Tanzania iliwahi kuwa nchi ya tatu kwa upelelezi duniani

Ndugu zangu,ili nchi iwe nafasi za juu ki intelgesia kuna vitu vingi wanangalia aisee,mojawapo ni technologia na umahiri au uwezo wa taifa husika au watu wapelezi kimataifa,.Tanzania haipo hata top 100,kwanza Tanzania haina maslai nje ya nchi kama wengine au kitisho kikubwa na uchumi mbovu. Sikia niwaambie
nchi ya kwanza kwa ujasusi duniani ni1.Pakistan(ISM)
YA PILI 2.U.S.A (CIA)
YA TATU BRITAIN .M16
YA NNE NI FSB YA URUSI
YA TANO NI MSS YA CHINA
YA KUMI NI MOSAD YA ISRAEL.
Urusi ni KGB, vipi ile ya Uingereza ni M16 au MI6?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom