Tanzania kuibuka mabingwa wa AFCON 2025

Tanzania kuibuka mabingwa wa AFCON 2025

Watu wameshangazwa na kiwango kilichooneshwa na Tanzania
 
Hello

Kupitia analysis fupi niliyofanya nimekuja na majibu kwamba Tanzania tuna asilimia kubwa 99% kubeba kombe hili

Timu nyingi za Taifa ambazo ni magiant round hii zinacheza mpira wa ovyo na hazina ubora ule tuliouzoea siku zote

Viwango vya wachezaji havipishani sana baina ya yale mataifa makubwa kisoka na mataifa madogo

Hapa Tanzania tukichanga karata zetu vizuri mwali anarudi nyumbani mchana kweupe, mpaka sasa sijaona timu ambayo inayocheza mpira wa kutisha kiasi kwamba tuwe na hofu nayo

Group letu la kawaida sana hakuna team ya kuisumbua Tanzania wote tunaocheza nao tunawafahamu vyema na wamechoka kisoka siku hizi

Naitakia kila la kheri Taifa stars, tuungane pia kuliombea Taifa letu

Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Taifa Stars

Hivi TBC wataonesha hii mechi?
Bendera ya TANZANIA ina nuka damu
Rais wa TANZANIA amemwaga damu nyingi zisizo na hatia
TANZANIA ina dhambi ya kumwaga damu

TANZANIA ITAKUWA YA MWISHO KWA KILA KITU MPAKA TOBA YA KWELI ITAKAPO FANYIKA

CC : WAFUATAO WAME LAANIWSA NA UKOO ZAO ZOTE ,Damu kutoka ardhini inanena juu yao

Ritz HAYA LAND HOV Ertugrul Bey kavulata naliwe KERATO MOMBAA Sela Son pronto. Dakarai Chibike Dr wa Manesi Makebo Kimbesa11 Tlaatlaah GENTAMYCINE Lucas mwashamba
 
WaNigeria weupe tu Stars tunapita Tunisia na Uganda lazima tuwafunge
 
Bendera ya TANZANIA ina nuka damu
Rais wa TANZANIA amemwaga damu nyingi zisizo na hatia
TANZANIA ina dhambi ya kumwaga damu

TANZANIA ITAKUWA YA MWISHO KWA KILA KITU MPAKA TOBA YA KWELI ITAKAPO FANYIKA

CC : WAFUATAO WAME LAANIWSA NA UKOO ZAO ZOTE ,Damu kutoka ardhini inanena juu yao

Ritz HAYA LAND HOV Ertugrul Bey kavulata naliwe KERATO MOMBAA Sela Son pronto. Dakarai Chibike Dr wa Manesi Makebo Kimbesa11 Tlaatlaah GENTAMYCINE Lucas mwashamba
Ulio wamention hauwaoti kweli mkuu usiku?
 
Back
Top Bottom