Tanzania ivunje uhusiano na Israel?

Nakubaliana na Netanyahu kabisa..

Tanzania tuna priority nyingi sana za zinazotugusa maisha yetu ya kila siku kwa karibu kabisa zaidi ya kuingilia mgogoro ulioko maelfu ya kilometa mbali na nchi yetu. Sijui ni nani alietuloga watanzania tukawa na tukawa na kimbelembele kisichosaidia cha kuingilia mambo yasiyotuhusu na kuacha kushughulikia yale ya muhimu yanayotuhusu......kwenda kuandamana kuwatetea wapalestina si priority kwa nchi yetu hata kidogo....

Sijui ni kwanini Tanzania hatuwezi kujifunza kutokana na makosa sijui ni uvivu wa kufikiri au ni nini hasa kinachotusumbua. Tulipoteza resource nyingi sana kuwatetea nchi nyingine zipate uhuru hali sisi wenyewe tukiwa tumebakia masikini wa kutupwa na wale tuliokua tunawatetea wakiwa na maisha mazuri na zaidi sana wakiwa hawataki hata tukanyage katika nchi zao.

"Everybody is for himself" ….Nashangaa sana bado watanzania wanakua na wema wa mshumaa (kuwamulikia wenzio huku wao wakiteketea) na kupoteza muda wao kutetea kitu ambacho hakitawasaidia wao kwa namna yeyote. By the way hao wapalestina mnaojifanya kuwatetea hawana mpango na sisi hata kidogo ndio maana hata siku moja sijasikia maandamano ya waarabu kutetea mauaji wanayofanyiwa watu weusi au matatizo ya Somalia.

I can assure you, kama ingekua ni waafrika weusi wangekua wanabutuliwa hivi sasa wapalestina wasingepoteza hata lepe la usingizi wao kuandamana kuwatetea. Lets be mature, tuache kupoteza muda kwa kujiingiza katika mambo ambayo hayatuhusu.

Pande zote mbili zikae pamoja zikubaliane. wapalestina waache uchokozi wao kwa kudhani kua ipo siku wataiondoa Israeli katika ile nchi. Watafute suluhisho la kuishi kama raia wema wakifuat asheria na kuacha uchokozi wa kurusha maroketi kwa Israeli. Kama wanaona kuishi kwa Amani na Israeli ni vigumu na kuchagua kutumia ubabe basi matokeo ya kumchokoza mbabe ndio hayo wanayoyavuna sana.

Watu wenyewe hawana nguvu alafu wanampiga Mbabe makonzi, Mbabe anapojibu mapigo kwa kuwakata mitama wanaaanza kulalamika....Oooh anatuonea, anapiga ngumi za machoni...n.k.

Lastly. Ningefurahi sana kwama watanzania tungeamka na kuwa tunafanya vitu kwa faida sit u kwa ushabiki usioleta manufaa kwa taifa. Nasikitika sana ni kwanini hatuna ubalozi wa Israeli hapa Tanzania wakati tunajua ya kwamba kama taifa tungefaidika sana kwa kupata teknolojia na utaalamu wa hali ya juu waliokua nao waisraeli.

Na huu ndio muono wako unayewaasa wengine kuwa MATURE....

Tanzanianjema
 
AFPJanuary 15, 2009 10:02 AM

LONDON - A veteran British Jewish lawmaker compared the Israeli offensive in Gaza Thursday to the Nazis who forced his family to flee from Poland.

Gerald Kaufman, a member of the Jewish Labour movement linked to Prime Minister Gordon Brown's ruling party, also called for an arms embargo against Israel.

"My grandmother was ill in bed when the Nazis came to her home town . . . a German soldier shot her dead in her bed," Kaufman said during a parliamentary debate on the 20-day-old war which has left over 1,000 dead.

"My grandmother did not die to provide cover for Israeli soldiers murdering Palestinian grandmothers in Gaza.

"The present Israeli government ruthlessly and cynically exploit the continuing guilt from gentiles over the slaughter of Jews in the Holocaust as justification for their murder of Palestinians."

Israel's claim that many of the Palestinian victims were militants "was the reply of the Nazi," he said, adding: "I suppose the Jews fighting for their lives in the Warsaw ghetto could have been dismissed as militants."

Kaufman, a well-known critic of Israel, said Hamas was a "deeply nasty" organization, but said it was democratically elected.

He urged Britain to impose an arms embargo on the Jewish state.

"It is time for our government to make clear to the Israeli government that its conduct and policies are unacceptable and to impose a total arms ban on Israel," he said.

"It is time for peace - but real peace, not the solution by conquest which is Israel's real goal but which is impossible for them to achieve. They are not simply war criminals, they are fools," he added.

© Copyright (c) AFP
 
Kwanini Israel aonekane ndiyo mkosaji? Hamas wanafanya poa? so long as i know, wote wanamakosa. Tunachotakiwa kufanya ni kuwa na ubalozi wa Israel, wa palestina tayari tuano.

Mbona unaleta utata? Nani ni wauwaji, wale wanaorembea maroketi yasiyouwa lakini yanawarusha roho walowezi au walowezi wanaowazuia wenye nchi yao wasiamuwe wanayotaka kwa kuwazuia hata wasitoke nje ya maeneo wanayoishi? Hivyo Nyerere na Watanzania tulikuwa wakosaji pale tulipowasaidia ANC, FRELIMO< ZANU< MPLA na wengine kudai haki yao?

Kwa kuongeza nahisi mwenzetu pengine huna hata chembe ya utu kwani kushabikia mauwaji kwa kisingizio cha kuwafanya wengine wasibughuziwe wakati wakiwanyanganya wenzao haki yao. soma tena ndipo utowe mawazo.
 
mkuu mheshima kwanza !
Tanzania ina kila sababu ya uisapoti israel kaw kle inachofanya Gaza . Israel ina kila sababu ya ulinda Raia wake kwa gharama yoyote ile .Hamasi ina kila sababu ya kulaumiwa kwa vitendo vyake vya kuijumu israel.
 
Mbona unaleta utata? Nani ni wauwaji, wale wanaorembea maroketi yasiyouwa lakini yanawarusha roho walowezi au walowezi wanaowazuia wenye nchi yao wasiamuwe wanayotaka kwa kuwazuia hata wasitoke nje ya maeneo wanayoishi? Hivyo Nyerere na Watanzania tulikuwa wakosaji pale tulipowasaidia ANC, FRELIMO< ZANU< MPLA na wengine kudai haki yao?

Kwa kuongeza nahisi mwenzetu pengine huna hata chembe ya utu kwani kushabikia mauwaji kwa kisingizio cha kuwafanya wengine wasibughuziwe wakati wakiwanyanganya wenzao haki yao. soma tena ndipo utowe mawazo.

du! hii sikuiona aise, yaani mimi sina hata chembe ya utu! LOL. Wewe ndo huna busara kutokana na maneno yako yanayolenga kuchochea vurugu, kumbe unapenda waendelee kupigana?! sasa utu gani ulionao wewe?! Wenzako tunaongelea amani kwamba waache vita na waishi kwa amani ndo hatuna utu sasa! ama kweli akili ni nyele.
 
tuvunje uhusiano upi?

Nikkwel kabisa mkuu mahesabu.Lazima tuwe makini sikuhizi tusije nunua kesi.Miaka ya siasa za kimataifa zimemalizika na kipindi cha Mwalimu.
Leo hii waarabu wenyewe hawakubaliani na jinsi ya kutatua matatizo ya mashariki ya kati-tusiingize pua huko tusijeungua.
 

Vipi siasa ya kutofungamana na upande wowote? What are you vunjaring? For what reason?

Kuwa na siasa ya kutofungamana na upande wowote haizuii sauti ya Tanzania kukemea maovu mbali mbali yanayofanwa dhidi ya Wanyonge. Tulikuwa mstari wa mbele kukemea Wayahudi kupora ardhi ya Wapalestina, Misri na Syria katika vita ya mwaka 1967 na mwaka huo tulivunja uhusiano na Wayahudi. Pia tulikuwa mstari wa mbele kukemea siasa za kibaguzi za makaburo na wakoloni katika nchi mbali mbali za Afrika zikiwemo South Africa, Msumbiji, Zimbabwe, Angola, Namibia n.k. na pia tulikuwa mstari wa mbele katika kampeni ya kutaka nchi za magharibi na makampuni makubwa ya kimataifa duniani ambayo yalikuwa yanafanya biashara na South Africa kuiwekea vikwazo nchi hiyo vya kiuchumi na michezo na hatimaye kampeni hiyo ikafanikiwa.

Kwa hiyo tunaweza kabisa kuamua kuvunja uhusiano na Wayahudi kwa unayama walioufanya Gaza, lakini sauti ya nchi yetu leo hii katika anga za Kimataifa imepotea, tumekuwa bendera hufuata upepo tunaogopa kuziudhi nchi za magharibi ili tusije kukosa mkate wetu wa kila siku hivyo kuendelea kuwa in 'good terms' na nchi za magharibi.
 
Kuwa na siasa ya kutofungamana na upande wowote haizuii sauti ya Tanzania kukemea maovu mbali mbali yanayofanwa dhidi ya Wanyonge. Tulikuwa mstari wa mbele kukemea Wayahudi kupora ardhi ya Wapalestina, Misri na Syria katika vita ya mwaka 1967 na mwaka huo tulivunja uhusiano na Wayahudi. Pia tulikuwa mstari wa mbele kukemea siasa za kibaguzi za makaburo na wakoloni katika nchi mbali mbali za Afrika zikiwemo South Africa, Msumbiji, Zimbabwe, Angola, Namibia n.k. na pia tulikuwa mstari wa mbele katika kampeni ya kutaka nchi za magharibi na makampuni makubwa ya kimataifa duniani ambayo yalikuwa yanafanya biashara na South Africa kuiwekea vikwazo nchi hiyo vya kiuchumi na michezo na hatimaye kampeni hiyo ikafanikiwa.

Kwa hiyo tunaweza kabisa kuamua kuvunja uhusiano na Wayahudi kwa unayama walioufanya Gaza, lakini sauti ya nchi yetu leo hii katika anga za Kimataifa imepotea, tumekuwa bendera hufuata upepo tunaogopa kuziudhi nchi za magharibi ili tusije kukosa mkate wetu wa kila siku hivyo kuendelea kuwa in 'good terms' na nchi za magharibi.

Ukiamua kuwa mkweli na mwenye nia thabiti ya kukemea uovu unatakiwa kukemea uovu wowote bila kujali nani anafanya huo uovu. Vita vya mashariki ya kati, wote wanamakosa na wote wana haki wanazozitafuta. Katika hali hiyo unatakiwa kujua msingi wa tatizo ndipo uanze kukemea.

Mkuu Bubu Ataka Kusema zingatia kwanza yafuatayo:-

1) si kweli kwamba Israel iliwapora ardhi Wapelestina mwaka 1967. Umiliki wa ardhi ya mashariki ya kati ulianza karne nyingi kabla ya Kristo (BC). Hivyo huwezi kutrace umiliki kuanzia 1967.

2) Hamas licha ya kuwa na uwezo mdogo wa kivita, wamejiwekea ahadi ya kupigana na Israel milele paasipo kukubali siluhu ya aina yoyote. ndo maana wanarusha makombora Israel mara kwa mara.

3) Hamas hawaitambui Israel licha ya Israel kuitambua Palestina pamoja na Serikali yake.

4) Hamas wamegoma kukubaliana na mpango wa kudumu wa amani, wanasema kama ni lazima kuwa na mpango wa amani basi uwe wa muda tu.

5) Hamas wamekataa kuwepo kwa jeshi la Umoja wa Maifa ili kulinda na kuangalia nani mchokozi.

6) Israel ni Taifa lenye uwezo mkubwa wa kivita. Na linawajibika kulinda raia wake dhidi ya mashambulizi ya Hamas na mwingine yeyote.

7) Israel inatumia nguvu kubwa mno kukabiliana na Hamas kiasi kinachosababisha vifo vingi vya raia, uharibifu wa miundombinu na huduma za jamii.

Sasa tuona tatizo letu:
Tatizo la Waafrika na nchi zingine duniani tunauona mgogoro wa mashariki ya kati ni wa kidini. Hata mimi naona hivyo kwa sababu zifuatazo:-

1) Mataifa ya kiislam na waislam including waTanzania wanahubiri misikitini, kwenye mihadhara, maandamano na mikusanyiko mbalimbali kwamba wafanye jihadi (vita vitakatifu vya kiislam) dhidi ya Israel.

2) Israel ni nchi yenye historia ya Ukristo, wakati mwingine inaitwa nchi takatifu (Jerusalem ndiyo mji mtakatifu kwa Wakristo). Hivyo nia yeyote ya kuiangamiza lazima itapingwa na Wakristo. Ni sawa na Wakristo wakitangaza vita vyenye lengo la kuiharibu Saudi Arabia na mji wa Makka.

3) Kitendo cha wandamanaji kushabikia ugaidi (kutengeneza vitu kama mabomu, mizinga, picha nk na kutoa kauli za kuishambulia Israel si tu zinajenga ugaidi bali zinawajengea watoto chuki dhidi ya Wayahudi na Ukristo.

Hivyo, kwa kuangalia upande mmoja huwezi kuwezi kutoa mchango unaoweza kutatua tatizo.
 
Ukiamua kuwa mkweli na mwenye nia thabiti ya kukemea uovu unatakiwa kukemea uovu wowote bila kujali nani anafanya huo uovu. Vita vya mashariki ya kati, wote wanamakosa na wote wana haki wanazozitafuta. Katika hali hiyo unatakiwa kujua msingi wa tatizo ndipo uanze kukemea.

Mkuu Bubu Ataka Kusema zingatia kwanza yafuatayo:-

1) si kweli kwamba Israel iliwapora ardhi Wapelestina mwaka 1967. Umiliki wa ardhi ya mashariki ya kati ulianza karne nyingi kabla ya Kristo (BC). Hivyo huwezi kutrace umiliki kuanzia 1967.

2) Hamas licha ya kuwa na uwezo mdogo wa kivita, wamejiwekea ahadi ya kupigana na Israel milele paasipo kukubali siluhu ya aina yoyote. ndo maana wanarusha makombora Israel mara kwa mara.

3) Hamas hawaitambui Israel licha ya Israel kuitambua Palestina pamoja na Serikali yake.

4) Hamas wamegoma kukubaliana na mpango wa kudumu wa amani, wanasema kama ni lazima kuwa na mpango wa amani basi uwe wa muda tu.

5) Hamas wamekataa kuwepo kwa jeshi la Umoja wa Maifa ili kulinda na kuangalia nani mchokozi.

6) Israel ni Taifa lenye uwezo mkubwa wa kivita. Na linawajibika kulinda raia wake dhidi ya mashambulizi ya Hamas na mwingine yeyote.

7) Israel inatumia nguvu kubwa mno kukabiliana na Hamas kiasi kinachosababisha vifo vingi vya raia, uharibifu wa miundombinu na huduma za jamii.

Sasa tuona tatizo letu:
Tatizo la Waafrika na nchi zingine duniani tunauona mgogoro wa mashariki ya kati ni wa kidini. Hata mimi naona hivyo kwa sababu zifuatazo:-

1) Mataifa ya kiislam na waislam including waTanzania wanahubiri misikitini, kwenye mihadhara, maandamano na mikusanyiko mbalimbali kwamba wafanye jihadi (vita vitakatifu vya kiislam) dhidi ya Israel.

2) Israel ni nchi yenye historia ya Ukristo, wakati mwingine inaitwa nchi takatifu (Jerusalem ndiyo mji mtakatifu kwa Wakristo). Hivyo nia yeyote ya kuiangamiza lazima itapingwa na Wakristo. Ni sawa na Wakristo wakitangaza vita vyenye lengo la kuiharibu Saudi Arabia na mji wa Makka.

3) Kitendo cha wandamanaji kushabikia ugaidi (kutengeneza vitu kama mabomu, mizinga, picha nk na kutoa kauli za kuishambulia Israel si tu zinajenga ugaidi bali zinawajengea watoto chuki dhidi ya Wayahudi na Ukristo.

Hivyo, kwa kuangalia upande mmoja huwezi kuwezi kutoa mchango unaoweza kutatua tatizo.

Pole sana ndugu....

Tanzanianjema
 
Nziku,
si kweli kwamba Israel iliwapora ardhi Wapelestina mwaka 1967. Umiliki wa ardhi ya mashariki ya kati ulianza karne nyingi kabla ya Kristo (BC). Hivyo huwezi kutrace umiliki kuanzia 1967.
can U prove this!
 
du! hii sikuiona aise, yaani mimi sina hata chembe ya utu! LOL. Wewe ndo huna busara kutokana na maneno yako yanayolenga kuchochea vurugu, kumbe unapenda waendelee kupigana?! sasa utu gani ulionao wewe?! Wenzako tunaongelea amani kwamba waache vita na waishi kwa amani ndo hatuna utu sasa! ama kweli akili ni nyele.

Samahani Bwana Mkiubwa kama ulionyesha chembe ya utu na ukatuhubiria amani. Hata hivyo pengine sikuiona hiyo kauli yako ya kutaka amani . Ni heri kama utainakili hapa ili nisifanye uchochezi tena. Maneno yetu........!
 
walatini husema " abyssus abyssum invocati" meaning hell invokes hell.

Hatuwezi kuvunja uhusiano nao .ina maana idd amini alipobreak hell bongo tukamchapa watu hawakufa? Ni nani alifikiri kutunyanyapaa. Nasi tusiwanyanyapae maana na wao sio vichaa kuwachapa hamas. Hamas must have invoked the hell.

by doing what?
 
Nziku,

can U prove this!

1. Nationhood and Jerusalem - Israel became a nation in the 14th century B.C.E. Two thousand years before the rise of Islam.

2. Since 1272 B.C.E. the Jews have had dominion over the land for up to 1,000 years with a continuous Jewish presence in the land for the past 3,300 years.

3. The only Arab dominion since the Arab invasion and conquest in 635 C.E. lasted no more than 22 years.

4. King David founded the city of Jerusalem. Mohammed never came to Jerusalem.

5. For over 3,000 years, Jerusalem has been the Jewish capital. Jerusalem has never been the capital of any Arab or Muslim entity. Even when the Jordanians occupied Jerusalem, they never sought to make it their capital and Arab leaders did not come to visit.

6. Jerusalem is mentioned over 700 times in Tanach, the Jewish Holy Scriptures. Jerusalem is not mentioned once in the Koran.

7. Jews pray facing Jerusalem. Muslims pray facing Mecca (often with their backs toward Jerusalem).

8. In 1854, according to a report in the New York Tribune, Jews constituted two-thirds of the population of that holy city. (The source: A journalist on assignment in the Middle East that year for the Tribune. His name was Karl Marx. Yes, that Karl Marx.)

9. In 1867, Mark Twain took a tour of Palestine. This is how he described that land: A desolate country whose soil is rich enough but is given over wholly to weeds. A silent, mournful expanse. We never saw a human.

10. In 1882, official Ottoman Turk census figures showed that , in the entire Land of Israel, there were only 141 000 Muslims, both Arab and non-Arab.

11. A travel guide to Palestine and Syria was published in 1906 by Karl Baedeker; estimated the total population of Jerusalem at 60,000, of whom 7,000 were Muslims, 13,000 were Christians and 40,000 were Jews.

12. As the Jews came and drained the swamps and made the deserts bloom, Arabs followed. They came for jobs, for prosperity, for freedom. And, they came in large numbers.

13. In 1922, with what was widely acknowledged as the illegal separation of Transjordan, the Jews were forbidden to settle on almost 77% of the Palestine, while Arab settlement went unrestricted and encouraged by British mandatory authority.

14. Prior to the Second World War Mojli Amin, a member of the Arab Defense Committee for Palestine, proposed the idea "that all the Arabs of Palestine will leave and be divided up amongst the neighboring Arab countries. In exchange for this, all the Jews living in Arab countries will leave and come to Palestine."

15. Did you know that Saudi Arabia was not created until 1913, Lebanon until 1920? Iraq did not exist as a nation until 1932, Syria until 1941; the borders of Jordan were established in 1946 and Kuwait in 1961. Any of these nations that would say Israel is only a recent arrival would have to deny their own rights as recent arrivals as well. They did not exist as countries. They were all under the control of the Turks. Over 80% of the original British Mandate land was given to Arabs without population transfer of Arabs from the land designated for Jews.

16. In 1947, the Jewish state huddled on 18% of the original British Mandate land. The Jews accepted it gratefully. The Arabs rejected it with a vengeance and seven Arab states immediately declared war against Israel.

17. In 1948, the Arab refugees were encouraged to leave Israel by Arab leaders promising to purge the land of Jews. Most of them left in fear of being killed by their own Arab brothers as traitors.

18. Some 850,000 Jewish refugees were forced to flee from Arab countries, due to Arab brutality, persecution and pogroms.

19. The number of Arab refugees who left Israel in 1948 is claimed to be around 630,000 (where did they get this number?). Based on population census, estimated number of Arabs who left Israel was around 460,000. They were ordered to leave by Arab leaders at the time.

20. From 1948 till 1967 Arabs made no attempt to create a Palestinian state. Under Jordanian rule, Jewish holy sites were desecrated, 58 synagogues in Jerusalem were destroyed and the Jews and Christians were denied access to places of worship. Under Israeli rule, all Muslim and Christian sites have been preserved and made accessible to people of all faiths.

21. Arabs began identifying themselves as part of a Palestinian people in 1964 only, on the initiative of Egyptian-born Yasser Arafat. The idea became popular Arab propaganda tool after Israel re-captured Judea, Samaria and Gaza in the defensive 6-Day War of 1967.

22. Out of the 100,000,000 refugees since World War II, Arab-Palestinians is the only refugee group in the world that has never been absorbed or integrated into their own peoples' lands. Jewish refugees were completely absorbed into Israel.

23. Arab refugees INTENTIONALLY were not absorbed or integrated by the rich Arab oil states that control 99.9 percent of the Middle East landmass. They are kept as virtual prisoners by the Arab power brokers with misplaced hatred for Jews and Western democracy.

24. There is only one Jewish state. There are 60 Muslim countries, including 22 Arab ones.

25. The Hamas's Charter still calls for the destruction of the State of Israel.

26. Pan-Arabism or the doctrine of Muslim Caliphate declares that all land that used to belong to Muslims must be returned to them. Thus, Spain, for example, must eventually be re-conquered.

The Palestine Mandate. July 24, 1922.

In July 1922, the League of Nations entrusted the Great Britain with The Palestine Mandate. Recognizing "the historical connection of the Jewish people with Palestine," Great Britain was called upon to facilitate the establishment of a Jewish national home in Palestine - Eretz Israel (Land of Israel).

General Assembly resolution 181, of Nov. 29, 1947: It calls for the partition of Palestine into Jewish and Arab states, with Jerusalem to be controlled by a "special international regime" to protect its holy places. The Zionist movement seeking to establish a Jewish state accepted the partition, the Arabs rejected it. The resolution was not carried out: After Israel declared its independence on May 14, 1948, war broke out pitting the embryonic state against surrounding 7 Arab states. Israel gained more land than it would have had under the partition resolution. Neither Israel nor Jordan, which controlled the divided parts of Jerusalem after the war, accepted control of the holy city by an international body.

Security Council resolution 242, Nov. 22, 1967: It calls for "withdrawal of Israel armed forces from territories occupied" in the 1967 Six Day War and for "respect for and acknowledgment of the sovereignty, territorial integrity and political independence of every State in the area and their right to live in peace within secure and recognized boundaries free from threats or acts of force." The resolution was not carried out because the Arab side did not recognize Israel, and Israel refused to withdraw.
 
9. In 1867, Mark Twain took a tour of Palestine. This is how he described that land: A desolate country whose soil is rich enough but is given over wholly to weeds. A silent, mournful expanse. We never saw a human
.

Really?, where did they go?
 
we uliyeleta mada hii umelaaniwa, na ni mtoto wa shetani. cha kwanza hapa tz ni kuvunja uhusiano na Iran, halafu na manchi mengine ya kigaidi huko uarabuni. siku mkivunja uhusiano na israel ndo umtaona kuwa kumbe tz kuna wakristo wengi, sasahivi mnaongea kama mnaamuka bila hata kujua mnachoongea. wizi mtupu.
 
we uliyeleta mada hii umelaaniwa, na ni mtoto wa shetani. cha kwanza hapa tz ni kuvunja uhusiano na Iran, halafu na manchi mengine ya kigaidi huko uarabuni. siku mkivunja uhusiano na israel ndo umtaona kuwa kumbe tz kuna wakristo wengi, sasahivi mnaongea kama mnaamuka bila hata kujua mnachoongea. wizi mtupu.

Eeeh...! Kumbe Israel ni nchi ya kikiristu...!

Thanx 4 info...!

Nilikuwa sijajua kuwa Jews ni wakiristu...! lol

Mmmh! plus bongo pia...! lol
 
Kwanini Israel aonekane ndiyo mkosaji? Hamas wanafanya poa? so long as i know, wote wanamakosa. Tunachotakiwa kufanya ni kuwa na ubalozi wa Israel, wa palestina tayari tuano.

Jee, umewahi kuingiliwa kwenye mji wako, ukatekwa ardhi yako, kisha ukaambiwa usithubutu kudai, ukidai tunakuchapa? kama hujui chanzo cha nchi inayoitwa Israel, naomba upitie humu humu kwenye huu mtandao halafu utoe maoni yako.

Gaza, ni camp ya wakimbizi waliofukuzwa kwenye miji yao ambayo ndimo mulimo Israel uijuwayo kwa sasa, halafu haitoshi, wanapodai haki yao, wanauliwa hovyo, na hao wanaojifanya mapolisi wa dunia wana shabikia upande wa mauaji, jee hiyo ndio haki ambayo Tanzania / wa-Tanzania tunaka tuitetee?
 
mkuu mheshima kwanza !
Tanzania ina kila sababu ya uisapoti israel kaw kle inachofanya Gaza . Israel ina kila sababu ya ulinda Raia wake kwa gharama yoyote ile .Hamasi ina kila sababu ya kulaumiwa kwa vitendo vyake vya kuijumu israel.


Very intelligent thinking and reasoning.

BE BLESSED
 
Jee, umewahi kuingiliwa kwenye mji wako, ukatekwa ardhi yako, kisha ukaambiwa usithubutu kudai, ukidai tunakuchapa? kama hujui chanzo cha nchi inayoitwa Israel, naomba upitie humu humu kwenye huu mtandao halafu utoe maoni yako.

Gaza, ni camp ya wakimbizi waliofukuzwa kwenye miji yao ambayo ndimo mulimo Israel uijuwayo kwa sasa, halafu haitoshi, wanapodai haki yao, wanauliwa hovyo, na hao wanaojifanya mapolisi wa dunia wana shabikia upande wa mauaji, jee hiyo ndio haki ambayo Tanzania / wa-Tanzania tunaka tuitetee?

Aisee kumbe wayahudi taifa lao ni lipi? Mimi najua kuna Taifa moja tu la Wayahudi na Mataifa 22 ya Kiarabu. Je, Wayahudi hawakupaswa kuwepo duniani? Maana nchi yao unadai siyo yao. Kwa faida yako ninajua sana masuala ya mashariki ya kati kuliko unavyodhani. Nimesoma vitabu vingi na tafiti nyingi tu. Labda nawe kwa kupata kidogo pitia link hii: Palestine - Wikipedia, the free encyclopedia

Kwenye references na bibliography kuna baadhi ya article unaweza kudownload moja kwa moja.

Usipime Mkuu na usidhanie watu hatujui mambo.
 
Aisee kumbe wayahudi taifa lao ni lipi? Mimi najua kuna Taifa moja tu la Wayahudi na Mataifa 22 ya Kiarabu. Je, Wayahudi hawakupaswa kuwepo duniani? Maana nchi yao unadai siyo yao. Kwa faida yako ninajua sana masuala ya mashariki ya kati kuliko unavyodhani. Nimesoma vitabu vingi na tafiti nyingi tu. Labda nawe kwa kupata kidogo pitia link hii: Palestine - Wikipedia, the free encyclopedia

Kwenye references na bibliography kuna baadhi ya article unaweza kudownload moja kwa moja.

Usipime Mkuu na usidhanie watu hatujui mambo.

Wewe, hebu niambia nchi gani duniani au taifa gani ni Uyahudi, mbona hata huelewi unachokisema?
 
Back
Top Bottom