Tanzania ina mikoa 26 na kila mkoa una wazee. Kwanini Rais wa JMT azungumze na wazee wa Dar pekee?

Huu ni ubaguzi wa wazi kabisa kwa wazee wa mikoa mingine. Maana kama rais wa JMT hatakiwi kuwabaghua wazee wa mikoa mingine maana nao ni wazee wa taifa.

Kama ulitaka kuzungumza na wazee ungeteua walau kila mkoa upeleke wazee kumi na kisha kuwaita Dodoma na kufanya nao mazungumzo.

Kwani Dar es salaam ndio very special kuliko mikoa mingine?
Sema sijui tu kuwa hata wanaoandaa hii mikutano wanafahamu ni kwanini Nyerere na viongozi wengine walipenda kuongea na wazee wa dsm, ila wazee wa dsm wanahistoria na harakati za ukombozi wa nchi yetu

Harakati za TANU zilianza na wazee wa dsm ndipo zikaenezwa mikoa mingine
 
Sema sijui tu kuwa hata wanaoandaa hii mikutano wanafahamu ni kwanini Nyerere na viongozi wengine walipenda kuongea na wazee wa dsm, ila wazee wa dsm wanahistoria na harakati za ukombozi wa nchi yetu

Harakati za TANU zilianza na wazee wa dsm ndipo zikaenezwa mikoa mingine
Mkutano mkuu wa TANU wa Tabora
 
Tofautisha wazee wa dar KILA mkoa una wazee wake.
Ukisikia wazee ni watu wazito usiwaone wamechoka vile.
Wazee wa dar ndio waasisi wa uhuru Wana historia ndefu hata kabla ya Uhuru.
Wao ndio waliomuondoa mkoloni kwa hiari pasipo damu Nyerere alikabidhiwa tu uongozi sababu alikuwa na shule.Nyerere ni mtoto wa Chief na huwezi kuwa chief kama wewe sio mzee.Na wazee wote nchini ni wanachama wa chama kimoja usichoweza kijua.Tuwaheshimu wazee tuwaenzi wao ndio ubeba historia ya maisha yetu.
 
Huu ni ubaguzi wa wazi kabisa kwa wazee wa mikoa mingine. Maana kama rais wa JMT hatakiwi kuwabaghua wazee wa mikoa mingine maana nao ni wazee wa taifa.

Kama ulitaka kuzungumza na wazee ungeteua walau kila mkoa upeleke wazee kumi na kisha kuwaita Dodoma na kufanya nao mazungumzo.

Kwani Dar es salaam ndio very special kuliko mikoa mingine?
Nadhani ujamsikilizia Rais,,ilo amelitolea ufafanuzi vizuri mbona
 
Back
Top Bottom