Naanto Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,236
- 15,602
Huwa napenda kukaa chini na kuangalia namna wenzetu duniani wanafanya nini, ambacho na sisi tunaweza kuiga kwa manufaa ya taifa letu.
Kuanzia February mwaka huu, nchi ya Italia imekuwa ikiongozwa na waziri mkuu mpya, anayeitwa Mario Draghi. Kwa kifupi, huyu ni nguli wa uchumi wa bara la ulaya, alikuwa ni Rais wa benki kuu ya ulaya, na anatajwa kama mtu aliyeiokoa sarafu ya Euro katika kipindi ambacho nchi za ulaya zilikuwa zinapambana na mzozo wa madeni. So huyu mwamba ni mbobezi haswa wa uchumi na bora.
Huyu jamaa amekuwa waziri mkuu wa Italia baada ya serikali iliyokuwa madarakani ya akina Mateo Renzi na Conte kushindwa kuongoza nchi kutokana na Crisis ya Covid-19.
Hawa akina Renzi, Conte na akina Belusconi, ni watu ambao ni purely politician, so zilivokuja issue za Covid19 pandemic ambayo ika trigger economic and social crisis, hawa jamaa akili zao za kuongoza ikawa zimeishia hapo.
So ilivofika kwenye mwezi wa kwanza, ilibidi serikali ijiuzulu, so Rais wa Italia akamuita nguli la uchumi Mario Draghi aunde serikali ya ki Technocrats, ambayo ni muhimu sana kwa kipindi hichi cha Covid19 economic crisis.
So Mario Draghi akaunda serikali yake February mwaka huu ambayo ilipata uungwaji mkono wa kihistoria na vyama vyote nchini Italia, kwa sababu ndo mtu ambaye anaweza kufanya mageuzi ya kiuchumi kwenye nyakati kama hizi za Crisis.
Hapa ndo nlipojifunza haswa mfumo wa Technocracy na namma unavoweza kufanya kazi hata Tanzania, tuna wasomi wazuri sana mfano mtu kama Prof. Assad, mi naamini kama Technocracy ingeapply kwa huyu mtu kwenye moja ya wizara zetu, mambo yangekuwa tofauti sana.
Na sio kwa Assad tu tuna watu wengine ni ma expert wazuri sana kwenye field zao wanaweza kuwa wanaingizwa kwenye serikali ili walete mabadiliko.
Ni hayo tu.
N.Mushi
Kuanzia February mwaka huu, nchi ya Italia imekuwa ikiongozwa na waziri mkuu mpya, anayeitwa Mario Draghi. Kwa kifupi, huyu ni nguli wa uchumi wa bara la ulaya, alikuwa ni Rais wa benki kuu ya ulaya, na anatajwa kama mtu aliyeiokoa sarafu ya Euro katika kipindi ambacho nchi za ulaya zilikuwa zinapambana na mzozo wa madeni. So huyu mwamba ni mbobezi haswa wa uchumi na bora.
Huyu jamaa amekuwa waziri mkuu wa Italia baada ya serikali iliyokuwa madarakani ya akina Mateo Renzi na Conte kushindwa kuongoza nchi kutokana na Crisis ya Covid-19.
Hawa akina Renzi, Conte na akina Belusconi, ni watu ambao ni purely politician, so zilivokuja issue za Covid19 pandemic ambayo ika trigger economic and social crisis, hawa jamaa akili zao za kuongoza ikawa zimeishia hapo.
So ilivofika kwenye mwezi wa kwanza, ilibidi serikali ijiuzulu, so Rais wa Italia akamuita nguli la uchumi Mario Draghi aunde serikali ya ki Technocrats, ambayo ni muhimu sana kwa kipindi hichi cha Covid19 economic crisis.
So Mario Draghi akaunda serikali yake February mwaka huu ambayo ilipata uungwaji mkono wa kihistoria na vyama vyote nchini Italia, kwa sababu ndo mtu ambaye anaweza kufanya mageuzi ya kiuchumi kwenye nyakati kama hizi za Crisis.
Hapa ndo nlipojifunza haswa mfumo wa Technocracy na namma unavoweza kufanya kazi hata Tanzania, tuna wasomi wazuri sana mfano mtu kama Prof. Assad, mi naamini kama Technocracy ingeapply kwa huyu mtu kwenye moja ya wizara zetu, mambo yangekuwa tofauti sana.
Na sio kwa Assad tu tuna watu wengine ni ma expert wazuri sana kwenye field zao wanaweza kuwa wanaingizwa kwenye serikali ili walete mabadiliko.
Ni hayo tu.
N.Mushi