vya secular history kama The History of Ancient World vinamtaja Yesu kama Palestinian boy akiitwa Isah aliepingana na Wayahudi?
Je wajua Paulo ndie muanzilishi wa Christianity? Je wajua kuna injili ya Barnaba inayokatazwa kusomwa?
Je wajua kwa mujibu wa dini yetu maumivu ya mtu kutoka roho ni makali sawa na mbuzi anaechunwa ngozi akiwa hai? Kwahiyo Yesu ataweza maumivu hayo mara Mbili?

Swali la pili:
Yesu ni mwana wa Mungu sawa, Yesu kazaliwa bila baba sawa, Yesu ni Mungu mwana sawa, ina maana Yesu ni Mungu na Mungu anaumba, sasa ilikuwaje Mungu mwana, Yesu auawe na binadamu dhaifu aliowaumba? Yani binadamu sasa wana nguvu na wanaua Mungu? Yani ni kama vile ufuge kuku aje akuparure hadi akuue? Yesu ni sehemu ya utatu wa Mungu sawa, utatu mtakatifu sawa, ina maana kuna Mungu watatu sawa, ina maana Yesu alipokufa Mungu wenzake, Mungu Baba na Mungu Roho mtakatifu walibaki hai? Mfano ni kama vile pacha walioungana mmoja akifa na mwenzake anakufa au anabaki hai? Ikiwa Yesu Mungu Mwana alikufa msalabani na Miungu wenzake Baba na Roho Mtakatifu wakafa pia, ina maana mda ule dunia haikuwa na Mungu?

Swali la tatu (bonus)
Kwanini ili mtoto umuamini Yesu lazima uzamishwe kwenye maji? Ubatizwe! Kwanini hakuna ubatizo kwenye Islam? Kwanini? Sababu mtoto huzaliwa akiwa muislam na mfuasi wa Muhammad SAW. Ili umtoe huko arabuni lazima awe baptized!

4. Swali La 4
Kwanini hakuna muda wala ruhusa ya kuuliza maswali kanisani kwa Padri wakati wote wa ibada? Kwanini haitakiwi kuhoji maandiko ya biblia hata pale akili inapokataa kama ile fix ya kuambiwa Yesu alikufa msalabani akafufuka na binadamu tunajua katika uhalisia wa duniani hakuna suala la kufa na kufufuka au binadamu kufa mara mbili maana njia pekee ya kuondoka duniani kwa binadamu ni kufa? How is it possible Mungu kuwa na mtoto, mtoto kuzaliwa bila baba etc? Haya mauzauza ya bible akili timamu haikubali! Ushahidi ni kwa wazungu walionzisha ukristo kwasasa asilimia 99 wamegeukia upagani, ukifika ulaya makanisa hayana muumini hata mmoja yamebaki kuwa kumbi za sherehe za kijamii!

Ukijibu maswali yote ambayo hata Papa hawezi kujibu unaweza kuelewa kidogo kuhusu dini ya uislam na labda utaamua kumfuata Mzize!

Kafir ni neno la kiarabu maana yake ni simple tu, yaani mtu asieamini nguzo tano za Islam. Mtu asieamini kuwa Muhammad SAW ni mtume wa Mwenyezi Mungu.
 
Back
Top Bottom