Tanzania Ina Vyuo Vikuu Vingapi?

&amp;amp;lt;br /&amp;amp;gt;&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
&amp;amp;lt;br /&amp;amp;gt;&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
udsm ha2na mpinzan bongo hii,mayb sua ndo wana2fukuzia kwa mbaaali,bt hzi colleges uchwara ka hyo uliyosoma au unayosoma wewe zitafikia robo ya ubora wa Ud aftr 50yrz.UDSM school of intelectualls..hutaki kalale.
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
<br />
SUA ndo sisi mkuu,ila majigambo muache wote ni walewale uwe UD,Mzumbe, Tumaini,SAUT au sisi SUA nk tulenge kuijenga nchi yetu si kuanza kubishania vitu ambavyo havijengi wakuu, nawakilisha
 
upumbavu, elimu ya bongo ujinga tu. kama ni nzuri jiulize tumefanya nn kupitia elimu yetu tangu uhuru. kufungua transfoma tunategemea waliotuuzia ndo waje wafungue, huoni kama tunajisifu kwa ujinga kusomea Udsm, sua mzumbe saut nit d
it ifm tia cbe lakini hakuna tnayoyafanya. hata wembe kutengeneza bado. pigen kimya tuendelee kuhudhuria shule ili tupate walau nafasi za kubadili mboga nyumbani
 
shule ya sekondari. Unajua kumekuwa na wimbi la sekondari zinageuka vyuo vikuu
NDUGU UNATUDANGANYA MCHANA KWEUPE,SHULE GANI YA SECONDARY TANZANIA IMEKUWA CHUO KIKUU?SEMA LABDA IMEKUWA COLLEGE,TOFAUTISHA COLLEGE NA CHUO KIKUU NDUGU,CHUO KIKUU IS AN ISSUE,MANA INATOA HADI PHD CHUO KIKUU...COLLEGE PIA LABDA WANAZOTOA MWISHO DIPLOMA TU ,NA WENGI WANAUA ELIMU TU KWA KUWEKA WAKUFUNZI VIRAKA.AMBAO HAWANA SIFA.
A%20S-confused1.gif
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
<br />:welcome:
Sua ndo sisi mkuu,ila majigambo muache wote ni walewale uwe ud,mzumbe, tumaini,saut au sisi sua nk tulenge kuijenga nchi yetu si kuanza kubishania vitu ambavyo havijengi wakuu, nawakilisha
we kweli nguchilo du,maada umeikimbia,HAHAHAHAHAHAHA
 
WEWE UNAYAKO WEWE,HATA ULIKUWA HUULIZI SWALI MAANA KICHWA CHA HABARI NA MAADA ULIOANDIKA INAKUELEZA MOJA KWA MOJA ULICHOKUWA UNAKILENGA
:tape:
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
udsm ha2na mpinzan bongo hii,mayb sua ndo wana2fukuzia kwa mbaaali,bt hzi colleges uchwara ka hyo uliyosoma au unayosoma wewe zitafikia robo ya ubora wa Ud aftr 50yrz.UDSM school of intelectualls..hutaki kalale.

mkuu hata uandishi wako haufanani na chuo kikuu cha dar es salaam!

aisee nimesikitika!
 
Kwa mwendo huu, ndio maana nachelea kusema "Chuo kikuu nchi hii ni UDSM tu"

Inaonekana waz udsm wapo kishabiki humu ndani maana kaka unadai chuo kikuu ni kimoja tu kitu ambacho sio kweli hata chembe labda nikutoe ushamba tu ambao unao wa kudhani udsm ndo chuo maana takwimu zinaonesha kuna takribani vyuo vikuu 41 sanjari na ilo mi naamin kama ww ni msomi YAPO MAMBO MENGI YA KUJADILI HAPA JUKWAANI KUHUSU TAIFA LETU AMBALO MPAKA LEO BADO HAKUNA LOLOTE LA MAANA AMBALO WAMELIFANYA HAO VIONGOZI WAKO MNAODAI NI PRODUCTS ZA udsm NA KUISHIA KUIBA MABILIONI YA PESA ZA KODI YA WATANZANIA SASA NI BORA TUKAJADILI JINSI GANI SISI KAMA WASOMI TUTAKOMBOA TAIFA LETU KULIKO KUSIFIA CJUI CHUO HIKI BORA KULIKO KINGINE HAINA MAANA KAMA JAMII HAITA ONA MCHANGO WENU KAMA WASOMI.
 
we kweli nguchilo du,maada umeikimbia,HAHAHAHAHAHAHA
pathetic fool, huna kazi eeeeeeeh usiwe limbukeni wewe, ungekuwa na akili timamu usingebishania upuuzi leta hoja mezani uone kama kweli ndo unajiita upcoming Accountant & Economist unanipa shaka na ufahamu wako.
 
Cha msingi tuijenge nchi yetu, ofcoz wanaoijenga hii nchi si wasomi bali ni raia wa kawaida sana a.k.a wapiga nondo na wabeba zege (The iron man). Ninyi mnaojiita wakusoma mmebakia mijini tu mkitafuta vijisenti vya kununulia magari eti kama ndio dalili ya msomi. Puuuf
 
Back
Top Bottom