makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,707
- 103,531
Oya mzee wa chelsea.. mkichukua ubingwa, mie mnikate KENDE, kisha mnudumbukize kwenye pipa la lami inayochemka...Tutawashangaza
Oya mzee wa chelsea.. mkichukua ubingwa, mie mnikate KENDE, kisha mnudumbukize kwenye pipa la lami inayochemka...Tutawashangaza
Naona mmechomoa, ngoja tuwapige cha piliTutasherehekea pamoja mkuu hatuwezi kukufanyia hivyo
Bendera ya TANZANIA ina nuka damuHello
Kupitia analysis fupi niliyofanya nimekuja na majibu kwamba Tanzania tuna asilimia kubwa 99% kubeba kombe hili
Timu nyingi za Taifa ambazo ni magiant round hii zinacheza mpira wa ovyo na hazina ubora ule tuliouzoea siku zote
Viwango vya wachezaji havipishani sana baina ya yale mataifa makubwa kisoka na mataifa madogo
Hapa Tanzania tukichanga karata zetu vizuri mwali anarudi nyumbani mchana kweupe, mpaka sasa sijaona timu ambayo inayocheza mpira wa kutisha kiasi kwamba tuwe na hofu nayo
Group letu la kawaida sana hakuna team ya kuisumbua Tanzania wote tunaocheza nao tunawafahamu vyema na wamechoka kisoka siku hizi
Naitakia kila la kheri Taifa stars, tuungane pia kuliombea Taifa letu
Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Taifa Stars
Hivi TBC wataonesha hii mechi?
Ulio wamention hauwaoti kweli mkuu usiku?Bendera ya TANZANIA ina nuka damu
Rais wa TANZANIA amemwaga damu nyingi zisizo na hatia
TANZANIA ina dhambi ya kumwaga damu
TANZANIA ITAKUWA YA MWISHO KWA KILA KITU MPAKA TOBA YA KWELI ITAKAPO FANYIKA
CC : WAFUATAO WAME LAANIWSA NA UKOO ZAO ZOTE ,Damu kutoka ardhini inanena juu yao
Ritz HAYA LAND HOV Ertugrul Bey kavulata naliwe KERATO MOMBAA Sela Son pronto. Dakarai Chibike Dr wa Manesi Makebo Kimbesa11 Tlaatlaah GENTAMYCINE Lucas mwashamba
Nigeria hawana timu ya maana.Nigeria viazi tu wana bahati wameikuta Stars na majeruhi wengi
Nigeria huu upimbi akafanye kwa Uganda.Sema ndio hivyo timu ya bibi kizimkazi haina malengo yoyote lakini wangetulia leo walikuwa wanaokota pointi kwa NigeriaNadhani umeona sio kinyonge
Hao ni WACHAWI SIWEZI KUWAOTAUlio wamention hauwaoti kweli mkuu usiku?