Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,086
- 6,568
- Thread starter
- #21
U use big matacles to think.Haujui kiingereza andika kiswahili matako wewe
U use big matacles to think.Haujui kiingereza andika kiswahili matako wewe
Mkuu wanaenda kwa awamu,walianzaa Wazee wa Chato Leo Dar wajao watakuwa wa Makunduchi.
Kwa Dar ndio TanzaniaMbona kaeleza sababu ni kuwa Dsm kuna watu toka kila mahali
Sema sijui tu kuwa hata wanaoandaa hii mikutano wanafahamu ni kwanini Nyerere na viongozi wengine walipenda kuongea na wazee wa dsm, ila wazee wa dsm wanahistoria na harakati za ukombozi wa nchi yetuHuu ni ubaguzi wa wazi kabisa kwa wazee wa mikoa mingine. Maana kama rais wa JMT hatakiwi kuwabaghua wazee wa mikoa mingine maana nao ni wazee wa taifa.
Kama ulitaka kuzungumza na wazee ungeteua walau kila mkoa upeleke wazee kumi na kisha kuwaita Dodoma na kufanya nao mazungumzo.
Kwani Dar es salaam ndio very special kuliko mikoa mingine?
Mkutano mkuu wa TANU wa TaboraSema sijui tu kuwa hata wanaoandaa hii mikutano wanafahamu ni kwanini Nyerere na viongozi wengine walipenda kuongea na wazee wa dsm, ila wazee wa dsm wanahistoria na harakati za ukombozi wa nchi yetu
Harakati za TANU zilianza na wazee wa dsm ndipo zikaenezwa mikoa mingine
Basi angesema ataongea na wazee wa TZ mkoani DAR'Wazee wa Mkoa wa Dsm' ni kiwakilishi tu haimaanishi anazungumza na Wazee kweli wa Mkoa wa dsm
Basi angesema ataongea na wazee wa TZ mkoani DAR
Hata Dr Stone alikuwa akiwafuata wazee wa Chato au umesahau?Ametoka Dodoma kuzungumza na wazee wa Dar.
QengayMama yako ameolewa?
Nadhani ujamsikilizia Rais,,ilo amelitolea ufafanuzi vizuri mbonaHuu ni ubaguzi wa wazi kabisa kwa wazee wa mikoa mingine. Maana kama rais wa JMT hatakiwi kuwabaghua wazee wa mikoa mingine maana nao ni wazee wa taifa.
Kama ulitaka kuzungumza na wazee ungeteua walau kila mkoa upeleke wazee kumi na kisha kuwaita Dodoma na kufanya nao mazungumzo.
Kwani Dar es salaam ndio very special kuliko mikoa mingine?
Huwa unafeeerwa?Qengay
Pata uhondo wa marvey mbrrrrrrrrrrrr mbrrrrrrHuwa unafeeerwa?
Huwa unafeeerwahPata uhondo wa marvey mbrrrrrrrrrrrr mbrrrrrr
Nyau ww
Kwani wazee wa dar wanawezaje kuwakilisha mikoa 26?'Wazee wa Mkoa wa Dsm' ni kiwakilishi tu haimaanishi anazungumza na Wazee kweli wa Mkoa wa dsm