Janja PORI
JF-Expert Member
- Jul 31, 2011
- 825
- 246
Jamani na rafiki angu ana shule yake anataka iwe Chuo kikuu afanyaje? ? ? Wana JF naskia ni Very simple
shule ya sekondari. Unajua kumekuwa na wimbi la sekondari zinageuka vyuo vikuu
kama,.................zitaje
Jamani na rafiki angu ana shule yake anataka iwe Chuo kikuu afanyaje? ? ? Wana JF naskia ni Very simple
<br />Kwa mwendo huu, ndio maana nachelea kusema "Chuo kikuu nchi hii ni UDSM tu"
<br />Kwa mwendo huu, ndio maana nachelea kusema "Chuo kikuu nchi hii ni UDSM tu"
Hiyo ndo UDSM, full maujiko ni kuanzia madent mpaka walimu wao.<br /><br />
<br /><br />
<br />
Nasikitika kusikia, ulitumia akili kweli kuandika mkuu?au hisia,think critically before you write or speak,mnaboa watu kujiona mko unique kumbe hamna lolote
<br />Hiyo ndo UDSM, full maujiko ni kuanzia madent mpaka walimu wao.
Malecture wenyewe wengi weupe, mwendo wa kumeza tu. Sifa zao zinakera sana<br /><br />
<br /><br />
<br />
Sifa za kijinga
Wakoje hao watu?Wa2 mlokosaga sifa za kujiunga na udsm mna tabu sana...
<br />Wa2 mlokosaga sifa za kujiunga na udsm mna tabu sana...
naunga mkono hoja!Aliyeanzisha mada katika thread alitaka kujua kuna vyuo vikuu vingapi Tz bt akitaka kufahamu procedure ya shule ya jamaa yake kuwa chuo kikuu, tumjibu alichouliza na idadi si kuanza kuleta mbwembwe na majigambo yasiyo na msingi,unataka kusifia chuo chako andika thread yako
<br /><br />&lt;br /&gt;<br /><br />
&lt;br /&gt;<br /><br />
<br /><br />
Nani alikuambia mkuu?what is UD by the way?dah wabongo bwana,hapo umedesa sijui umemaliza sijui bado unapigika hapo UD una mbwembwe ungekuwa umesoma HAVARD sijui kama wengine tungelala humu katika JF